1 Feti kubwa ya mikate bila chachu ili karibiya ile ambao bana ika Pasaka. 2 Mukubwa waba kuhani na ba andishe bali tafuta na munaya kuna Yesu, lakini balikwa na ogopa batu. 3 Shetani akaingia ndani ya Yuda Iskariote, mu moya wa bale banafunzi kumi na mbili. 4 Yuda akaenda kuangeya na ba kubwa ya ba kuhani na bakubwa ya balinzi dju ya ya mamura ya kubapatia Yesu. 5 Balifurahi na kusikilizana djuya kumupatia makuta. 6 Aka itika kisha ananza kutafuta wakati muzini ya kumupona Yesu yepeke 7 Siku ya mikate bila chuchu yenyebata shija kondolo ya pasaka inafika. 8 Yesu alituma Petro na Yohani na kusema:«myende kutupiya chakula ya Pasaka kwa dju tu kule.» 9 Bakamwambia :«Wa kwenye una penda tuende ku pika?» 10 Akabajibia: «Musikiye, wakati, mutaingia ndani ya mugini, muta kutana na mutu una beba mbilika ya mayi, mumufate ndani ya nyumba yenye ata ingia. 11 Na mutu ambia mwalimu ya nyumba:"Mwalimu ana kwambia: «iko wapi ile tshumba yenye ndakulia Pasaka pamoja na banafunzi yangu? 12 Ata baonesha tshumba munene kule yulu, nyumba mukubwa. Kule ndjo muta pikiyaka chakula.» 13 Bakaenda nabakakuta bitu gisi alibambia na bakapika chakula ya Pasaka. 14 Wakati ili fika, akaikala pamoja na mitume. 15 Akambia: «Mina penda sana kukula hii chakula ya Pasaka na mwznye mbele ya kuteseka. 16 Juu na bambia, sita ikulaka tena mpaka itaenezanua ndani ya ufalme ya Mungu.» 17 Kisha Yesu akabeba kikombe na wakati ilimaliza ku mushukuru Mungu, anasema: «Mubebe hii na mwiyi gabulame kati yenu. 18 Ju na bambia, sita kunyatena na nyiye pombe ya mizabibu, mpaka siku ufalme ya Mungu ita rudia.» 19 Kisha, aka beba mukate, na sa ili mushukuru Mungu aka kota mukate na kuba patia ana sema: «Hii ni mwili yangu yenye na bapatia. Mufaniye hii njoo kunikumbuka.» 20 Na ni vile kisha kumaliza kukula, akabeba pombe ya vinyo na kusema: «Hii pombe ya vinyo ni agano (masikilizano) mupia ndani ya damu yangu yenye inamwangika dju yenu. 21 Lakini mufanye angalisho, mwenye ata ni ujisha iko na miye apa ku iyi meza. 22 Kwa sababu mutoto wa mutu alienda gisi biliamuliwa(gisi bilkisemewa). Lakini ole kwa mutu ule mwenye kupitia kwake njo mutoto wa Adamu aliujichiwa!» 23 Na ba kanza, na ni mwenye ndani yabo alifanya ile (ku ujisha Mungu). 24 Kisha ndani yabo kukatoka mabishano kati kati yabo kusema ni nani anajikata kukwa muongozi mukubwa. 25 Akabambia: « Bafalme ya batu ya mataifa biko na uwezo yulu yabo, bana baita baeshimiwa bata wala. 26 Lakini aita kwa kabisa sa vile kwenyu mwenye. badala yake mutubwasana ndani yenu akuye savile mudogo sana.ndani yenu akuye savile mudugo sana.na ule mwenye na mahoma sana ajifanya mutumbishi. 27 Sababu mwenye ako mukubwa;ni mwenye ana ikala ku meza wala mwenye kutumika! aiko mwenye ana ikala kumeza? na miye niko ndani yenu kama mwenye ana tumika. 28 lakini mwenye ndjo benye ambao muliendeleya na miye ndani ya majaribu. 29 Na bapatiya ufalme,gisi baba yangu alinipatiya ufalme. 30 Kwa dju mukule na mukunye ku meza yangu ndani ya ufalme,na na muikala ku makiti ye mye balikwa na sambisa na sambisa ma kabila kumi na mbili ya israel. 31 Simoni,simoni,jitshunge, shetani ana kulomba kusudi aku pitishe ndani ya kaingiyo sa vile bunga. 32 Lakini niko na omba ju yako kwasababu imani yako isi anguke. kisha urudiye kwa kikisha ba ndugu yako» 33 Petro aka mwambiya«bwana, niko tayari kwa kwenda na weye ku gereza na ku kifo.» 34 Na Yesu akasema; «petro na kwambiya,mbele djogo aliye leo utanikatala mara tatu.» 35 Akabambiya tena: «wakati nili batuma bila makuta,bila kikapo ya tshakula na bila bilato,muli kosa kitu!» baka jibiya ivi: «hakuna.» 36 Na akabambiya: kwasana mwenye iko na makuta haibebe na mwenye iko na mufuko (kitunga) na ye haibebe. na mwenye ana mupanga auzishe nguo moya na ouze mupanga moya. 37 Ju na bambiya, ile yote yenye ili andikiya dju yangu iti miziwe(ifanike): «balimukamata sa mwenye ana vunja sheriya.» 38 Akasema:«Bwana,ana mipanga mbili» na akabambiya: «inaeneya.» (inatosha). 39 Kisha kukula,yesu alienda gisi alikwa na zoweya kufania kilamara (kilasiku), ku panda ku mulima yaba muzeitumi,na bana funzi yake baka mufata. 40 Wakati balifika, aka bambiya: «mwombe kwadju musi anguke ku majaribu ya shetani» 41 Kisha akaenda mbali mabo vile murusho wa lijiwe kwenye ba na weza tupa lijiwe na aka pika magoti na kuomba. 42 Anasema: «baba, kama una penda, tosha ihi kikombe kwangu. Lakini yako ifaniwe.» 43 Kisha malaika moja aka mutokeya dju ya kumupatiya nguvu. 44 Katika kungua karibu ya ku kata roho, akaamba na kiasi kuomba mingi na masho yake, ikakwa kama matoni ya damu ya minene ina mwangika kubulongo. 45 Kisha kumaliza maombi, akakuya mbele ya banafunzi, na kubakuta bana lala sababu ya huzini. 46 Na akabauliza: «kwa nini muna lala? mulamuke na muombe kwa sababu musianguke ndani majaribu.» 47 Wakati ilikwa na sema, akaona, kikundi ya batu bana tokeya pale na Yuda, moya kuba kumi na mbili, jo alikwana baleta. Alizogeya kwa Yesu ju ya kumu busu salimiya. 48 Lakini Yesu akambiya: «Yuda, nikupitiya busu djo una saliti ( ku ujisha) mtoto wa mtu ?» 49 Wakati benye balikwa pembeni ya Yesu bakaona byenye binapita, baka sema: «bwana, ata pika kumu panga?» 50 Ua moya wabo alipika mtu mishi wa mukuwani mukubwa, kumutoka lisikiyo ya kiume. 51 Yesu akasema: «hii, inaeneya!» Na aligusa lisikiyo yake nakapona. 52 Yesu akambiya bakwani ba kubwa, ya ma hekalu na kwa ba Mzee benye bali kuyaki ngume yake:« Ni je muna kuya sa vile munaenda ku gombama ku ma pambano, na mipanga na mikuki? 53 Wakati nilikua kilasiku na niye ndani ya kanisa, amukunifunga. Lakini apandjo wakati yanu, na nija nguvu huwezo ya ma giza.» 54 Bakamukamate, kumuongoza na kumuleta ndani ya nyumba ya bakwani bakubwa. Lakini Petro alikua nafata kwa mbali. 55 Baada ya kuenda kuwasha moto katikati ya kiwanja (katikati ya lupango) na bakakuwa bana ikala chini pamoja, Petro aka ikala katikati yabo (ndani yabo). 56 Mutumishi moja wa miuona mweke ali muona dju ali ikala kariru na mwangaza ya moto, ali mwangaliya na kusema:«uyu mutu alikuwa pya naye.» 57 Lakini Petro alikatala na kusema: «bibi si muyewe.» 58 Kisha mwengene, ana muona anasema: «uko na na weye mu moya wabo.» Lakini Petro anasema: mutu sina wabo.» 59 Baada ya saa moya kupita, muengine akarudiliya tena: «kwa ukweli uyu mutu alikuwa naye kwa sababu iko mugalilaya. 60 Petro akajibiya: «mutu, si yuwe byenye una angaliya.» kwali moya sa alikwa na sema tena jogo ali liya (kuimba) 61 Bwana aligeuka akangaliya Petro. Kisha Petro akakumbuka kun neno yenye bwana alimwambiya: « mbele djogo iliye (kuimba) leo, uta nikana mara tatu.» 62 Akatoka unje, ye Petro akaanza kuliya sana. 63 Batu benye balikuwa na ginsi Yesu baka metsheka na ku mu pika. 64 Kisha ya kufinika surayake, baka muliza kwa kusema: «Vumbula! nani anakupika?» 65 Baka sema maneno mingi, mingi nyuma ya Yesu. . 66 Sa asubuhi ili fika, kikundi kia bazee batu, balitshangana pamoja na mukubwa wa ba kwani na waba handishi pamoja. bali beba Yesu ku makitano yabo. 67 Na balisema:«Kama weye ni Kristo twambiye.» Lakini alibajibiya: «Kama mina bambiya, amutaamini (amuta itika). 68 Na nikaba ulizi, amutajibu 69 Kwanziya leo, mutoto wa mutu atakuwa na ikala kumukono ya kiume ya ya nguvu ya Mungu. 70 Bakasema bote :«kwa ivi weye ni mutoto wa Mungu?» Na akabajibiya: « mulisha isema, niko aye.» 71 Kisha bakasema :«ju ya nini ukotena na lizima ya ushuda? kwa sababu tu na isikiya shiye pepe ku kinywa yake»