Sura 1

1 Paulo mwenye ali pata kua mutume wa muheshimiwa Yesu Kristo kwa ju Mungu ye peke alipenda, ona andikia ban inchi batakatifu ba efeso benye biko baminifu kwa mupakaliwa benye biko baminifu kwa mupakaliwa Yesu. 2 Neema ikuwi juu yenu na amani ya kutoka kwa Mungu Baba yetu na mupakaliwa Yesu mukubwa wetu. 3 Acha Mungu Baba wa mukubwa wetu Yesu apewe sifa. Ye njo ali tu patiaka baraka zotz za kiroho kutoka kule yulu ndani ya Yesu. 4 Mungu ali tu chaguaka ndani ya Yesu siku aliumbaka dunia, kusudi tukue weupe bila dao (buchafu) mbele yake. 5 Mungu alituta yariishaka kusudi tukubaliwe sawa batoto yake kupitia Yesu mupakaliwa kwa furaha ya kitaka kuake. 6 Kukubaliwa yetu ina leta utukufu na sifa zake kwa neema yenje a na patiaka benye ana penda. 7 Ndani ya Yesu mapakiliwa tuli funguliwa kupitia damu yake na aka tu hurumia mabaya yetu kupitia utajiri wa neema yake. 8 Kwa hekima yake alitulewa njo ali mwanyi ile neema. 9 Mungu ali tu funulia shabaha ya ku taka kwake yenye ilikua na fichwa akaionesha wazi ndani ya mupakaliwa wake. 10 Kazi ya Yesu ilikua imupango juu ya kuti miza wakati kusudi akusanye bitu yote, ya juu na yo chini, chini ya mamulaka ya kiongozi moja tu ndani ya mupakaliwa. 11 Ndani ya Yesu tuli fanyika wato wala. Ile, Mungu ali amua kwanza ju yetu katika mupango yake ana fanyaka byote kufuatana na shabaha na mapenzi yake. 12 Mungu ali tuta ja waata wala kusudi tupate tumaini yaku kaza ndani ya mupakaliwa wake Yesu. Juu yetu njo sifa na utukufu yake bina kamilika. 13 Wakali na nyie mulisikio enjili ya kweli ndani ya Yesu, ile nejili ya ku ba okowa nyie, na muka iku bali na njo muka tiliwa muhuri na roho mweupe na njo ili kua ahadi kwenyu. 14 Roho mweupe njo ana hakikisha urizi wetu mpaka siku tu taipokea mu mikon yetu kabisa, na jina lake li tukuziwe. 15 Ile njo sababu inatuma, wakati ni tiskia habari ya imani ye nu ndani ya mukubwa wetu Yesu mupakaliwa na mapendo yenu kwa ba ndugu watakalifu katika Yesu mukubwa wetu. 16 Siku acha kuwa kumbuka mu maombi sa mina ita Mungu. 17 Nina omba kusudi ule Mungu Baba wa mupakaliwa na mukubwa wetu Yesu, awapatiye roho wa kutambua, roho wa hekima mwenye ata bafunulia ku mu jua Mungu. 18 Nina ombaka kusudi macho yenu ya ki roho ipate mwangaza kusudi mujue tumaini ya kukaza yenye alibaitika ndani ya ile taifa takatifu ya Mungu. 19 Na mu maombi yangu na takaka mu jue bunene ya munu yenye haina kipimo na nguvu zake ndani yetu shie benye tu na muamini kufuatana na kazi kubwa na tendo ya ngufu zake. 20 Ni ile uwezo njo Mungu alitumikisha kusudi afufue Yesu na ku muikalisha ku mukono yake ya kuume kule mbinguni. 21 Alikalisha mupakaliwa Yesu juu ya bakubwa bote ju ya batu bote benye kuwa na uwezo, na kila ingine majina yote. Mupokaliwa Yesu ata kuwa kiongozi wa bakubwa bote leo na siku zenye zina ya kuya. 22 Bitu yote, Mungu ali bitia chini ya uongozi wa Yesu, na aka mutu kuwa mkubwa wa kanisa na bitu yote. 23 Kanisa njo mwili yake utimilifu wa mwenye ku timizo byote ndani ya bote