Sura 24

1 Ile siku ya kwanza ya juma, mbele ya juwa kutoka, baka lamuka ku karibu, bana beba ile mafuta ya arufu muzuri bali changachanga. 2 Baka kuta ile lijiwe ya kumulngo bane isukumia mbali na kaburi. 3 Baka ingiya ndani, habaku ona mo mwili wa Yesu. 4 Hivi akiri yabo ili hangaika juu ya ile, kushituka hivi, bana ume mbili bakasimama kati yabo, benye ma nguo ya kwangala. 5 Pale bana muke bale boka ili ba bamba, ba anza kwangaria chini lakini baka ba ambiya hivi: " juu ya nini muna muta futa mutu mujima katikati ya benye kufa?" 6 Hana umu tena, anaisha kufufuka. Mukumbuke vile aliaza ku mi ambiya pale mungali ku Balilea. 7 Ali kuye ekona sema: " Ina pashwa paka mwana wa mutu bamu kabule ku batu ya Nzambi, akufe ku musalaba kisha afufuke siku ya tatu." 8 Bana muke baka kumbuka ile masemo, wakarudia toka kaburi. 9 Baka tangaza hii maneno yote kuba kumina moya na kwa bote bali kuya pale. 10 Bale bali eleza hii maneno ni ba Maria wa ku Magadala, Yoane, Maria mama wa Yakobo na ba mama bengine bamu nkundiyabo 11 Lakini, ile masemo yabo ile, ili kuya sa masemo ya mutu washo akiri kwa banafunzi, ndo pale habaku khika bile. Bana muke balisema. 12 Ile saa ile, Petro aka anza mbiyo kwenda ku kaburi. Kwa inje, aka kunjama na kwangaria mukaburi, akaonatu ile manguo yabei bali fungamo mwili ya Yesu. Petro pale hayasikiya muzuri vile mambo iko, arudia kwanza kwake. 13 Ile siku tu batu mbili ba mukundi yabo, bali anza kwenda pa mugini kiloko jina Emmau, ili kuya karibu na Yelusalema pa burefu bwa bipimo makumi sita. 14 Balienda na ku ongeleana moya kwa mwenzake juu ya ile mambo yote ili pita. 15 Ikafika pale beko na enda na kubishana, na kuulizana Yesu ye moya yz uyu anabatokelea, aka tembeya nabo. 16 Lakini macho yabo ha ikuweza kuvumbula aseme ni yeye. 17 Yesu asema nabo:"ni mambo kani muko na sumburia njia njia? Baka sikiya ya uzuni nakusimama pale. 18 Moya ule bana ita keleopa akamujibu: we moya tu, ule anaikalaka mu Yelusalema, hau juwe mambo ili fika mo masiku hii?" 19 Yesu akarudisha " mambo ya jee?" Bakajibu:"hi mambo yote ili mufikiya Yesu wa ku Nazareti, ule alikuya nabii wa uwezo sana mu matendo na mu masemo yake mbele ya Mungu na mbele ya batu bote. 20 Na hivi bakurwa ba bakuhanina bakubwa yetu ba inchi vile bali mubambisha na mukatia akufe ku musa laba. 21 Tulimu tumainia sana aseme ni ule kombola Isalaele. Hi mambo ili tokeya, leo njo siku ya tatu. 22 Leo tena bana muke bamoya tuna ikalaka nabo, bali tu shangaisha aseme, pale balienda ku karibu asubui sana. 23 Vile haba kukute mwili yake mule, bana kuya kututanga zia aseme eko mujima. 24 Bengine benze tu bana ume nabo balienda nabo kukaburi, bana kuta bitu paka vile ba mama balisema. Lakini paka hivi nabo haba mu one. 25 Njo sasaa Yesu aka ba ambiya: " Ee, mwe batu hamuna akiri, benye ma roho iko nakawiya kwamini ya ile yote ba nabii balisemaka. 26 Juu ya nini hamujuwe aseme Kristo mbele ya kwingiya mu utukufu yake ili omba paka ateswe hivi ali teswa". 27 Aka ba fasilia mu maandiko mule ile yote bali tabirijuu yake, kwanza bitabuya musa bya ba nabii byote na mu andiko ingine sawa mazaburi. 28 Wakati balifikaka karibu na ma nyumba, aka anza ku ba acha ende lwake. 29 Bo bamu kaziya aseme " Twikale mbele naweye, ni busiku tu hii, ina anza kwingiya". Aka ichika na bakaingiya naye mu nyumba. 30 Baka baleta chakula, ye akabeba mukate, akashukuru kisha akai vunjana kuba patia. 31 Njo pale sasa macho yabo ikafunguka, na baka juwa aseme ni Yesu. Paka pale aka potea ku macho yabo. 32 Baka anza ku ambiyana moya kwa mwenzake:" njo pale ma roho ili anza kuwaka moto pale alisumburia na shiye mu njia na kutu fasilia mandiko?". 33 Baka simama paka saa ile, baka rudia Yelusalema, bakafika kwenye bale kumi na moya, na bale bali ikala pamoya nabo. 34 Ina kusema:"Bya kweli bwana wetu alifuka na ali mu onekania na Simoni. 35 Baka eleza mambo yote ili bafikiya mu njia na vile alifanya njo bamuvumbule pakuvunja mukate. 36 Pale bo bangali ku eleza, Yesu ye moya akasimama kati kati yabo aka wa ambiya: "Salama kwenu". 37 Boli kuya sa bana kufa boka, baka wazia ni muzimu. 38 Yesu akasema nabo." juu ya nini munakuwa na akiri yamu muvuruko. Juu ya nini muna jiuliza ndani yenu? 39 Mu one mikono na mikulu yangu, ni miye uyu. Mukuye tumunibambe ku ma ungu na mu one jee, muzimu ina kuwaka na minofu na mifupa hivi miye niko. 40 Pale anasema vile, akaba onesha mikono na mikulu yake. 41 Ata vile, bangali na shaka ukuna furaha, beko tuna mu shangana, Yesu akasema nabo:"mukona chakula kani apa?" 42 Baka mu letera samaki ya kuchoma. 43 Yesu ai beba na ku ikula mbele yabo. 44 Aka ba ambiya: "njo ibi nili anzaka kumi ambiya, mpale tuli kuwa na mwenye, nili miambiyaka aseme ina pasha paka ifike maneno yote ili isha kwandikiwa yulu yangu mu bitabu bya Musa mu byapa na bii na mu mazaburi". 45 Pale sasa aka ba fungula roho, juu ba anze kusikiya ma andiko. 46 Tena akasema nabo: "njo vile iliandikiwa aseme Kristo ata teswa, na ata fufuka kutoka mu bafusiku ya tatu. 47 Nabata ubiri katika makabila yote kugeuza roho naku achiliwa kwa zambi kupita jina lake, kwanziya mu Yelusaleme. 48 Mweye njo ba hubiri ba hii maneno. 49 Muni angalilie, mita batuma ile yenye baba alilaka sasa mwenye mubakiye paka mu mugini umu paka pale muta vwala uwezo ya kumbingu. 50 Ku mwisho, Yesu akaenda pamoya nabo karibu. Akaweka mikono yulu, aka ba bariki. 51 Kwa ile wakati eko naba bariki aka achana na kupanda mu mbingu. 52 Baka mu abudu, kisha baka rudia Yelusaleme kwa furaha mingi sana. 53 Waka kuwa mu hekalu siku kwa siku kutukuza na kumubariki Mungu.