SURA 1

1 Mu mwezi ya munane, mu mwaka ya pili ya Dario, meno la mungu likamkufia Zakaria, mutoto wa Berekia, mutoto wa Ido, Nabi, alisema: 2 Wa milele anasilikia sana wa baba zetu. 3 U wambie ivi: bwana wa majeshi anasema, urudie kwangu, asema bwana wa majeshi, na mie tarudia kwenu, asema bwana wa majeshi. 4 Musikuwe kama wa baba yenu, walio sema ma nabii wa mbele wakisema, bwana wa majeshi anasema hivi, mrudie toka njioa yenu mbaya, na katika matendo yenu mbaya, lakini, hawakunisikia na awakunijali, asema wa milele. 5 Wa baba yenu, wiko wapi? na manabii waliweza ichi milele? 6 Lakini ma neno yangu, na maagizo niliwapatia, wa tumishi wangu, na manabii, aikuwafikia wa baba yenu? Waligeuka na kusema, bwana wa majeshi alitundea kama na gisi aliviopenda kufata na njia yetu na matendo yetu. 7 Mu siku ya makumi mbili na ine ya mwezi ya kumi na moja, ulio mwezi wa sebati, mu mwaka ya pili ya Dario, na neno la bwana likamkufia Zakaria, mutoto ya Berekia, mutoto ya Berekia, mutoto ya Ido, nabii, alisema. 8 Nilitazama katika usiku na ona mutu anapanda punda nyekundu, ana simama ndani ya miti pafasi ya kimvuli nyuma ya punda, myekundu, na modoa doa na mweupe. 9 Nikasema, awa wapunda ni wa wapi? malaika alisema na mie akaniambia nita ku onesha awa wapunda ni wanwapi? 10 Mutu alisimama ohini ya miti akajibu na kusema, ni wale ambae bwana aliwatuma kutembea tembea mu dunia. 11 Wakajibu malaika ya bwana aliyesimama kitikati ya miti nakusema tuli tembea tembea mu dunia na angalia dunia yote inaikala kimya na amani. 12 Sasa malaika ya bwa akisema, ee bwana wa majeshi, wakati gani utahurumia Yerusalema na migini ya Yudea ambaye uliwashirikiya miaka makumi saba. 13 Bwana akajibu kwa ma neno muzuri na kwa ma neno ya kufariji, ya malaika alisema na mie. 14 Na malaika alisema na mie, lalamika, useme, hivi Bwana wa majeshi anasema, niko na wiku munkubwa kwa ajili ya Yerusalema ni Sayuni. 15 Nilisilikia sana mataifa ya kiburi, nilishirika tu kidoko, lakini, balisudia ubaya. 16 Kwa iyo anasema Bwana, nakuya Yerusalema na uruma, nyumba yangu itajengena upia, na Yerusalema itapimiwa na kamba. 17 Lalamika tena, na usema, asema bwana wamayeshi, migini yango itakuwa tena vitu mingi, bwana atafariji tena Sayuni, atashaguwa tena Yerusalema. 18 Nikaimuwa masho masho, tazama kulikuwa mapende ine. 19 Nikasema na malaika, mapenbe uyi ni nini? akasema, iyi ndio pembe inayo sambaza wa Yuda, na Israeli, pia na Yerusalema. 20 Kisha bwana akanionesha wafula chuma ine. 21 Ndjipo nikauliza aba banakuya kufanya nini? akasema, iyi nyo mapenbe iliosanbaza watu ya Yuda, wala hakuna mutu alisimanisha kichwa yake na bale bafulu chuma juhu ya kuwaogopesha, na kwangusha pembe ya mataifa, bale balinuwa pembe yulu ya inchi ya Yuda, ili kuwasanbaza batu yake.