Sura ya 1

1 Paulo na Timothe, batumishi ba bwana Yesu Kristo na bale bote banaikala kati yamukini ya Filipi ju ya Kristo, bionzi na bashimamizi ya kanisa; 2 Neema na amani kutoka kua baba Mungu wetu na kua buana Yesu iwe na muebote. 3 Nabariki baba Mungu, sababu minamikumbuko kilashiku. 4 Wakati minaomnaka Mungu shimi sabue katika manbi na mina ambakana fura yote. 5 Nasifu Mungu kutokeya shiku ile ya kuaza mpaka leo ju ya engili. 6 Mina juwa yakuaba balebote baliaza kazi bele musalama na muma pendo bata endeleyo nakati ile tii shiku buana Yesu Kristo ata kuya. 7 Mina kuya namawozo muzuri kilashiku ju yenu, nakumitia dani ya mayo ha kuumilia dani ya maombi. Ata wakati nilikua, dani ya buloko, ju ya engili. 8 Ata Mungu anayura yakuabo mina mipendaka mue bote kupitia buana wetu Yesu Kristo. 9 Minataka: muwe na umoya tena na ufamu wenyi sana na kekima sana; 10 Mina penda kumukalalamusha mupate kucha kuwa mambo muzuri apana mambo mabaya mina toka mukuye batakatifu bokueli bashi nukute dani yamakosa shiku ya kurudikua buana wetu Yesu Kristo. 11 Jo mutajazua na nguvu ya mifono muzuri na ukueli dani Yesu muepeke kutoka, kua bwana wetu Yesu Kristo, nanguvu naushidi wake Mungu baba. 12 Sasa ndungu yangu minapenda muyuwe, kama mateso yote ile nilitesua ilikuya kuasababu, ya kazi ya enjili iuezekane katika utimuengu muzima. 13 Sa askari muenie kuchunga mukini muzima ju adui asipate kuingiya dani ya muikini wala kwanyumba ya mfalme wala kuamutu, yayote tu. 14 Na wanduku wenyi kupitia ile maneno wanakua nafania kazi ya buana Yesu nanguvu, bila boka tena dani yawo nakuhiri nanguvu engili ya Mungu watu. 15 Kueli, batu bengine balikuya na nichikilia, buiku ju yako kazi ya Kristo na banataka kunipita. Lakini bamoya bznztenda muzuri sana mawazo yote bila tatizo. 16 Banakua na tangaza engili namapendo ju wana juwa kama buana, alinifunga ju nipote ku humbiri enjili yake. 17 Bengine kuhumbiri enjili ya buana nama roho mbili, bana zaniya kama bataniogopesha wakati niko kati ya mabuso. 18 Akuna mambo, kuasababu ote wa na fania enjili ya buana ata mawaza yowo yote ikiwa muzuri awe mabaya. Shitacha kufuraiwa. 19 Mina jua kama muko nanyombeya tena roho wa buana Yesu eko nani saidiye siku yote na mambo yote yita pita muzuri. 20 Mina jua ya kuauba sita pata aya ota kiloko shita lia ata bubishi sashiku yote mabo yote ile mika napata ita patia buana atukufu ata miko nabuzima awomi nakufa. 21 Wa ju yangu bujima ni dani ya buana Yesu lakini kufa niutadiri wangi sana. 22 Tena kama mingali muzima nita fania kazi mingi sana lakini shi juwe kuanza mita chakua nini. 23 Maba ihibili inanisha mayele miko na furaya kuasha duniya iyi na kufata buana wetu Yesu, ile yo yamana. 24 Ju yenu kubakiya kutenda mabaya duniya muna ona muriri kupita ya Kristo wetu. 25 Ja mina yuwa mina ichika ile mambo yote nafura daniya kudumu pamoya na mueye ju mpate kuedelea na imani. 26 Ju fura yenu yote ni dani ya buana Yesu tena juu yangu kua sababu ya ku wa pamaya na muenye tena. 27 Lakini mifano yenu iwe pamoja na enjili ya buana wetu Yesu Kristo. Mufanye ivi namutakue ya kama mita kua teno kuenu wakusikiya kama mume simama na mambo yenu, yote katika roho moya dani ya enjili. 28 Mushi agape adui yenu, dani ya mambo yote; ju ile ni a lama ya uaribfu lakini ngambo yenu ni olama za okovu katika Mungu baba. 29 Ju wali nuchukiya, ju ya buana, aina poka ju ya kumuichika lakini magumu ju yake. 30 Ju muka nachudi mambo vile balikuya na muye tena vile bali kuya miye tena.