Sura 1

1 Batu mingi barikuya mukazi ju ya kwanjika maulizo kwa mambo iliti mizika kwetu. 2 Kisha mambo yote baritutumia taugia mwanzo, batu benye bali ona na bari kuya batumisha ba neno. 3 Ni kwaile, mimi tena, mimeona mueuri kuji tambuza vile kwanza mwanzo na kwandika kwako, kaki tabu ju ya leta oda ya muzuri sana kwa Teofilo. 4 Ninataka kwa ufahomu wa kweli kwa mafundisho bari baripata. 5 Na wakatiwa Herodi mufalme wa Wayuda, kulikuya mukuhani mukubwa kwa jina ya Zakaria, wa arikumu nkunji ya ba padri ba mu abiya. Na nuke wakizazi ya Aroni jina yake Elisabeti. 6 Na bote bawiri barikuya benye kweli mbele ya Mungu, bari heshimiya makanuni na mafundisho ya Bwana. 7 Na bakukuye na mtoto, sababu Elisabeti hakukuya mwenye kuzala, na bote miaka yao ilikuya kupita kwa ile wa kati. 8 Siku nioja Zakaria alinza kufwanya kazi ya upadri mbele ya Mungu, na ilikuya wakati ya kinkunji yake ju ya kutumika. 9 Kufwatana desturiya ku pika kwa baritafuta kuhani ule ata saidia kazi na bari beba na ku muingiza ndani ya tempelo ya Bwana ju ya kuchoma ubani. 10 Na kinkunji ya batu kiri kuya mu maombi inje ya wakati ya matoleo ya ubani. 11 Na malaika ya Bwana alimutoke kwo mukono wa kuume kusimama kumazabau ya ubani. 12 Na kionyesho ya malaika, Zakaria anachanganyikwa na ku ogopa. 13 Na malaika akamwambia: «Usiongope Zakaria sababu maombi yako bana ishikiya. Na bibi yako Elizabeti atazala mtoto mwana une na bata mupanga jina lake Yoane. 14 Na ataku ya alamaya furaha na shangwe batu bamingi ba rifiraha kuzarika kwake. 15 Na atakuya mukubwa mbele ya Bwana, na hata kunwa mwinyo wala pombe ya makari sana. Na ata jazwa na roho mutakatifu kutokeya muntumba ya mama yake. 16 Na Israeli mingi batagenza uso waokwa Bwana. 17 Batatembeya mbele ya Mungu, na roho muta katifu na nguvu ya Elia, kugenza mioya ya wa baba kwa watoto babo, na kuwagenza mu ujambazi wao kwa kutembea kwa akili ya benye heki, wala kutengene za kwa Bwana kikunji kilio tengenzwa. 18 Zakaria akamwambiya malaika: «Mimi tayi fahamu maneno hii mufano kani, kwa sababu minesha kuya mzee?». 19 Malaika akamijibu: « Niko Gabriele, ule anashimama mbele ya Mungu. Na minu barinituma ju nikuone na nikupashe habari njema. 20 Tazama, hautasema tena, utakuya bubu paka siku ile maneno hiyi itafanyika, kwa sababu hau kuamini sauti ya ma sauti yangu, nayo ya talimiza kwa wa kati yake. 21 Nabale batu barimu chunga Zakaria na barianza kushanga wakati aribakia saa mulefu ndani ya nyumba takatifu. 22 Na wakati aritoka, asikusema tena, nabaritambua kusema aripata maonyo ndani ya nyumba takatifu. Na arianza kusumburia nabo paka kubilole tu. 23 Na wakati irieneya ya kazi ku malizika aritaka na arienda kwake. 24 Nakisha wakati bibi yake Elizabeti arikuya na mimba, kisha miezi tano arianza kufichama, nakurisemeya yeye moya. 25 Tazama hivi Bwana ananite ndeya; aritazam macho yake kwangu na kunitosha haya mbele ya watu. 26 Na mwezi wa sita wakati ya mimba, malaika Gabrieli bari mutuma na Mungu ku muji wa Galilaya kwa jina ya Nazareti. 27 Kwa kijana mwana muke arikuya bekira muchumba wa wa Yusufu, wa mu kizazi ya Daudi. Bikira huyu njina yake ilikuya Maria. 28 Malaika arikuya kwake ku mwambia: «Salamu, kwako kwa weye Mungu arikupa neema nukubua, Bwana eko pamoja naweye.» 29 Sababu ya neno hiyi arisikitika sana na akaji uliza ju ya meneno hiyi. 30 Na malaika akamwambia: « Ushiongope, Maria sababu unapata neema mbele ya Mungu. 31 Tazama utapata mimba na utazala mtoto mwana ume bata muyita Yesu. 32 Na atakuya mukubwa, bata muita mwana wa Mungu wa juu mbinguni. Na Bwana Mungu ata mupa kiti kambo yake Daudi. 33 Na atwala mashiku kwa mashiku mu nyumba ya Yakobo na hamuta kuya tena mwisho ya ufalme wake». 34 Na Maria aka sema na malaika: « Maneno hiyi ita namuna kani? kwa sababu sijuwe mwana ume?» 35 Na malaika arimujibu: « Roho mutakatifu itashuka yulu yako na nguvu ya juu ita kufunika kwa kiuvuri. nikule mtoto atazalikwa mutakatifu, na bata muita mwana wa Mungu. 36 Nautazame Elizabeti na ye alipata mimba ya mtoto mwana ume mubuze bwake, na eko na mimba ya miezi sita; yeye barianza kucheka kama ashi zalake (tasa). 37 «Hakuna kile kiko nguvu kwa Mungu». 38 Maria akasema : Tazama mimi ni mutumishi mwana muke wa Bwana. «Na ifwanike kwangu sawa vile bana isema !» Na malaika arimwacha. 39 Na wakati ile Maria arienda kuingiya mu muji wa mulima wa Yudea. 40 Aringiya kunyumba ya Zakaria na arimulamukiya Elizabeti. 41 Kisha Elizabeti kushikia jambo ya Maria, na mtoto aritingizika ndani ya mimba. Na Elizabeti arijazwa na roho mutakatifu. 42 Na akasema kwa sauti ya nguvu: « Umebarikiwa katika bana muke bote, na ibarikiwe tunda la tumbo yako. 43 Ma neno hiyi watokea wapi, mama wa Bwana wangu anaku ja kwangu. 44 Na kisha ku masalimiya na kushikiya sauti ilifika kwa Maria na mtoto alitenga ndani ya ntumbo yake. 45 Heri kwa yule ona amini, kwa kupokeya ile Bwana arisha kusema. 46 Kisha Maria akasema: « moyo wangu unamusifu Bwana. 47 Na roho yangu ina furahi ndani ya Mungu. yeye Bwana na mukombozi wangu. 48 Aritazonia macho yake ju ya kija kazi wake na bizazi bitaniita heri. 49 Maana mwenye nguvu ana fwanya matendo ma kubwa kwngu na jina lake ni mutakatifu. 50 Na rehema yake niyulu ya bizazi na bizazi, bina mu ogopa. 51 Aritenda nguvu kwa mukono wake; Na ariza mbarisha mawazo yao ya kiburi. 52 Ana angusha bakubwa mubichi biabo. Na anapandisha bale ba kurishusha. 53 Na bale bari kuya na yala anabajibisha na bintu bizuri, lakini benye mari, anaba fukusha kwa mikono yabo ya wazi. 54 Arikuya kuba saidiya wa Israeli kma mutimishi wake, na ju ya kuonesha buluma yake. 55 (Kama aribaombiya wa baba yabo). Abrahalmu na kizazi yake hata milele. 56 Maria ariikala na Elizabeti kuribu miezi tatu, kisha yake ariluria kwake. 57 Sasa kuzala kwa Elizabeti ku na kuya, na arizala mtoto mwana ume. 58 Ba jirani yake na jamaa yake wakati barishikiya neno hiyi. Kama Bwana arimushikiria buluma, na arifurahi ndani yake. 59 Na shiku ya munane barikuya na mtoto ju ya kumu peleka kumukanda. Na barimuita «Zakaria» kwa jina ya baba yake. 60 Mama yake akajibu akisema: « Jina yake ni Yaone». 61 Waka mwambia : « Mu jamaa hamuna ule anaitaiwa njina ile». 62 Bari muelezea baba yake kwa na alama yabilole ju babape njina ya mtoto. 63 Bari muleteya ka lubao ju anjike jina ya mtoto: «njina lake ni Yaone» Na bote barishanga. 64 Na mara moja kinua chake kilisema akaleta njila na aka msifu Mungu. 65 Na boka iri bakamata bote barijungulukiwa na muji ule. Na munulima ya Yudea. 66 Na bote barishikiya maneno haya, balipasha na kusema: Huyu ni mtoto wa mufano gani? Na mu mukono wa Bwana ulikuya pamoja na yeye. 67 Na Zakaria alijazwa na roho mtakatifu, na ari taburi na kusema: 68 «Abari kiwe Bwana na Mungu wa Israeli sababu aribatembeya watu wake, naku wa ombea tena» 69 Ametunya nyilu nguvu na woko mu jamaa wa Daudi, mutumishi wake. 70 Ni ile aritabiri kukinua chake na ba takatifu bote tangiya zamani. 71 Na wokovu wetu kwakutu komboa kwa mikono ya adui zetu bale baritu chukiya. 72 Arionesha uruma wake wake kwa baba yetu, nakuku mbuka agano ta katifu. 73 Kufuatana na kiyapo kile ari mulaka baba yetu abahamu na anatutimizia. 74 Kisha kututosha mu mikono ya ba dui zetu, inapashwa ku mogopa na kumuomba. 75 Ndani ya utakatifu na uhaki wa maisha yetu yote kuwatazanua siku yote ya maisha yao. 76 Na weye mtoto yangu utaitwa nabii wa aliye ju kwani utatembeya mbele ya Bwana ja ya kumu te ngenezea nja. 77 Na kuleta kwa watu wake akili na wokovu kupitiya ku usema ya zambi yao. 78 Na Mungu wetu atatu hurumia kupitia ku rehema yake. Na ile rehema itafa nanishwa na jua ya asubuyi ju ya kuangaza toka ju mbinguni. 79 Na ataangaziya bale bote beko katika ngiza na mu kinvuri ya mauti. Na ju ya kuongoza mi guu yetu kwa njia ya salama. 80 Kisha mtoto alianza kukomeya kwa roho mutakatifu. Alikuwa anekaa mu jangwa mpaka siku alianza kutoka mbele ya watoto wa Isreali.