1 Bafarizayo na waadishi balitaka yerusalema, bakafika pemneni na yesu . 2 Bakamuhuliza , juu ya nini banafunzi bako habaeshimie sheria ya bazee kwa sababu biko na kula kunawa mikono. 3 Yesu akabajibu, na mweye juu ya nini amueshimie sheria ya Mungu juu ya sheria yenu . 4 Lakini Mungu alisema, eshimie baba yako na mama yako, na ule wote ata uovu baba yake ao mama yake kweli atakufa. 5 Mweye munasemaka na baba ao mama, musaada nilipenda kusaidia moliwate ayo juu ya kutolea Mungu. 6 Mutu huyo akisha hivi hawezi tena kusaidia baba wa ba mama yake. na hivi nzo munahari bu maandiko ya Mungu juu ya sheria yenu. 7 Mweye bato ya bongo, nabii isaya alitabiriaka kweli juu yenu . 8 Mungu akasema batu haba bananihe shimu kwa kinywa, lakini roho yabo iko mbali na miye. 9 Maombi yabo niya bure, sababu bana fwatatu mahubiri ya banadamu. 10 Kisha akaita batu bote akabaambia, musikie na mutamue. 11 Hakuna kitu nkuingia, kukinywa ya mutu na kumuaribisha roho, laki nini ile Enye kutokako kinywa, nzo inaharibishaka roho ya mutu. 12 kisha banafunzi balienda kusema na Yesu, unajua kama maseme yako unafaza isha sana barizao ndani na maroho yabo?. 13 Yesu akabajibu asema , mutiyote, yenyewe baba yangu azikupanda ita ngolewa?. 14 Ubaache, biko baongazi vipofu, kama mutu kipofu anaongoza mwenze yake kipofu, bote mbili batahanguka ndani ya shilu. 15 petro akajibu na kumwambia Yesu. Utuambia mfano hi unatoka kusena. 16 Yesu akazibu, na mweye amuyakua bado na kuttambua?. 17 Hamuoni kama kila kitu ikaenda ko kinywa kupitia kutumbu na kwenda choo? . 18 Kakini bituyote kotoka kukinywa kutoka na roho, niyo inaharibisha ka roho ya mutu. 19 Juu, ndani na roho, inatokaka mawazo mabaya, uuaji, usharati wizi usuuhuda wa uongo, na matusi. 20 Huyu nzo mambo inaharibisha roho ya mutu. 21 Yesu akatoka, mule, akatoka, akaenda kumunginiya mronasidoni. Akakutana mwana muke mkanani kutoka upande hiyo. 22 akapandisha sauti akisema "nihurumie, bwana wa daudi: mtoto yangu anagonza malali ya pepo. 23 Yesu akujibu neno, bana funzi yake, bakaenda kumuomba, ahache arudi kwake juu ya kelele. 24 Yesu akajibu, sikutumiwa kwa mutu yote, ni juu ya kondoo walipotea wa nyomba ya israeli . 25 Lakini alikuya na kuinana mbele yake, akisema, bwana nisaidie. 26 Alimujibu na kusema, " hauzikana, kubeba chakula ya batoto na kuwatupia imba" 27 Akasema, ndiyo bwana, hata hivi, imbwa wa dogo banakulaka kinangukia ku meza wa bwana yao. 28 Yesu akajibu naakisema" imani yako nikubwa. na ifanyike kwako kama unapenda, nya mutoto yake alipona ile wakati. 29 Yesu akaondoka pale na kwenda karibu na bahari ya galilaya, kisha alienda juu ya milimana kuikalia kule. 30 Kundi kubwa balikuya kwale na kumletea viwete, vipofu, mabubu, vilema na wengine, balikuwabagonzwa, baliba weka katika miguu ya Yesu na akabaponesha. 31 Na hiyo umafi bakashangaa baliona mabubu baligea, na bilena banakua bazima, viwete balitembea na vipfu wakiona. balimsifu Mungu wa Israeli. 32 Yesu akaita bana funzi wake, akasema "minawaonea hurumaunati, kwa sababu bamekuwa na miye kwasiku tatu bila kukula chakula, sitabarudisha kwao bila kukula, kwa sababu bakazimia kuzia. 33 Bana funzi yake baka mwambia, niwapi tutaweza kupata mkate ya kutosha nyikani ya kushibisha umatikubwahivi?. 34 Yesu akawaambia,«mukonamikatengapi? bakasema , saba, nasamaki wadogo wachache. 35 Yesu akawambia na umati kuikaa, chini. 36 Alikamatayule mikate saba na samaki, na baada ya kushukuru, akaaigawanya na banafunzi. banafunzi bakawapa umati. 37 Watu wote walikula nakutosha, na baka kusanyika mabaki ya vipande ya chakula wa vipande vipande, iliyala vikapusaba. 38 Wote walikula walikuwa banaume elfu ine bila wanamuke na batoto. 39 Kisha Yesu akarudisha makutano baende kwao na akaingia ndani ya mashua na kusafiri sehemu ya magadani.