Sula 1

1 Petro , Mutume ya Yesu-Kristo , kwa bale beko bageni na bakurikabula mu Pont , Galatia , Cappadoce , Asia na Bithynia, 2 Na beko batchakuliwa mukudjuwa ya Mungu Baba , kupitiya kutakasiwa ya Roho , djo bakuye bakuti , na bariunge mu ku mwangika kwa damu ya Yesu-Kristo ; neema na salama yongozike kenu. 3 Mungu a barikiwe , Baba ya Bwana wetu Yesu-Kristo, ule , vile rehema yake munene , ana tupa kuzarika kwa sasa, dju ya kitumaini kijima, kupitiya kufufuka ya Yesu-Kristo mu bakufa, 4 Dju ya uriti bule a uwezi ku oza , wala kutchafuka, wala kupoteya, ile bana mitchungiya mu bingu, 5 Kwa mweye bale , kupitiya nguvu ya Mungu , mutchungiwe kupitiya imani dju ku okolewa karibu na kurionesha mu mawakati ya mwisho. 6 Ni ile ina fanya furah yenu , ata vile sasa , djo ina pasha , mukuye na susi dju mu wakati kilo kupitiya kutshunguza kanamuna yakwatshana , 7 Djo kutshungu ya imani yako , iko na beyi kupiti zaabu ya kwalabika ( ata kama ina pita mu moto) , na dju matokewo kutukuza , utukufu na eshima , pale Yesus- Kristo ata kuya , 8 Ule muna penda pashipo ku muona , mwa ule muna aminiya pashipo ku mu ona tena , mu na furayi furah isiyoelezekana utukufu , 9 Kwamana mu mu tapata kuokolewa ya ma nafsi yenu kwa beyi ya imani yenu. 10 Ba nabi , bari tabiri bana neema ile iri tchungiwa dju yenu , bari fanya kuokolewa kama kintu kia kufunda na kutafuta. 11 Mukutafuta kuyuwa wakati na makutano iriwekewa kupiti roho ya Kristo ile iri kuya dani yabo, na ile iri onesha bele mateso ya Kristo na utukufu ile ita fata . 12 Bari ba onshe asema ayina dju yabo bobenyewe, lakini dju mweye murikuya ba kukabula bile bintu, ile bari mionesha sasa bale bari mi onesha endjili kupitiya Roho-Mutakatifu kutoka ku bingu, na mu ile ba malaika bana tamaniya kona. 13 Ni kwa vile , bamba kitsho kiako ba pashi, weka akiri kwa bile uku na waza , na kuya kitumaini kiote dani ya neema ile ba ta mi leteya , pale Yesu-Kristo atakuya. 14 Sa vile batoto ya kutin, mushi ishi dju ya ku furaisha taama , pale murikuya mu ku kosa kuyuwa. 15 Lakini , Kwamana ule ari mi ita eko mutakatifu , Na mweye mukuye batakatifu mu mwenedo yenu yote, 16 Sa vile ina endjikiwa : Muta kuya batakatifu, kwamana niko mutakatifu. 17 Na kama muna ita sa vile Baba ule eko na sambisha vile matendo ya kila mutu , pashipo butshakuzi ya bantu, Mu tembeye na boka mu iyi wakati kupita kwenu. 18 Mu djuwe asema ayina kupitiya bintu bia kwalabika, kupitiya makuta wala zaabu , djo muriuziwa mu mifano ya bule ya ku ishi ile mu ririti kutokeya bababa yenu, 19 Lakini kupitiya Damu ya beyi ya Kristo, sa vile kondo wa shipo bubaya na wa shipo butchafu. 20 Tayarishiwa bele ya ku umba dunia , na konesha ku mwisho ya ma wakati, dju yenu, 21 dju kupitiya yeye mu tumainiye mwa Mungu, kwaule ari lamusha mu bafu na ana mupa utukufu, dju imani yenu na kitumaini yenu ikale mwake Mungu. 22 Mukuya na ma nafsi ya kutasiwa mu kuti ku ukeri dju ya kuya na mapendo ya bu dunku ya kweri , muri pemde mu biakeri ba moya na bengine , na roho yenu yote, 23 kwamana murizarika ba sasa, a ina kupitiya beko ya ku woza , lakini kupitiya beko ya sho ku oza , kupitiya neno ya bujima na ya lote ya Mungu. 24 Kwamana mwili yote iko sa vile mutshi, na utukufu yayo sa vile Mauwa ya Mutshi; 25 LAkini neno ya Bwana ina ishi milele na milele. Na ile neno iko ile bari mi ubiri kupitiya Endjili.