Sura 9

1 Aliita banafunzi yake bote kumi na mbili na kubapatia uwezo na mamlaka juuya ma pepo yote na kuponyesha bagonzwa. 2 Alibatuma kuhubiri ufalme wa mungu na kuponyesha bangzwa. 3 Ali baambiya « musibebe kitu juu ya safari yenu, wala fimbo,walamkabawala mkate, walapesa na musibebe kanzu mbali. 4 Nyumba yote mutaingia, muikale pale mpaka wakati utaenea ya kutoka 5 Na bale batakatala kumi mipokea, mutoke ndani ya mjiulena mu chape mikulu kwa sababu musibebe ata vumbi ya mugini ile. 6 Baliondoka na kupitia muguni yote, kutangaza habari njema na kuponesha batu fasi yote 7 Na herode mtawala alisikia maseme yote ilitokea, akili ikamwisha, juuya batu balisemakama Yohanasl mbatizayi alifufuka tokawafu. 8 Na bengine kama elia alionekana, na bengine ni moya wa manabii wazamani amefufu katika. 9 Herode alisema, nilinchinja yohano lakini ni nani huyu minasikia habari yake ? yawatu. 10 Na kurudi na bale balitumiwa balimwambia kituyote balifanya akabachukua pamoya naye akaenda ye peke kumungini inaitwa betsaida. 11 Lakini makutano bakasikia neon ile bakamfata, akabakaribisha, akaongea nabo kwa ufalme wa mungu, na aliponyesha bale balihitwa kuponya 12 Kufika mbele ya usiku na bale kumi na mbili balienda kwakekusema. Uache makutano waende kumungini ya karibu na mijini batafute fasi ya kupumuzika na chakula sababu hi fasini ya muchangana 13 Lakini akabaambia,«nyie,mubapatie chakula.»bakasema «hatuna mingi ya vipende tano ya mikate na samaki mbili ni lazima tungeenda kununua chakula ajiliya kusa nyiko ile ya batu. 14 Ilikua na banaume kupata elfu tano pale akabaambia bana funzi yake «baikalishe chini makundiya watukupata makumi tano kwakila kundi 15 Na hivi batu bakaikala chini. 17 Akatuala mikate tano na samakli mbili akahangalia yulu, akalibariki na kuikata bipande bipande akabapatia banafunzi yake juu bakabulienabatu yote. 16 Bote baka kula na kushiba, na bitunga kumi nambili yua bipande ika bakia 18 Ikafika wakati alikua na omba ye peke na banafunzi yake balikua pale na ye akabahuliza kusema batu banasemaka miye ni nani ? 19 Bakamujibia yoano mubatezaji lakini bengine tena bana sema uko moya wa nabi ya wakati wazamani anafufuka tena 20 Akajibu basi mweye munajua kama niko nani ? petro aka jibu akasema uko kristo ana etoka kwa mungu . 21 Lakini yesu yesu akabashauria juu basiambia ile neno kwa mutu yote. 22 Akasema kama mtoto wa mutu lazima atesue kwa mambo mingi na kukataliwa na bazee ya makuhani wakuu na waandishi na atauawa na kisha siku tuta atafufuka 23 Aka baambia bote kama mutu woto akipenda kunifata,lazima ajikanembele ye mwenyewe na achukue msalaba yake kila siku na anifate. 24 Ule yote wenye kupenda kuokoa maisha yake ataipoteza lakini ye yote atapoteza maisha yake kwajili yangu ataokolea. 25 Faida ganikwa mutu apate dunia nzima kama anajipoteza aoanajiaribu ye mwenyewe 26 Mutu yote mwenye kunisikia haya na neno yangu mtoto ya mutu atamusikia haya wakati atakuya na hutukufuna baba yake na ba malaika bake. 27 Nina wambia kueli, uko batu kati yenu benye bana shimama mbele yangu, abawezi kufa bila kuona utukufu ya Mungu 28 Kisha siku munane, yesu aka sema maneno hi, kisha akabeba Petro, Yoano na Yakobo bakapanda milima kuomba. 29 Wakati balikua na maombi, sura yake ikabadirika, na manguo yake ikageuka rangi muepe na kungara sana. 30 Na ilikua banaume mbili balikua na kuongea naye, balikuwa musana elia. 31 Balionekekana katika utupu baliongea juu yakuondoka kwake mambo yenyewe aliendea kutimiza yerusalemu. 32 Petro na bale benzeyake balikua nabo balilala busingizi kubwa sana wakati balilamuka bakaona utukufuwake na bana umembili balikua nasimma naye pamoya. 33 Wakati baliondoka kwa yesu, petro akamwambia bwana ni muzuri kwetu tuikale hapa na tutengeneze banyumba ya batu tatu moya ajili yako,moya ya musa,moya ya elia ha kuelewa mambo balikua na muonesha na wakati balikuwa na ongeya mambo hi, wingu ikabafinikana. 34 Baliogopa sana kwa sana kwasababu balikuwa bamezungukwa na wingu. 35 Sauti ikatoka ndani ya wingu ikasema huyu ni mwana wangu nilie chagua musikilizeni yeye. 36 Sauti ikanyamaza yesu alikuwa ye mwenyewe balikala kimia katika siku ile na abakusema kwa mutu maneno yote baliona. 37 Siku ya kufata kisha kutoka ku milima ku likuwa kikundi ya batu balikuya kuku tananaye 38 Kulikuwa mutu moya katika kikundi akalalamika na kusema,mwalimu na kuomba uangalia mutoto yangu kwasababu ni ntoto yangu pekee. 39 Wakati yote pepo motshfu akimushika na mara moya anaanza kulalamika piana kutchanganikiwa na kutosha pofu kukiywa nayo ilikua na mutoka kwa nguvu mpaka ikamwangusha na kumumiza. 40 Niliambia banafunzi yako bakemee pepo lakini abakuweza. 41 Yesu akasema : mweyekizaziya wasioamini na wahuruswa, mpaka wakatiganinitaikalana nyie nakubebanananyiye ? Mletemtoto ulehapa. 42 Wakati kijana ule alikuya, pepo mchafu akamwangusha china na kumutikiza sana kwa fujo. Lakini yesu akaikemea ile roho mchafu. Akaponya mtoto na akanpatie na baba yake. 43 Bote bakashangala hutukufu kubwa ya mungu. Lakini wakati balikuwa na kushangala maneno hioliotendeka, akasema na bana funzi yake. 44 Manenohi ikale komasikiyowenu kwa sababu mterowa mutu atatolewa kumikono ya batu. 45 Lakini abakufahamu maana ya neon hanohayo ilifichwa kumachayao. Juu basitambue ileneno. Na baliogoya kumuuliza juuya mambote. 46 Na makelele ikaanzakati yabo kwa sababu yakujua nani atakuwa mukubwa kati yabo. 47 Na yesu aka elewa mawanza ilikuwa ndani yay oho yabo, wa ye akachukua mtoto kidogo atamuweka kati kati yabo. 48 Akasema kama mutu yote akakuwa kama mutoto modogohuyu na kumu pokea kwa jina yangu, unanipokea miye mwenyewe. Nahule atani pokea miye, ana mupokea pia ule ali. nituma kwa sababu, uleatakwa mutu mudogo kati yenu naye nzo ata kuwa mukuba yote. 49 Yoano akajibu, na kusema bwana tuliona mutumoya iko na kukuza pepo mubayakwa jina yako kwasababu hatu kumjue kati yetu. 50 Lakini yesu akabaambia, musikatale mutu ana etenda kazi kwa jina yangu. Hana aduyi wenu. 51 Wakati saaya kwanda mbinguni ilikaribia, alikamata mpangu ya kwenda yerusalemu. 52 Akatuma banafunzi yake kuenda da mugini moya wasamaria sababu ya kumutengenezea fasi. 53 Lakini kule habakumpokea kwa sababu ali kuwa naenda yerusalemu. 54 Yakobo na yoano bakaruzia na bakisema, bwana bana katala kupokea, basi tuombe moto kutoka mbinguni na iba chome? 55 Lakini akabageukia, na anabatombokea. Kusema hamjuwe pepo gani yenye kumisesha ville. 56 Kisha bakitoka pale bakaenda mugini ingine. 57 Wakati balikuwa kunjia mutu moya akamwambia, bwana nitakufata fasi yote utaenda. 58 Yesu akamujibu, mbwa mwito ikona chimoyake, na ngege ya hanga ikona china yake. Lakini mutoto ya mutu hana fasi yakulala kichwa yake. 59 Lakini akasema na mutu ingine unifate naye akamujibu bwana unipembele muda nikazike baba yangu. 60 Lakini yesu akamwambia, acha bafu na bafu bazikane lakini weye uende utangaze habari ya ufalme ya Mungu. 61 Mutu ingine akasema bwana nitakurata lakini unirushu mbele nirudi kunyumba nikabalake bazazi ya yango. 62 Lakini yesu akamwambia mulimayi yote mwenye kusika jembe juu yakulima, na akageuka nyuma awezi kuingia katika ufalme wa mungu.