Sura 18

1 Kisha aka ba ambiya mfano kuhusugisi alipashwa kusali bila kuchoka. 2 Aka sema: «kuti kuwa ndani ya muji mku, mu amuzi mwenyi hakuanza ku ogopa Mungu na haku heshimiya hata mutu moja. 3 Sasa kulikuwa mwa ile miji mku mjine moja, alianza kuya kwake mara kwa mara, asema: umiamuliye katika haki na ule ananigombanisha. 4 Juu tangu zamini hakukawa na napenzi ya ku musaidiya, lakini kisha muda, akasema ndani yake: «ata kama si ogapake Mungu na siheshimiye mutu. 5 Ila kwa ajiliya mjane huyu mwenyi ananikosesha amani, nita musaidiya kupata haki yake, juu asi ni chokeshe tena na kukuya kuya yake». 6 Kisha bwana akasema: sikiyeni, vile muamuzi wa siyo haki anasema. 7 Sasa Mungu hata wapatiya haki wachaguliwa wake wanapo lalamika usika na mchana? atakawiya kuwa sikiya?. 8 Nina wambiya ata wa patiya haki yao. hivyohivyo. wakati mwana wa mutu atakuna imani ku dunia? 9 Kisha ata toa tena mfano kwa wa chache wale walio jidai ndani yao wenyewe kuwa hai na wenyi walikuwa na zarau wenyine watu. 10 «Batu mbili baka ingiya mu hekalu juu ya kuomba (mu moja alikuwa mu Farisayo na mwinjine mulipishaji wa kodi) 11 Mufarizayo aka simama na ku omba juu yake: Mungu naku shukuru kwa sababu siko sawa na bengine benyi kuwa ba jambazi, batu habana haki, ba sharati wala hata sawa hawa walipisha kodi. 12 Mina katalaka kula mara mbili kila na mina towaka chakumi ya byote niko nabyo 13 Lakini mulipisha kodi, aka simama kwa mbali, haku weza hata ku angaliya yulu, lakini alipiga kifuwa aki nungunika aseme: Mungu uni urumiye, niko mwenye zambi. 14 Na waambiya, uyu mutu aka alirudiya kwake akiwa ame urumiwa kuliko mwenzake, ju kila yeyote anaye ji pandisha ata shushwa, lakini yeyote mwenye kuji shusha ata pandishiwa» 15 Batu bali leta,kwake batoto juu abaguse. 16 lakini wanafunzi baka baona na ku bakatanza. Yesu aka baita na kusema:«Achabatoto kidogo bakuye kwangu, musi, bakataze, juu nfamle wa Mungu iko ya watu kama hawa. 17 Kweli na wa ambiya, yeyote ha pokeye ufalme wa Mungu sawa mtoto, hataingiya lote,» 18 Kiongozi moja aka uliza:« mwalimu mwema ni fanye nini juu ni nizi uzima wa mitele?». 19 Yesu aka jibu:« kwanini kumita mzuri? hakana mwema ila Mungu pekee. 20 Una juwa amri: usifanye usharati, usi uwe, usi ibe; usi semeye mutu bongo, heshimiya baba na mama yako.» 21 Kiongozi aka sema ninaheshinuya bitu yote hui tangiya ujana wangu. 22 Wakati Yesu alisikiya hivi, akasema: inakukosa tena kitu moya. Uzisha bitu yote ukonabyo na kubikabula kwa bamasikini, na utakuwa na hakiba mbinguni, kuya, unifate. 23 Lakini wakate ule tajiri alisikiya vle , akahuzunika sana, sababu alikuwa tajiri sana. 24 Yesu alipoona ule tajiri anahuzunika, akasema: iko nguvu kwa batajiri kuingaya katika ufalme wa Mungu. 25 Sababu nganiya anaweza kuingiya katika tundu ya shindani, kuliko tajiri kuingaya katita ufalme wa Mungu. 26 26Batu bakauliza: 27 Nani njo anaweza kuokoka? . Yesu akajibu: Yasiyo wezekana. 28 Patro akasema : ndiyo, tunacha yote na tunakufata. 29 Yesu akajibu: kwa kweli hanana mutu atakaye acha nyumba yake bibi yake ao jamaa yake sababu ya ufalme wa Mungu. 30 Na asipate, hapa ku dunia bitu mingi , tena nyuma apate uzima wa milele . 31 Nyuma ya kukwa ya kukusanya banafunzi pembeni yake, Angaliya tunapanda kuenda yerusalema, yote yenye manabii baliaudika juu ya mwana wa mutu ataenda kutimiya. 32 Kwa sababu atatolewa ku mikono ya bapagano, na batamuzarau na humufezesha, na kumutemeya mate. 33 Nyunia ya kumiga fimbo, bata muuwa, nyuma ya siku tatu atafufuka. 34 Habakutambuwa kitu, na ile maneno ilikuwa siri kwabo, na njo maana habakusikiya byenye alisema. 35 Ilifika wakati yesu, anafika pembeni ya yeriko, kipofu moya alikuwa anaikala pembeni ya njiya, kuomba-omba. 36 Wakati alisiki yabatu mingi banapita pale, akaulizi, ni nini. 37 Baka mwambiya yesu wa Nazarete njo iko na pita hapa. 38 Kipafu akalalamika, na kusema: Yesu, mutoto wa daudi, umisamehe. batu bakamukataza, na kumuambiya ikala kimya. 39 Lakini ali lalamika tena nguvu sana, mutoto wa daudi, uni huru niye. 40 Yesu akasimama, na kuruhusu bamule te ule kipofu, na wakati kipofu alisopeya, Yesu akamu uliza : 41 Umapenda ni kufanyiye nini? Akasema; napenda nione tena. 42 Yesu akasema: Uone basi, imani yako inakuponesha. Pale pale akaona na akamufata yesu, na akamusifu Mungu. 43 Wakati batu betu bengine baliona huvi, wote bakamusifu Mungu.