Sula 6

1 Batoto , mushikiye bazazi yenu , vile Bwana , kwamana ile iko aki , 2 Echimiya baba yako na mama yako ( ni embri ya kwanza na malako) , 3 Djo ukuye na furah na u ishi mwaka mingi pa dunia. 4 Na mweye , ba baba , mushi tshokoze batoto yenu , lakini mu ba fudishi mu ku batengeneza na mu ku ba fudisha mwa Bwana. 5 Bafanya kazi , mweshimiye ba kubwa benu mu ki mwili , na boka na kutetemeka, mu ku rishusha ya roho yenu, sa vile kwa Kristo, 6 Apana paka bele yabo , sa vile kufuraisha bantu, lakini sa vile ba fanya kaji ya Kristo , banafanya na roho muzuri mapenzi ya Mungu. 7 Mu ba tumikiye na roho yote , sa vile munatumikiya Bwana na apana bantu, 8 Muyuwe asema mutu wote , akuye mutumwa , wala uru , atapata kwa Bwana mu ile ata fanya ya muzuri. 9 Na muye , bakubwa , mu fanya na mweye vile kwabo, na mu epuke fudjo , mu djuwe asema mukubwa wabo na wenu eko mu bingu, na kumbele yake akuna butchakuzi ya bantu. 10 Kwa ina bakiya , Muri kabule nguvu mwa Bwana , na kupitiya nguvu yake uwezo yote . 11 Mu vale ma sila yote ya Mungu , djo mu shimame imara ku bukalamushi ya shetani. 12 Kwamana a tuna apa dju ya ku kombana na mwili na damu , kwalakini ni na matawala , na uongozi , na bariti ya iyi dunia ya ginza, na ma pempo ya makari mu mafashi ya yulu. 13 ni vile , mubebe ma sila ya Mungu , djo ya kushimama mu machiku ya mubaya , na kuchimama imara kisha kutambuka. 14 Muchimame seke imara : mukuye na ukweri kama muchipi mukivuno yenu; muvale gambo ya aki; 15 Muvale dju ya bilato kumikulu yenu mabao ile ina leta engili ya salama ; 16 Mubebe yulu ya biote ukingo ya imani, na ile mutezi kujima ma djiya yote ya moto ya mukalamushi; 17 Mubebe tena chapo ya kokolewa , na mupanga ya kiroho , ile ni neno ya Mungu. 18 Mufanye mu wakati yo kupitiya roho mahombi ya namuna yote na ya buluma . muchimame ku ile na kwedeleya beleyote , na muhombe djo ya batakatifu bote. 19 Muhombe djo yangu , dju ni pewe , pale mitafungula kinya , ya kudjuwisha vile inapasha na uru siri ya engili , 20 Djo ya ile niko mushimamizi dani ya bifungo , na ile mina sema na kwakikisha sa vile mina pasha mu kusema 21 Dju na mweye , muyuwe ile ina nyangariria , iyi ni na fanya , Tychike , mupendwa nduku na mukamilifu na mwaziri dani ya Bwana , ata mionesha biote. 22 Mina mutuma biyobiyo kwenu , djo mu yuwe ali yetu , na djo a poleshe ma roho yenu. 23 Salama na mapendo na imani imi pewe ku banduku kutoka kwa Mungu Baba na kwa Bwana Yesu - Kristo! 24 Neema ikuye na na mwebote muna pemda Bwana Yesu - Kristo kwa mapendo ya mushimamo.