Sura1

1 Yesu alizaliwa Betelehemu katika Yudea wakati wa utawala wa mfalme Herode. Kisha kuzaliwa kwake, watu wenye elimu kutoka mashariki wakafika Yerusalema. 2 Nao wakauliza: «Yuko wapi yule mtoto aliyezaliwa kuwa mfalme wa Wayuda? Tumeona nyota yake inayomutambulisha, nasi tumekuja kumwabudu.» 3 Mfalme Herode aliposikia maneno haya, akafazaika sana pamoja na wakaaji wote wa Yerusalema 3 Nikasema: Sita wafukuza mbele yenu, lakini wataishi pamoja na mwenye, na Mungu yao itakua mutego kwenu. 4 Wakati mjumbe wa mungu alimaliza kusema mbele ya watoto wote wa Izraeli, wakapaza sauti na kuliya. 5 ile fasi ikaitwa Bakima, pale njo bamatolea Mungu zabihu. 4 Akawakusanya wakubwa wote wa makuhani na walimu wa Sheria kwa kuwauliza wapi Kristo atakapozaliwa. 5 Nao wakamujibu: Betelehemu katika Yudea, kwa maana ilisemwa hivi kwa njia ya nabii: 6 «Ewe Betelehemu, katika inchi ya Yuda, wewe si mudogo kabisa kati ya miji mikubwa ya Yuda, maana ndani yako atatoka mutawala, atakayechunga watu wangu, ndio Waisraeli.» 6 Yoshua akaaudisha watu, na watoto wa Izraeli wakaenda kila mutu katika kusemu yake katika inchi yao. 7 Watu walimutumikiya Mungu wakati wote wa maïsha ya Yoshua na wazee waliyo ishi wakati ule na kuona mambo kubwa ambayo alitenda ajili yao. 8 Yoshua mtoto wa Nuni, mutumishi wa Mungu, alikufa na umri wa myaka mia moja na kumi. 7 Basi Herode akawaita kwa siri wale wenye elimu kusudi wamujulishe hakika wakati gani nyota ile ilipotokea. 8 Kisha akawatuma Betelehemu, akiwaambia: «Mwende mupeleleze habari kamili za mtoto yule. Nanyi mutakapomwona munijulishe kusudi mimi vilevile niende kumwabudu.» 9 Kisha kumusikiliza mfalme, wakaondoka. Ile nyota waliyoiona tokea mashariki iliwatangulia, nayo ikaenda na kusimama juu ya pahali mtoto alipokuwa. 10 Na wakati walipoiona wakafurahi sana. 11 Wakaingia ndani ya nyumba, wakamwona mtoto pamoja na mama yake, Maria. Wakapiga magoti na kumwabudu mtoto. Kisha wakafungua mizigo yao na kumutolea zawadi ya zahabu, ubani na marasi. 12 Nyuma ya maneno haya, Mungu akawaonya katika ndoto kwamba wasirudie tena kwa Herode, kisha wakarudia katika inchi yao wakipitia njia nyingine. 13 Wale watu wenye elimu walipokwisha kwenda, malaika wa Bwana akamutokea Yosefu katika ndoto na kumwambia: «Amuka, utwae mtoto pamoja na mama yake na mukimbilie Misri. Mukae kule mpaka nitakapokuambia kwamba urudie, kwa maana Herode anamutafuta mtoto kusudi amwue.» 14 Basi Yusufu akaamuka, akamutwaa mtoto pamoja na mama yake, nao wakaondoka usiku ule kwenda Misri. 15 Akakaa kule mpaka Herode alipokwisha kufa, kusudi yatimie maneno haya Bwana aliyosema kwa njia ya nabii: «Nilimuita mwana wangu arudie toka Misri.» 14 Hasina ya Bwana ikawaka juu ya Izraeli. Akawatowa ku mukono ya wnyunganyi na ku wauzisha kumikono ya maadui yao wa kandokando, na hawakuweza tena kusimama mbele ya maadui yao. 15 Kote kwenye balienda, mukono wa Mungu ulikua juu yao kwa ku watendeya mabaya, kama vile Bwana alivyosema, kama vile Bwana aliapana walikua ndani ya shida kubwa. 16 Herode alipoona kwamba wale watu wenye elimu wamemudanganya, akakasirika sana. Akatuma watu Betelehemu na popote kandokando yake kwa kuua watoto wote waliokuwa na umri wa miaka miwili na chini yake. Alifanya vile kufuatana na jinsi alivyohakikishwa na wale wenye elimu juu ya wakati nyota ilipotokea. 17 Halafu yakatimia maneno haya yaliyosemwa kwa njia ya nabii Yeremia: 18 «Sauti inasikilika toka Rama, kilio na malalamiko mengi. Ni Rakeli anayewalilia watoto wake, naye hataki kufarijiwa, kwa maana hawako tena.» 18 Wakati Bwana alisimamisha waamuzi, alikua nawo pamoya, na alibaokua kumikono ya baadui yabo, wakati wote ya wamuzi, Bwana alibasikilia huruma juu ya malalamiko yabo, kama vile baadui yabo balitesa na kubasumbua. 19 Lakini, wakati muamuzi alikufa, waanguka tena muzambi, kupita wazazi yabo na baabudu miungu ingine na kuinama yake, na wakodumu na ule mwenendo na mayo mugumu. 19 Herode alipokuwa amekwisha kufa, malaika wa Bwana akamutokea Yosefu katika ndoto kule Misri. 20 Akamwambia: «Amuka, utwae mtoto pamoja na mama yake, na urudie nao katika inchi ya Israeli, kwa maana wale waliotafuta kumwua wamekwisha kufa.» 21 Basi Yosefu akaamuka, akamutwaa mtoto pamoja na mama yake na kurudia katika inchi ya Israeli. 20 Hasira ya Bwana ikawaka juu ya watoto wa Izraeli, na akasema : Hii taifa imavunja mapatano niliyofanya na wababa yabo, na kwa sababu habakuheshimiya sauti yangu. 21 Sitafukuza tena hata taifa moya ambao Yoshwa aliacha wakati alikufa. 22 Hivi njo nitajinibu Izraeli, juu nitambue kama anafuata njia yangu ao hapana. 23 Na Bwa alipumuzisha ile taifa yenye haku leteka kumikono ya Yoshua, na haku bafukuza haraka. 22 Lakini aliposikia kwamba Arkelao alitawala katika jimbo la Yudea kwa pahali pa baba yake Herode, Yosefu akaogopa kwenda kule. Na alipokwisha kuonywa katika ndoto, akaenda katika jimbo la Galilaya. 23 Kule akakaa katika mji ulioitwa Nazareti, kusudi yatimie maneno yaliyosemwa kwa njia ya manabii: «Ataitwa mtu wa Nazareti.»