1 Kisha, aliongea na kikundi ya watu fa moja hapa moja na wanafinzi. 2 Wanohishi na wafalisayo wanaikala ku kiti ja musa. 3 Basi, kila wanawamba mfaye, mhifafanye na mkiwachunguza, lakini matendo jao, kwa sabubu wakonasema meneno nyenye hawafanye. 4 kweli, wao wanafunga mizigo ya mizito ni vigumu kwalo kuibeba, nakiisha kuibebesha watu wengine kumabega ayo lakini, wenyewe hawapime ata na kidole kubeba ile mizigo. 5 Yle matendo yote wako wanafanya ili waonekane, mbele ja watu kwa sababu wao wananenapesha yao na kupanua ukubwa wa mapindo ja manguo jao. 6 Wao wanapendaka kukaa fasi yenye kuonekana penye feti, na kukaa ku vitii ja heshina ndami ja makanisa. 7 Nakuasalimia na heshima popote na kuikwa wa walimu. 8 Lakini hamupaswa" kuitiwa "sababu moko na mwalimu moya tu na niye wate ni wandugu. 9 Hape dunimi hakuna mwenye anaweza kuitiwa baba, sababu tunaye baba mumoya tu, ule anaishi mbinguni. 10 Wala msiitwe«walimu» sababu mkana mwalimu mimoya tu, ndiye kristo. 11 Lakini ule anamekana kuwa mkubwa, atakuwa mtumishe wenu. 12 Na ule wote atajipandisha atashushwa, na ule majeshusha atapandishwa. 13 Waandishi na mafarisayo, lakini ni ole kwenu, waunafiki, mnazuia watu ufalwa wa mbingu, nanji pia hamwezi ni ole kwenu, waunafiki, mnazuia watu ufalme wa mbingu, nanyi pia hamwezi kuuingia na hamukubali, na mhurusu wenye kuwa tayori kwa kuuigia kufanya ayo. 14 ole wenu wandishi na wandishi na wafalisayo waunafiki sababu mko munanyayasa wajane. 15 Ole wenu waandishi na wafarisayo waunafiki mwavuka ngambo ja bahari na kufika kumwegeuza mtu mmayo kuwa mwaminifu ile mnayo fundisha, na wakati alipo kuwa sawe niye, mnamfanya kuwa mara pili mwana wa jenama kamavile niye muk. 16 Ole wenu viongozi vipofu na mnasema, Mwenye analapa kwa hekalu si kitu, lakini ule na lapa kwa or ja hekalu anafungwa na kiapo jake. 17 Niye vipofu, wapumbafu, kitu gani kiliko kikubwa kuliko, ingine, dhahabu au hekalu yenye ilitakasa dhahabu kwa Mungu 18 Na kwa wate, anaye lapa kwamazabahu si kitu, bali anaye lapa kwa sadaka yenye kwa juu jake, anafungwa na kiapo jake. 19 Niye watu vipofu, kitu gani ni kikubwa kuliko inegiko, sadaka au madhababu inaya takasa sadaka zinazo tolewa kwa Mungu. 20 Kwa hiyo, analapa kwa madhabahu, anapa kwa hiyo na kwa vitu yote juu yayo. 21 Naye analapa kwa hekalu, aapa kwa hiyo na kwa ule mwenye kukaa noni yote juu yayo. Naye analapa kwa hekalu, kwa hiyo na kwa ule mwenye kukaa ndomi jake. 22 Na yeye analapa kwa mbingu, uapa kwa kiti ja ufalme wa Mungu na kwa yeye aketiye juu jeyo. 23 Ole wenu, waandishi na mafulisayo waunofiki sababu mutowa sadaka kwa nanukato muzuri lakini mazarahu mambo makubwa, ja sheria-haki- rehema -na imani, lakini huyo ndio mmapashwa ku ifanga, na pasipo kuacha ingine bila kuacha ingene. 24 Niye viongozi vipofu niye ambio machuya kidudu kidogo lakini hamumeze ngamia. 25 Ole wenu, wandishina mafalisayo wanafiki, sababu niye mnasafisha ichi ja kopo na ichi ja sahani, lakini ndoni mmeyaa uchafu na kutukuwa na kiosi. 26 Niye mafalisayo vipofu, musukule kwanza ndani ja kopo na ndani ja sahani ili upanda wa ije nayo ile uwe safi. 27 Ole wenu, waandishi ma mafarisayo, wanafiki sababu munafanana sawa ma makaburi jenye inapaliwa langi kwa nje na inaonekana mazuri, lakini kwa ndani yameyaa mifupa ja watu waliyo kufana kila kitu kiliyo kichofu. 28 Hata vile niye kwa nje munaonekana watu wenye haki mbele ja wengine, lakini ndani jenu mmayala unafikina na zambi. 29 Ole wenu, waadishi na mafarisayo, wanafiki kwa kuwa mnajenga makaburi ya wanabii na kuyapamba makaburi ya wenye haki. 30 Niyen mnasema kama tungeishi wakati wa baba zetu, hatumunga damu ja wanabui pamoja nao. 31 Kwa hiyo mnajishudia niye peke kama ni watoto ya wale waliyo uwa wanahi. 32 Tena niye mnakikisha kujaza kipande inayo sitahili dhambi za baba zenu. 33 Niye wa nyoka, watoto wa vipiribao, namna gani mtakimbiya ukumu ya jenama?. 34 Kwa sababu ja hii, natuma manabii kwem, watu wenye akili na waandishi, wa kufa, wengine kuwatia mselabami muta uwa wegine, ndani ja kanisa zenu kuwatowa inje . 35 Hii jote ni juu yenu kutaka damu ja wenye ukweli iliyo mwangika dunini, mbele ni damu ya habeli mwenye keli mfake damu ya zakaria, mtoto wa barakia muliye muwa katikati fasi pakatifu na madhabahui. 36 Kweli masema maneno hii yate itopita kizazi iki. 37 Yerusalemu, yerusalemu, uko unauya manabii na kuwapiga majiwe wale waliyo kumwa kwako ni mora ngapi watia pamoja watoto wako kama vile kuku awakusanya watoto yake chi ya mabawa lakini akuitika. 38 Angaliya nyumba yako inabaki na uruma. 39 Ndjo maana, mina kwambiya eko hamutanyonaka tena kamwe mpaka mutasema«Abarikuwe ule ko nakuya katika jina ya burana»