Sura 21

1 Wakati tulikabulana nabo na tumepita dia ya mayi kosi, nakesho tunafika mujiya rodes , na taa ya patala. 2 Na tunakuta mutumbu ya tuvukisafoinike, tuna panda kwenda. 3 Tunafika mbele ya kivuka sulia tunasimama tulo juu masua ilikuwa na mabitu ya kizisusa apo. 4 Tuna tafuta banafunzi, na saa tuna bapata, na tu nagawiya ya pale siku saba nabo, balisema na Paulo, na molimo, asiende yelusalema. 5 Pale tulimaliza kueneza masiki, tunaenda nasi nabo wote, na bamama na batoto bana kuyakutu ona inje ya mugini juu ya kutushindi, kiza sisi. 6 Tuna ingeya kumasuwa nabo barudia kumugini. 7 Tuna ondokatiro na tunafika tolemai, tana le ta jambo kwa banduku , na tuna elekeya safari wetu na tulilala sika moya nabo. 8 Nasiku ya nyoma tuna toka tunafika kaisala. Nasi na tuhingiya kwanyumba ya filipo mufundisi ya abari njema ile kikuwa moya ya basaba, na tuna tuna gawiya. 9 Naye alikuwa na batoto ine bamusika balikuwa banabi. 10 Na tulikuwa kugawiya masiku mingi, na bimoya jina yake agabo akasuka kutoka yudea. 11 Ana kuya kweto na anakamata kamba ya Paulo. Na kujifunga mikono na miguru yake, akisema niroho mutakatifu, inasema niba yahudi na yelusalema, batafunga, mwana hume uyu anakuwa na kamba kebatapatiya na mikono ya bapano. 12 Inatusikiya maneno ici sisi nabo fasi moya kumahombi. 13 Paulo anarudisha masema, munakuwa kufanya nini? juu munaliya munani vunza moyo ya ngu na toka kujifuna yelusaleme apana basi nakufa pale jina bwana Yesu. 14 Juu paulo alipendi koti yake ibakie, anasema mapenzi ya bwana ifanike. 15 Na nyuma ya masiku tonafunga mabitu yetu na tukipanda yelusalemu. 16 Wanafungi ingine wa kaisaria banafatana nasi njia moya na wanabeba siye kunyumba ya munasoni, ye mutu na kupulu, wanafunzi ya zamani, ya munasoni, uyu tulipenda kulala na nyumba yake. 17 Wakati tulifika yelusalemu, wapedua wanatu pokeya sana nafuraha. 18 Na masiku ya nyuma Paulo akaenda ku angali ya yakubo, nasiye tunaenda njia moya na masiku yote kumuona. 19 Paulo na basalima nakuambiyo mambo moya kwamoyo Mungu alifanyo kati ya basi ya mini juu kazi yake. 20 Wakati alisikiyo akasifu Mungu, kati ya wa yuda walikuwa kushika seria. Walikamata mafundiso ya kufundisa wayamudu uyobana ishi kukatala. 21 Musa na kukataza basi kutahiriwa watoto na wasifate desturi ya mwanzee. 22 Na tufanye nini; tunasikiya kweli inafika. 23 Tufanye namuna anatusemeya tuko bana ume ine tupatane. 24 Kamata bale batu natakasa abo na kunyolesha kitshua yobo, na wote wakuwe na mambo ya kusema juu ya desturi mubaya, nabote bati na kuona seria. 25 Na wapangano wale bana nini, tulibambia wakatele kukamata bitu banatoya kusanamu na yama inakufa na damu nabiya usalati. 26 Paulo anakamata wana ume nakeso yake, kubatasa ndani ya kanisa na kuambiya, wakati kubatasa ndani ya kanisa na kuambiya, wakati au sikuya utakasu na sandaka oyu mutuna mutu a taleto. 27 Na wakati siku saba kuemeye wa yahunda bacitoya na asia, bana ona paulo ndani ya kanisa, tombosa watu mingi, banamufunga ye. analala mika, munisadiye bana ume ya israela, na watu alibafundisa na wote. 28 Bana muzunguka wanaona alikuwa na kufundisa batu wetu seria kubwa, nakumingisa wayunani ku ekalu yetu na ku ariba fasi mutakatifu yetu. 29 Na tunaona tolofini motu wa efeso , kati ya munzi moya na paulo na wanawaza Paulo ana hingisa kanisa. 30 Muji yote bana tomboka, na batu banakimbia kukamata Paulo na kukokota inje ya kanisa na kufunga milango ya kanisa na ekalo. 31 Na walitafuta kumua na abari ilifika kwa kiongizi ya balinzi yote yelusaleme a likuwa na tumuele. 32 Na akakamata waskari ya kikosi moye, na wana suka mbele ya watumengi, ana acha kupiga Paulo. 33 Na kiongozi mukubwa amukalibia kukamata Paulo bamufunge kamba mbili, nakumu liza anazuwa mambo lifanya. 34 Na kikundi wana lalamika neno moya na ingine neno na kiongozi atasema nini; na funzo ilipita akarusu tuende kugeleza. 35 wakati alifika kwanye soko a liona bana beba wajesi bale walikuwa na funzo ya kikundu. 36 Wala kikundu watu walifatao na kulilala mika uwambo. 37 Wakati Paulo alitaka kunigiya gelezani, anasema na kiongonzi, ya baskali, nataka kusema naweye neno moya, mukubwa akisema, weye unasema kigiki. 38 Hau unazaliwa, mistri, mbele ulikuwa koongaza tshama nakubeba effu ine kuwate mbeza kuzangwa. 39 Paulo anasema, miye muyahudi na toka mutaaya tarsoya kiukia, niko mutu ya lazima kumudi, nakulomba unirusu niongeye na bakanzi. 40 Wana kiongonzi alimupatiya rusa, Paulo akasimama kogelenza nakusema naku uyu. Aliona kwakono ya batu ya kati alikuwa mulevi sandi wali baki kimia sana, na kusema uyu mwebrania ili sena