Matayo Sura 2

1 Ksha kuzaliwa katika inchi ya Betelehemu ya yuda wa kati ya mfalme Herode, batu bakili ba kisema. 2 Eko wapi mfalme wa ba yuda mwenye anazaliwa? Tuliona nyota yake mashariki na tuna kuya ku mwabudu. 3 Wa kati mfalme Herode akasi kiya abari iyi, aka shangaa na yeruzalema yote. 4 Herode aka kusanya ya ba kubwa bote bate bamakuhani, na baandi bayi ya batu, ata ba utiza, christo ana zalika wapi. 5 Nabo ba ka mujibu, ku betelehema ya yuda, kama vile ili andi kwa na ba nabii. 6 weye betelehema auko mugini kidogo katika ba mfalme ba yuda, ndani yako njoo kutakuwa mu mfalme, ata tawala na kuchunga batu bangu ba Israrli. 7 Kisha Herode akaita tena batu ba akili kwa sili, aka bauliza ni wakati gani nyota ili onekana. 8 aka batuma batelema aka sema, mutafute muzuri mtoto ule anaza liwa, kisha mukuye munipashe. na miye niende nika mwabudu. 9 Kisha ku musikiya Herode, ba kaendeleya na safari yabo, na nyota yenye balikuwa na fwa ta kutokeya mashariki ili kuwa mbele yabo na ika sibama fasi polikuwa mtoto. 10 Wakati ba baona nyota bakafurayi sana na zaidi 11 Ba kaingiya munnyumba, ba kaona mtoto wakuza zaliwa, na mama yake Mariya , ba kapika magoti na ba ka mwabudu, baka fungula bitunga byabo na ba kotosha majewa yabeyi nguvu baka mu toleya, or, malasi na mafuta ya beyi. 12 Mungu aka baongo za katika ndoto, basirudiye tena kwa Herode, kisha baka ondoka na kurudiya kwabo kupitiya njeya ingine. 13 Kisha kwenda kwanda kwabo, malauka ya Mungu aka mutoya yusufu katika ndoto akisema, si bama, kamata megipito mtoto na mama yake mukimbiye ku egipito mwikate kule mpaka nitakwita, kwa sababu Herode eko natafuta mtoto mpaka amahuwe. 14 Na bu siku yusufu ali kamata mtoto na mama yake baka ki mbiya egipito. 15 Ba ka ikala kule tii wakati Herode alikufa, mambo iyi fanyika juu ya kutimiliza mambo Mungu alise maka na ba nabii, naita mtoto yangu mu egipito. 16 Wa kati Herode akaona kama batu ba akili bana muchezeya aki katoto bote bana ume betelehema kwa njiya ba toto ba ku zalika leo mpaka myaka mbili, kufatana na hesabu ya batu balikuwa ndani ya mugini, 17 Ni vile mambo yote yenyewe nabii Yeremiya ali tabiryaka ili timi lika. 18 Sauti ya kiliyo ili sikilika ku kama ya uruma sana kachel akiliya ba toto yake na alikatala ku nyamazishwa kwa sababu ba toto bati kufa. 19 Wakati Herode aka kufa malaika wa bwana aka mto keya Yesufu katika ndoto mu egipito na aka sema . 20 Si bama kamata mtoto na mama yake mwende mujimbo ya Israeli kwa sbabu bale balipenda ku uwa mtoto bote bana kufa. 21 Yusufu aka sibama aka beba mtoto na mama yake ba karudiya kujimbo ya Israele. 22 Na wakati bali sikiya kama arikelau ana kuwa mfalme wa yuda ana kombola baba yake Herode, ogopa kwenda kule kisha Mungu kumusemayaka tika ndoto, akatoka na akaenda ku jimbo ya galileya. 23 Na akaenda kwibala ku muji banaita nazanite, iyi ili timilika ku fatana na matabiri ya ba nabii, ya kama ata itwa kuzariti.