Sura 1

1 Paulo mtume wa Yesu Kristo kwa nguvu ya Mungu na Timeteo ndugu wetu. 2 Kwa minifu na wandugu katika Kristo neema na amani ya Mungu Baba ikue ndani yenu. 3 Tuna sema aksanti kwa Mungu baba na Yesu Kristo, tuna waombea kila wakati. 4 Tuli sikia Kusema imani yenu ndani ya Yesu kristo na mapendo enye muko na yo kwa wachaguliwa wa Mungu. 5 Muko na ile upendo na tumaini yenye inatayarishiwa kwa ajili yenu mbinguni, muko na ile ukweli na neno. 6 Ili kuya kwenu kusudi izale matunda na ihubiriwe dunia muzuma na kwa juu yenu tangu ile siku yenye nulipata habari ya ukweli ya neno ya Mungu. 7 Hii enjili tulipata kwandugu mweze tu katika kazi mwenali tu hubiri neno, na alitumikia Kristo na nyie pia na roho muzuri. 8 Epafra alitufundisho upendo ndani ya roho 9 Kwa ajili ya upendo, hatuta, a hasha kuwaombea tuna wa hombea kusudi, mujazwe na nguvu na ekima ya Kristo. 10 Tuna waho mbea kusema mutembee katika njiya yenye kupendeza Bwana kwa njia muzuri yenye ufohamu. 11 Tuna waomba kusema mujazzwe na hekima ya Bwana na nguvu na utukufu yake na uvumilivu, na mwende muzuri na uriti wa nuru. 12 Tuna kuamba kesema ufurai na piga akasti kwa Bwana wa tayarishia fasi ya watakatifu. Kwa nuru. 13 Ali tukombola katika utu mwa wa zambi tukapata uhuru ya nuru tukopata uhuru kupitia ufalme wake ya pekee. 14 Ndiyo, ali tukombao kwa utumwa wa zambi na giza, tupata uhuru ya nuru. 15 Mtoto ni mufano ya Mungu mwenye aho nekane muumba ya vitu vyote. ni yeye njo aliumba bityu yote. 16 Kwa yeye njo vitu yote iliumbwa enye kwa mbinguni na apia duniani enye inaonekana na enye haiyonekane enye kiti ya eshima na utaivala. na bitu yote inafanyika kwa yeye. 17 Yeye alikuwa bado dunia aiya umbiva bado bitu yote ilihumbwa na yeye na kwa yeye. Yeye alikua mwanjo na kwa ajilike njo vitu inaishi. 18 Yeye ni kisho ya kanisa na yeye njo wa kwanja kufufuka kutoka kwa wafu. Mwenye alikata madaraka ya kutawala kwa kila kitu yote. 19 Mungu alipenda kama utimilifi wake ujulikane ndani yake. 20 Ilipendeza Mungu kurudisha masikili zano ya watu na Mungu kupitia mwana wake. kwa damu iliomwangika kwa musalaba ikalate uhuru kutoka kwa utumwa ya zambi Mungu ali potanisha mbingu na dunia. 21 Zamani mulukua wageni kwa Mungu na wadui ya Mungu kwa akili mubaya na, matendo mubaya. 22 Sasa ana wapatanisha kupitia kufo kwake kupitia mwili yake anawafanya mukuwe watakatifu pasipo koja mbele yake. 23 Kama mukiishi kwa imani nakuji kaza muki dumu katika neno. Wala mutu asiwa danganye, mutiye tumaini yenu kwa baraka enye Mungu ana wetenge, kupita kupitia abari enye mulisikia. Kwa sababu mimi Paulo Mungu anani shagua kwa mtume wake. 24 Sasa nafurai kwa mateso yangu kwa ajili yenu, nina lipa deni ya malipo yatabu ya mwili ya Yesu ndiyo ni kanisa. 25 Niko mtumishi kwa ile kanisa sawa na jibu enye nilie pata kwa Mungu kwa ajili yenu ku biri neno la Mungu. 26 Ihivi kweli enye ili kwa imefiswa mwaka mingi kwa mataifa sasa inafunguliwa kwa wote na kwa mimi. 27 Alipala gisi ya kuvumbua baraka na mamlaka ndiyo Yesu mwenye kwa pamoja na si tutie tumaini kusema bwana ana tutayashia uzima wa milele. 28 Uyu njo mwenye tulikwa tuna mu tangaza. tuna waomya kila mutu afundishe kila mutu kwa eshima yote. Tue wakamilifu katika Kristo. 29 Kwa sabu ya hi iyo mana nina tumika na nguvu yote enye kuja nguvu ndani yangu.