Sula 1

1 Paulo , mutume wa Yesu Kristo kupitiya mapenzi ya Mungu, ku ba takatifu bale beko mu Epheso na ba kamilifu mwa Yesu kristo: 2 Neema na salama y mi pewe kupitiya Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo! 3 U barikiwe Mungu , Baba wa Bwana Yesu Kristo, ari tu bariki mu manamuna yote na mabaraka ya ki roho mu mafashi ya yulu mwa Kristo ! 4 Dani yake Mungu ari tu tshakula bele ya ku umba dunia , dju tu kuye batakatifu na ba sho kutenkatenka bele yake. 5 Shiye tu ritshakuliwa mu mapendo yake kuya ba toto yake kupitiya Yesu Kristo , vile aritaka kwa mapenzi yake, 6 mu kusifu ya utukufu ya neemaa ile ari tupa mwa mupendwa wake. 7 Mwake tuko na ku okolewa kupitiya damu yake , kutukombola mu zambi, vile utadjiri ya neema , 8 Mungu ari pungusha ya tele yule yetu kupitiya ekima ya namuna yote na akiri, 9 A na tu djuwisha siri ya mapenzi yake, kwa vile a na taka mu kuhumba mwake ye moya , 10 Djo ya kuyeka mu matendo pale wakati ita fika , ya kuweka pamoya bintu biote mwa Kristo, ble biko mu bingu na bille biko pa dunia. 11 Mwake tu na kuya tena bariti, tu ri tshakuliwa bele kufatana na kutaka ya ule eko na fanya bintu biote kufata na mashauri ya mapenzi yake, 12 Dju tu tumike mu ke shangiliya ya utukufu yake , shiye bale bele tu ri tumainiya mwa Kristo. 13 Mwake mweye tena , mu kushikiya neno ya kweri , indjili ya okovu yenu , mwake muri amini na bari mitshandja Roho Mutakati ile bari lakaka, 14 ile iko ahadi ya uriti , dju kombola bale Mungu ari tshakula, kwa ku shangiliya ya utukufu yake. 15 Ni pale miye tena , Muku shikiya kusema ya imani yenu kwa Yesu na kwa mapendo yenu dju batakatifu bote , 16 Mi shi atche ku murudishiya neema dju mweye , mina mikumbuka mu mahombi , 17 Dju ya Mungu wa Bwana Yesu Kristo wetu , Baba ya utukufu , a mipe Roho ya ekima na ya ufunuwo , mu ku djuwa kwake , 18 Na engaze matcho ya roho yenu , dju mu yuwe kitumaini kani kina riunga ku mwito yake , butadjiri kani ya utukufu ya kuriti kwake ana tchungiya batakatifu, 19 Na iko dju yetu shiye tu amini bunene ya Nguvu yake ya sho mwisho, ina djonesha na nguvu kupitiya buzuri ya nguvu yake. 20 ile ari weka mwa Kristo , mu ku mulamusha mu bafu , na muku mwikarisha ku mukono ya mwanaume yake mu ma fashi ya yulu , 21 Yulu ya utawa yote , ya madaraka yote , ya nguvu yote, ya makustaili, na ya ma djina ile ba tezi kutaya , apana paka mu wakati ya sasa , lakini tena mu waka ya ku mbele. 22 Ana weka biote tchini ya mikulu yake, na leta dju ya mukubwa wa yulu ya kanisa , 23 ile ni Mwili yake , utawa ya ule ana yaja yote mu biote.