Sura wa kwanza.

1 Paulo, mutume wa Yesu Kristo, kufwataka na amri ya Mungu wetu mukombozi na Yesu Kristo taraja yetu, 2 Kwa Timoteo, mtoto muzuri ndani ya imani, Neema, na rehema, na amani kutoka kwa Mungu baba na Yesu Kristo bwana wetu. 3 Gisi balinitumana kwa nguvu ku fanya mbele ya kwend ku Makedonia, ubakiye katika Efeso, ju upate kusema na batu bengine basi fundishe ma funzo ingine tafawuti. 4 Na usia ngalie muna hadizi na maneno ya bizazi benye abina mwicho ibi bina leta kutoku sikizana (fudjo) kuliko kwenda mbele na mahamuzi ya Mungu, ye nye iko mu imani. 5 Sasa mahana ya amri ni upendo yenye inatoka mu roho safi, na zamiri muzuri na imani ya kweli. 6 Na batu bengine balipoteza ii bitu na baka gewuka ku bitu ya bila maana ya kusema sema. 7 Bana penda bakuwe ba mwalimu ya Sheria, lakini abajuwi ye nye biko na sema ao kwa nini biko na kazia. 8 Lakini sisi tuna juwa kama sheria ni muzuri, kama tu na bitu mikia bizuri. 9 Na tuna ju wa tena ivi, sheria abakuifanya ju mwenye haki, lakini ju ya benye abaeshimia sheria, na ba chafu na batu ya bambi, ba sia kupenda Mungu na bale abajuwi kitu. Baliifanya ju ya bale bana uluwa baba yabo na mama yabo, ju ya bawuwaji. 10 Na basharitii, benye bana funga batu ju yaku bafanya batumwa, na basema bongo, na ba ushuuda ba bongo, na maneno yote yenye ikombalina mafundisho ya uzima. 11 Na ii ma fundisho ina fwatana na injili ya mahana kwa Mungu yenye miliwekwa muongozi. 12 Namu shukuru YesuKristo Bwana wetu. Ali nitia nguvu, ju alinikuta mwaminifu na akanitia ndani ya kazi. 13 Nili kuwa mwenye kutukana neno, na muwuwaji, na mtu mukali. Lakini nili pata nehema ju nili kuwa na fanya bila kujuwa na moyo mugumu. 14 Lakini nehema ya bwana wetu ili zidi ndani ya imani na upendo yenye iko kwa Yesu Kristo. 15 neno hii ya maana na ya minifu kuyikubali, aseme Yesu Kristo alikuya muduniya ju ya kuokowa benye zambi niko zayidi ya aba bote. 16 Lakini ju yahii nilipata rema, ju kupia miye kwanza, Kristo Yesu aonyenshe uvumilivu yake yote. Ali fanya ile ikuwe mufano kwabale bata nuhamini ju ya uzima wa milele. 17 Kwa sasa, kwa mfalme wa milele, mwenye akufake, nwenye aonekanake, ni Mungu moya, apokeye sifa na utukufu kwa milele na milele. Amina. 18 Nime tia iyi sheria mbele yako, Timoteo, mtoto wangu. Nilifanya ibi kulingana na unabii yenye iliseme kwa ajili yako, ju upate ku jitia ndani ya nvita. 19 Fanya ibi ju ukuwe na imani na zamiri safi. Batu bengine balii tupa na kuhanguka mu imani. 20 Na njo kuka himenoyo na Alexandra benye nili tupa kwa shetani ju ba jifunze kuto kutukana Mungu.