1 Musifanje matimbo majuni, mbele ya batu ju bamitape, la kimi muyafanye kwa ufficho wala siri ju Baba yenu maflame auye mbiguni abalipe. 2 Na musi fanane na wanafiki .Wenye wanafuya vile kuma Hekala na ku ma nua ju ya ku sifiwa na ba tu. naba mbia kwa kweli batabata molizi. 3 Lakinu wakati unamupatia mutu kitu usijulikane kwa mutu mwengine ( usijipeke kilari). 4 Ju kipaji yako usejulikane kwa batu, nja apa baba mwonye anakuona tika fasi ya maficho atakulipi. 5 Musikuwe kama wanafiki watkati munaomba, ju ba mipenda kuomba kwa ku simama ku hekalu na ma njio ju ya kuonena kwa batu kwa sababu wana malipo yabo. 6 lakini wakati unapenda kuomba, injia ku nyumba, na fungo kisha uombi baba wako Mungu mwenye anaona ku ma ficho akulipe. 7 Usi seme mambo mingi kwa kurudilia kila maneno kama fiki wenye wana fikini kwa kuomba mingi njo Mungu ata basikia. 8 Kwa hiyo, musifanane bale, ju baba yenu alishajua yote enye muko noyo la zima mbele ya ku muomba. 9 Muombe hivi« Baba yatu wa mbinguni, ulitukuze jina yako. 10 Upendo yako ifanyike apa ku donia nle inafanyikama kule yulu. 11 Utupatie chakula yetu ya siku yote. 12 Utu samee dahambi yetu kama vile siye tu na sameaka bali benye banatu fanya mubaya. 13 usetubebe ku majaribu, lakinu utu-toshe ku mabaya ya shetani». 14 Kwa sababu mukisameya dhambi ya batu, ba yemu wa mbingumi atabasamea vile vile. 15 Lakini kama munakatala ku basameye, baba wenu na vile hatabasamea makosa yenu. 16 Ikiwa mumafanga, Musionye she sura ya huzini. kama wanafiki benye banabaderisha masure yabo, ju batu bajuwe kama banafunga. kwa kwele bale batu biko na malipizi yabo. 17 Kakini wakati munafunga, mujitengeneze muzuli na kupakala mafuta, bichwa na buso yenu. 18 Hiviyo, ju musionyesh kwa batu kama munafunga, lakimu baba yenu yenye peke mwenye iko dani ya uficho, na amabaona ku muficho, atabalipa. 19 Musijiaze na mali apa ku dunia ya uficho, kwenye biluluna kutu etayaribisha, bizi banaweza kuingia na kuiba. 20 Kuliko ele, muyaze mali yenu mbinguni kwenge ata bilulu wata kutu haitaya ribisha, wala kwenge bizi banawiza kuingia na kuyiba. 21 Kawa sababa kwenye mali yaki ikonjo kwenye mali yaki iko njo kwenye noho (wala akili) yako vile ilakuwa. 22 Licho ni tata ( mwinda) ya mwile, kwa kama licho yako iko muzuri, mwili yako vile inayazwa na mwangaz. 23 Lakini kama licho yako inakufa, mwili yako yote inayazwa na giza! kwa kama mwangozi enye iko mwako iko ya giza, giza, giza enyewe itakwa ya bunene gani? 24 Mutu moja hawezi kutumikia babiozi bawle kwa mana moyo, kwa sababu atapenda moja, na atakatala mwengine, wala atajipatia kwa umoja atamutupa yale mwengine. Hamuwezitumikia Mungu na mali mu wakati moja. 25 Njo maama na mali na na bambia, mausikwe na shaka ju ya maisha yenu, kuwa mutakula nini, mutavala nin, kwa sa bubu maisha (uzima haina maana kushinda chakula, na mwili kushinda manguo. 26 Angalieni mandege yulu, habandi na habavuni na habakusonyi na kutunza ghalani, laki baba wenu wa mbinguni anaba kulisha. Hevi mingi hamuko thamani. kuwashinda. 27 Nani ndani yenu kwa kujihangoisha anaeza ongeza ata siku moja ku maisha ya ke?. 28 Ju ya munajiuzi ju ya manguo ya kuvala? Mufikirie ju ya mauwa ku mashamba, mudele inakwaka, habitumake wala habashoneshake manguo. 29 Lakini nabimbia kama sulemani ndani ya utukufu yake yote hakuvala ota kama umoja ya abo. 30 Kama Mungu anavilisha mayani ndani ya mashamba , enye nashinda leo ne kesho ba naitupaku moto, basi kwa nini ashinde ku bavalisha nuye batu ya imani kidogo. 31 kwa hujo masijisumbue;« kwa kuwa mutakula nini?» wata; Mutu kunywa nini».ao« mutavala nini». 32 Mambo kama haya inatafutwa na wapagamu; baba yenu alie mbinguni anayuwa maitaji yenu. 33 Lakini mutafute kwanza ufalme wake na haki yake; na mutapewa bitu byote benye inaabakia. 34 Musiji sumbue ju ya kesho kwa sababu kesho itaji shughulikia ye mwenyewe kwani kila siku inaenae na mambo yake.