1 Na ufalme wa mbingu uta fanana na bale banamuke kumi bakuji chunga benye bali beba matala yabonakwe nda, kupokeya bwana wandowa. 2 La kini banamuke tano, katiyabo bali kuwa bapumbafu na batano, bengine bali kuwa ba kalamusi. 3 bale bapumbafu. 4 wakati balibeba matala yabo aba kuweka mafuta balamusi balibeba matala yabo na mafuta ndani ya machupa . 5 Na wakati bwana wandowa ali kawiya kufika, bote baka chaka na kisha ba kalala bu singizi. 6 Na kufika batikati ya busiku, ba kahanza kulala mika mulamuke , bwana wando wa anafika, mutoke inje muka mupokeye. 7 Na bana muke bote ba kalamuka, na kuwasha matala yabo. 8 Bale bapumbafu ba kahambiya bale tano ya mayele, mutu sahidiye na mafuta kidogo kwa sababu yetu matala inazimika. 9 La kini bale bale tano bakuji chunga tena ba hakili bakajibu, na kubahambiya, mafuta yetu ni kilogo aita weze kana kukabula mweye na siye, la kini mwende kusoko mukauze yenu mafuta . 10 Na wakati bakaenda kuuza mafuta, na bwana wandowa akafika, na bale tano balikuwa tayari bakaenda naye kufeti yandowa, na kisha bakafunga mulango. 11 Na kisha bale banamuke tano bapumbafu ba kafika, bakisema, bwana, kwana utufunguliye. 12 Na akabajibu, kwakweli nina bambiya, miye simjuwe. 13 La kini malamuke na mukuwe macho saha yote, kwasababu amujuwe siku wala saha. 14 Kwa sababu, inafanana na mutu mwenye kuwenda safari kumugini ingine, ali baita ba fanya kaziyake, aka bakabu liya bote feza yake. 15 mutu wa kwanja alimupa makuta tano, mwengine makuta mbili na watatu likuta moya kila mutu alipata faza kufatana na nguvu yake, ule mwenye faza akatoka na kwenda lwake. 16 Na ule alipata makuta tano aka itumikisha na ikajala tena feza ingine tano. 17 Na muma moya na ule alipata fezambili akazalisha ingine faja mbili. 18 La kini mufangya kazi ule alipe wa faza moya, akaenda kuchi mba shimu na akazika feza moya ile. 19 Kisha wakati murefu kupita, mwenye faza akarudiya, na aka anja kubahu liza kila mutu. 20 Ule mufanya kazi alipata makuta tano akakuya na akaongeja ingine feza tano akasema, uli nyachiya feza tano, lakine na ongeza tena ingine feza tano. 21 Mwenye feja akasema, iko, muzuri sana mutu mishi munguri na mwenye kuwa na imani, kwaku wa uko mwaminifu kubitu kidogo, nita kupa cheo ya bitu binene na ingeya ndani ya nyumba wako. 22 Mufanya kazi ule alipewa feza mbili naye aka sema, bwana uli nipa feza mbili lakini nazalisha ingine faza mbili. 23 Mwalimu akasema, muzuri sana, mwenye kuwa naimona, kwa kuwa uko na imoni mubi tu kidogo, nitakupa cheoya ya bitu bikubwa, na ingeya ndani yanyumba ya feti paemoya na mwalimu wako. 24 Na kisha mutu mishi mwenye alipewa feza moya naye akasema, mwalimumiye na yuwa kama uko mutu miye nayuwa uko mutu wakasi rani sana, una vunaka ata fasi yenewe aukupanda na unabebaka ata kitu akina kyako. 25 Miye nili ogopa nani kaenda kuficha fiza yako ndoni ya bulongo, ni ivi nina, kurudishi ya feza yako. 26 27 Na kisha mwalimu aka mujibu na kusema, mwalimu aka mujibu na kusema, weye ni mutumishi mubaya na muchafu, uli yuwa kama miye, na vunaka fasi, yenye shikupanda na kubeba ata kitu akina kyangu. Uli pasha kwenda kuficha feza yangu ku banki nilipasha kubeba ayo na nyongezo. 28 Mumu nyangonye ile feza na mupatiye ayo ule mwenye kuwa na talanta kumi. 29 Muyuwe kama ule wote mwenye kwa na kitu, bata mongeze ya ingine loe kini ule asiye kuwa na kitu bata munya nganya ata kile eko na wekeya roho. 30 Mume tupe inje kugiza mutu mushi mubaya asiye kuwa na fauda kule kwenye kuta kuwa kiliyo na kusaka meno. 31 Wakati mutoto wa mutu atakuya na ba malaika bote pamoya naye, na ata kuwa wa kwikala kukiti kyake kya utukufu. 32 Na mataifa yate bata kusanyika mbele ya yote bata kusanyika mbele yake na yeye ata kabula batu kama vile muchungaji ana kabula ka mbuzi na kondolo. 33 Ata weka kondolo kumuno wa kuhume na mbuji ku mukono wakushoto. 34 Na kisha mfalme ata ambiya bale beko kumukono wake wa kumu, mukuye kwasa babu mweye muna barikiwa na baba yangu na muriti ufalme wa mbinguni kama vile ilitiya rishiwa juu toka mwanzo wa duniya. 35 Kwa kuwanili kuwa na njala na mulinipa chakula, nilikuwa mugeni na mweye muli nipokeya. 36 Nilikuwa bila nguo na mweye mulinivika , nili kuwa mugonjwa na muka ni tunza, nilikuwa kwenye buloko na mweye mulikuya kunihongaliya. 37 Na batenda maziri bata mujibu na kumuliza wakatigani ulikuwa na njala nasiye tuka kulisha? ao ulikuwa na kioya mayi na tuka kupa mayi? . 38 Wa kati gani ule kuwa mgeni nasiye tu kakupokeya? wakati gani ule kuwa bunchi na siye tuka kuvika nguo? . 39 Wakati gani ulekuwa mugonjwa ao kati ka buloko na siye tukaya kuku tazama?. 40 Na mufalme ata wa jibu myambiya, wakati wote mule tenda kitendo kama iki kwa mutumishi wangu ata mudogo muli niteya miye. 41 Na kisha ata ba ambiya bate bata kuwa kumakino wake wa kushoto, mutoke mbele yangu, muko ba kulainiwa, na mwende katika moto wa milele wenyewa katika moto wa kwa ajili ya shetani na ba malaika bake. 42 kwa sababunili kuwa na njala la kini hamu kunipa chakula, nili kuwa na kiu ya mayi la kini amukunipa mayi. Nilikuwa mgenila kini hamu kuni karibisha, nili kuwa 43 bunchi, lakini amu kunipa mavazi, nilikuwa mgonjwa na katika buloko, la kini hamu kuni angaliya. 44 Nabo piya bata mujibu na kusema, mwalimu, wakati ganitulekuona na njala ao na kio, ao mgeni, ao ukiwa bunchi, ao ukiwa mgonjwa ao ukiwa mfungwa na siye hatu kuku saidiya?. 45 Kisha ata wajibu, nakusema, kweli nina bahambiya, ileyote amuku tendeya ata mutu moya kati ya batumishi yangu ata ba kidogo, nimiye njoo ha mukuni tendeya. Na haba bote bataenda ka tika moto wa milele, lakini 46 batu ya haki bataenda batika uzima wamilele.