1 Neno dayahwe dikanezea kusema. 2 Mwanadamu ne kuwa na wavyee waidi binti wa mmaa yumwe. 3 Wawa malaya uko misri mwe kipindi cha ujana wao wawa malaya uko motombo yawa n medama na uteke wa nyato zao za matombo zibanangwa uko. 4 Mazima yao ni ohola dada uyu ne mku na ohaliba dada mvunawe kisha wakawa wangu na kuvya wana na binti mazima yao me yakamaanisha ivi ohala maama yakwe smaria na oholiba mana yakwe yerusalemu. 5 Mazima yao ni ohola dada uyune tabia yakwe ya ubagobagi hata yajwe ya wakwati nekuaho nae, ne akawatamani wapenzi wakwe kwa kuwa washauri na nguvu, 6 Liwali mwekuvoa wijuana na kwaji ya mafia wakwe, wekuawa mahodari na wagosi wa kuvutia wose ne wakaendesha farasi. 7 Ivyo akegosoa mwenye kama mbagi kagi kwao kwa wantungwa wa ashuru na kegea mwnye uchafu na kia yumwe mwekumta mami hamwe na sanamu zakwe zose. 8 Kwa kuwa nkekueka tabia zakwe za ubagibagi nyuma ekuaho misri wakati wekuaho waye wakati ne ni wekumvokaho kadodo wakati wekymvokaho, kake na kwa bado. 9 Kwa ivyo nikamchanganya na wabwanga wakwe mwe mikono ya washuru kwa kuwa ni akawatamani. Wakagoma mae wakawadoa wanawe na binti wakamkoma wavye upanga ukatenda sonu kwa wekumhukumuvyo. 10 Daie ohalibia akayaona aya aki ni akayata mani zaidi za kuwa mbagihabi kuliko dadue. 11 Dada yake Oholiba akaliona hili, lakini aliyatamani zaidi na kufanya kama kahaba hata zaidi kuliko dada yake. 12 Ne akawatamani washuru mabosi a watawala wekuvao nguo za ushawishi ne ni wantu waendeshao farasi ne ni ikawa vijana wa kuvutia. 13 Nikaona uyu kechafua mwenye na ikawa kama kwa wande wose. 14 Akaongeza ubagibagi wakwe zaidi akaona mapicha ya wagosi yekuchorwayo mapicha ya wagosi yekuchorywa mwe ukta michoro ya wakaldayo yekuchorywa na rangi nyenkundu. 15 Wekuvao mikanda mwe viudu vyao vilemba mirefu mwe mitwi yao wose wawa na busubusu da mafisa wa jeshi da waendesha farasi ambao asili yao ni si ya ukaldayo. 16 Hamka ekuwaonaho, akawatani akawatumia ujumbe kwao ukaldayo. Kisha wababeli wakeza wakamuona, wakagona naye visiavyo mpaka wakamsokea. 17 Kisha Wababeli wakaja katika kitanda chake cha tamaa, na walimfanya unajisi kwa uzinzi wao. Kwa kile alichokuwa amekifanya alifanya unajisi, basi akageuka mwenyewe kutoka kwao katika karaha. 18 Kwa zia mbui zakwe mbayambaya roho yangu ukamsokea kama via roho yangu yekumsokeavyo dadie. 19 Kisha kagosoa mbui nyinyi za ubagibagi akakumbuka na kutafakari ujana wakwe wakati ekuaho mwe si ya misri. 20 Basi akawatamani wapenzi wakwe. ambao sehemu zao za si ziwa kama ia za mphunda na kia, kivyaigwacho chawa kama farasi. 21 Ivi ne ekugosoavyo mbui za somi mwe ujana wakwe wakati wamisri wekupapasaho nyato za matomba yakwe na kuyaminya matombo ya ujana wakwe. 22 Kwa iyo oholiba bwana yahwe amba ivi kaua ndamikuvuzie wapenzi wako dhidi yako, wada wekuvuzao ndamiwaete kuawa kia upande. 23 Wababeli na wakaldayo wose pekodi shoa na koa ma washuru wose hamwe nao hodari vijana wa kutamanika magavana na mamiri jeshi wose ni mafisa na wantu wose wenye sifa za kuendesha farasi. 24 Wandaweze kwako na silaha na kwa magai ya farasi na mikokoteni ya farasi na mikokteni na bunga ku da wantu nndawapange ngeo mku ngao ndoto na nkofia za chuma ju yako mafasi ya kukuadhibu na wandawaku adhibu kwa mbui zao. 25 Kwakuwa mndanike hasira yangu ya wivu ju yako na ndawashughulike na wewe kwa hasira zako na magutwi yako na masinga za yose kwa uoanga wana na binti zako mnda wawadoe na masigazo yose yokwa moto. 26 Wandawakuvue mguo zako na kukuhoka mapambo yako yavito. 27 Nndamiuse tabia yako ya soni na mbui za ubagi bagi kulawa misri vituhu nkunauwakumbuke kuikumbuka misri vituhu. 28 Kwa kuwa bwana yahwe amba ivi, kaua nda niwambie wada wakuchukuawo ikuvuze kwe mkono wa wada ambao kuwavuza. 29 Mndamshughulike wose aki kwa chuki wandabade kia kintu wakubade mbwenye mbwenge mbui zak zose za ubagibagi mndamanyike kwa tabia yako. 30 Vyagosoka kwako kwa kuwa we kuwa mbagibagi tamoa na vyose ya unajisi kwa sanamu zao. Kutongea sia za dadio ivyo we undauadhibiwe ipasavyo. 31 Umetembea katika njia za dada yako, hivyo nitaweka kikombe chake cha adhabu kwenye mkono wako.' 32 Bwana yahwe amba ivi unda unywe mwe kikombe cha dadio ambacho ni kirefu na kiku undauwe dhihaka na kutawaliwa yekumemavyi kwa kiasi kikuu. 33 Unda uwe mkozi na mwenye huzuni kikombe cha ushangao na ubanasi kikombe cha dadio samaria. 34 Undaukinywio mpaka kisie halafu unda ukibonde na kuyatafutamatombo yako kuwa vipande vipande yako kuwa na ivyo ivi ne ambayo bwaha yahwe. 35 Kwa hiyo, Bwana Yahwe asema hivi, 'Kwa sababu umenisahau na kunitupa mbali nyumba ya mgongo wako, basi pia utachukua matokeo ya tabia zako za aibu na matendo ya uasherati." 36 Yahwe akanambia, "Mwanadamu, Je! utamhukumu Ohola na Oholiba? Basi waambie matendo yao ya machukizo, 37 kwa kuwa wamefanya uzinzi, na kwa kuwa kuna damu juu ya vichwa vyao. Wamefanya uzinzi na sanamu zao, na wamewaweka hata wana wao kwenye moto, kama chakula cha sanamu zao. 38 Kisha waliendelea kufanya hivi kwa ajili yangu: Wamepafanya patakatifu pangu unajisi, na katika siku hiyo hiyo wakainajisi Sabato zangu. 39 39Kwa kuwa walipokuwa wamewachinjia watoto wao kwa ajili ya sanamu zao, kisha wakaja hata patakatifu pangu siku hiyo hiyo kupanajisi! Hivyo tazama! Hivi ndivyo walivyofanya kati ya nyumba yangu. 40 Mmewatuma watu kutoka mbali, ambao wajumbe waliwatuma-sasa tazama. Wakaja kweli, ambao uliojiosha kwa ajili yao, uliweka rangi macho yako, na kujipamba kwa mapambo ya vito. 41 41Huko ulikaa kwenye kitanda kizuri na kwenye meza iliyokuwa imepangwa mbele yake ulikuwa umeweka ubani na mafuta yangu 42 Hivyo sauti za watu zilikuwa zimemzunguka; pamoja na watu wa kila aina, hata walevi waliletwa kutoka jangwani, na wakawavalisha vikuku mikononi mwao na mataji mazuri juu ya vichwa vyao. 43 Kisha nikasema juu yake aliyekuwa ameonywa kwa uzinzi, 'Sasa watazini pamoja naye, na yeye pamoja nao.' 44 44Wakamwingilia na kulala naye kama watu wamwingiliavyo kahaba. Katika njia hii walilala Ohola na Oholiba, waliokuwa wanawake wazinzi. 45 45Lakini watu wenye haki watapitisha hukumu na kuwaadhibu kama wazinzi, na watawaadhibu kwa hukumu kwa wale wamwagao damu, kwa sababu wao ni wazinzi na damu iko mikononi mwao. 46 Hivyo Bwana Yahwe asema hivi: Nitainua kundi la watu juu yao na kuwatoa kuwa kitisho na kuteka nyara. 47 47Kisha hilo kundi la watu litawapiga kwa mawe na kuwakatilia chini kwa panga zao. Watawaua wana wao na binti na kuzichoma nyumba zao. 48 Kwa kuwa nitaondoa tabia ya aibu kutoka kwenye nchi na nidhamu wanawake wote hivyo hawatatenda kama makahaba. 49 49Hivyo wataweka tabia yenu ya aibu juu yenu. Mtachukua hatia ya dhambi zenu pamoja na sanamu zenu, na kwa njia hii mtajua yakuwa mimi ni Bwana Yahwe."