Sura 1

1 Yesu Kristu mutoto wa Daudi tena mutoto wa Ibrahimu. 2 Ibrahimu alimuzala Isaka, na Isaka alimuzala Yakobo, na Yakobo alimuzala Yuda na ba ndugu yake. 3 Yuda naye alimuzala Peresi na Zera na mama Yabo arikuya Tamari, na Tamari arimuzala Esromu na Esromu alimuzala Aramu. 4 Na Aramu arimuzala Aminadabu, na Aminadabu arimuzala Nashomi, na Nashomi arimuzala Salomoni , 5 Na Salomoni arimuzala Boazi na mama yake Rahabu, Boaze na ye arimuzala Obedi na mama yake Ruth, na Obedi arimuzala Yese. 6 Yese na ye arimuzala mufalme Daudi, na mufalme Daudi arimuzala Salomoni na bibi wa Uria. 6 Adonia Bezeka akakimbiya, lakini balimufuata na kumukamata balimukuta bilole ya kumikulu na kumikono. 7 Adonia Bezeka akasema: Wafalme makumi saba benye kukatiwa bilole ya mikono na ya mikulu banalokota chini ya meza yangu; Mungu ananilipa sawa - sawa na kazi yangu, bakamuleta Yerusalem na akafa. 7 Na Salomoni arimuzala Roboamu, na Roboamu arimuzala Abiya, na Abiya arimuzala Asa , 8 8na Asa arimuzalaYehoshafati, na Yehoshafati arimuzala Yoramu, na Yoramu arimuzala Uzia 8 Batoto ba Yuda bakapikanisha Yerusalem, na bakai kamata, bakapika kwa mupanga na kuuchoma muyuni mukubwa. 9 Batoto ba Yuda bakashuka tena, juu bapigane na Wakanani wenye kuishi kumilima, upande wa kusini, wa bonde. 10 Yuda akaenda kupigana na Wakanani wenye kuishi Hebroni, waligoitwa zamani kiyata Arba; na wakapiga sheshai, Ahimana na Talmai. 9 Na Uzia arimuzala Yothamu , na Yothamu arimuzala Ahazi, na Ahazi arimuzala Hezekia, 10 na Hezekia arimuzala Manase, na Manase arimuzala Amoni, na Amoni arimuzala Ysia, 11 na Yosia arimuzala Yekonia na ndugu yake wakati barikuya batumwa ya babeli. 11 Kotokeya ile siku, bakapina na bakaaji wa Debia: Derbia iliitwa zamani kiyata seferi. 12 Kalebu akasema: atakaye pigana na kiyatabseferi na kuikamata, nitamupa Biuti wangu Aksa. 13 Otanieli, mtoto wa kenaza wa murisho, ndugu yake na Kalebu akamupa Aksa Binti wake kuwa bibi yake. 12 Na Kisha kuhamisha babeli, Yekonia arimuzala Shatieli, na arimuzala Zerubabeli. 13 Zerubabeli na ye arimuzala Abiudi, na Abiudi arimuzala Eliakimu, na Eliakimu arimuzala Azoni, 14 na Azoni arimuzala Zadoki, na Zadoki arimuzala Akimu, Akimu arimuzala Eliudi 14 Wakati Aksa aliingiya kwa Otanieli alimusihi aombe ili kumuombeya shamba kwa baba yake, akashuka juu ya punda wake, na Kalebu akamwambia: Una nini? 15 Akamujibu; Unipe Zawadi moja, sababu ulinipa udongo wa kusini, unipe tena kiziwa cha mayi. Na Kalebu akamupa kisima kya julu na kya chini. 15 Eliudi arimuzala Elieza, na Elieza arimuzala Matani, na Matani arimuzala Yakobo . 16 Yakobo na ye arimuzala Yusufu bwana yake ya Miriamu mama yake wa Yesu Kristu ambao kwenye alizaliwa. 17 Kutoka kizazi ya Ibrahimu mupaka Daudi ilku wa kizazi kunu na ine , na wakati mufalme Daudi walikuwa mubutumwa ku mufi wa babeli kizazi ilkuwa kunu na ine mpaka wakati wa Yesu Kristo. 16 Watoto wa Wakenani, mukwe yake na Musa, walienda ku mujini mukubwa wa ngazi na watoto wa Yuda, kalika pori ya Yuda upande wa kusini ya waaradi, na wakaenda, kuishi huko kati ya watu. 17 Yuda akaenda pamoya na ndugu Simeoni, na wakapigana na wakanani wanao ishi Sefata; na wakaharibu sana ule mujini, na wakauita Horma. 18 Na kuzaliwa kwa Yesu kurikuwa namuna hii; na Maria mama yake arikuya muchumba na mimbaya mwa Yusufu, basi mbele bakuye fazi moya, yeye Maria aliechukurichkuriwa na mimba ya roho mutakatifu. 19 Mume wake Yusefu arituya mutu wa kweli lakini ashkupende kupata haya munkundji ya bantu naalitaka ku amuwa buchumbu yaho. 20 Na wakati arianza kuwaza mambo hiyi na mlaika ya bwana arifika kwake mu ndoto na kumwambiya "Yusufu mototo wa Daudi, usiongo pe naukamate bibi yako Maria, arishakupata mimba kupitia roho mutakatifu. 21 Na atazala mutoto mwana ume jina yake ni Yesu ata kuya kuokola bantu kotoka ku Zambi yao. 22 Yote hiyi irifayi ifanyike kwakutangziwa kwa bwana kupitiya nabii arisema . 23 Kutakuya bikisa moja atapata mimba na atazala mutoto mwana une ataitwa Emmanueli "Mungu panoja na sisi. 24 Yusefu arishutuka arikuya mubushingishi na arishikiya ile malaika wa bwana arituniwa afwanye ju ya bibi yake. 25 Natangia pale abakujuwane sawa mume na muke mpaka kuzaliwa kwa Yesu. 25 Aka baonesha njia ya kuingilia muji mukubwa. Na bakapika ule muji kwa upanga, lakini baliacha ule mutu na jamaa yake yote. 26 Ule mutu akaenda katika inchi ya wahiti, akajenga muji na kuipatiya jina ya Luzi, mpaka leo hii ule mujini ahaitwa vile. 27 Manasi hafukuza wakaiji wa betishena na vijiji yake, Taanaki na vijiji yake, Dori na vijiji yake, jebuleama na vijiji yake, Magida na vijiji yake, na wakanani walipenda kubakia ndani ya ile inchi. 28 Wakati Izraele walikua na nguvu, wakata wala wakanani na ku wakatiya kodi lakini hababafukuza. 29 Efalaimu hakufukuza wakaaji wa wakanani wanaoishi Gezera, na wakanani wakaishi katikati yao hapo Gezara. 30 Zabuloni hakufukuza wakaaji wa Kitroni, wala wanahalali, na wakanani wakaishi katikati ya Zabuloni, lakini wakawakatiya kodi. 31 Aseri hakufukuza wakaaji wa ako, wala wa Sidoni wa Aklala, Akziba, Helba, Afiki na Rehoba. 32 Watoto wa Aseri wakaisha pamoja na wa kanani benye inchi sababu habaku bafukuza. 33 Nafutali hakufukuza wakaaji wa bete-Shemeshi, wala wa Beti - anata, na baliishi pamoja na wakanani, benye inchi lakini walikitiwa kulipa kodi. 34 Baamola balifukuza ku mulima batoto ya Dani, na bila kubapatia njia ya kuenda kuboride. 35 Baamola balipenda kuishi Hari Heresi, Ajoloni na Shaalibima, lakini mukono wa nyumba ya Yusufu ulikwa nguvu juu ya ba, na aka balipisha kodi. 36 Mutaa wa waamala ulipanuka mpaka Akrabima, sela na huko juu.