1 Yosua, mototo wa Nuni, pasittimi, akatuma kwaku fichana, batu mbiri ba Bureau 2 (Batifutifu): Mwe nde, mwangariz ile yenye inchi, nazaidi mugni ye riko. Kule balienda, bakafikia ku nyumba ya ndumba moya njina Rahaba, na wanapangiya pale. 2 Habari ikafiki kwa Mufalme wa Yeriko kusema mungini yako munafika watu wa mototo wa Israeli busiku juu ya kujifunza inchi . 3 Mufalme wa Yeriko akatuma bamwambiye Rahaba: Ulete bale batu bali fikia uku kwako, bali ingiya mu nyumba yako, bakuya juu kujifunza inchi habakuye bule. 4 Mwana muke akeba fuchika na kosema ni kweli batu balifikiya kwangu, lakini sikujuwa kwenye balitoka. 5 Na bisuku pale milango ilifunga, balitoka na sijuwe kule balienda. Kumbe mufanyeko mbiyo mufwate ku ile njia balitokeya, na muta ba bamba tu. 6 Yeye ali bafuchika yula ya nyumba yake kati kati ya mayini bya bupamba ile ali tengeneza. 7 Basi, bale batu bakabafwata mu ile njina pakivuko ya Yordani, kisha bokwenda, bakafunga mulango. 8 Mbele yabo kulala, Rahaba aka panda yulu ya nyumba pale palikuya bale batu ya kuchunguza mugini. 9 Akasema nabo: najuwa kweli, wa milele anemipa inchi na ile boka munaleta inatu bamba. Na batu bote benye inchi beko natetemeka mbele yenu. 10 Juu tuli sikiya vile muli toka misri, wa milele alikausha mayi ya bahari mwekunda mbele yenu, na vile muli wa fanya bale bafalme bawari amola ile ngambo ya Yordani, Sihoni na Ogi benye muli arabisha na kila kitu. 11 Tuli sikiya na tuli poteza nguvu, nama roho yetu ili vunjika mbele yenu , sababu ni wa milele Munga wenu, anakuwa Mungu wa juu ya mbingi na apa chini duniani , 12 Njo pale sasa , ne mi omba, munilapie mu jina ya milele kwa kuwa i roko muzuri minemifanisha na mweye mu ifaniye baba yangu na batoto yake bote vile mina mufanishiya. 13 Muni haki kishiye kwamba muta acha bajima bazazi yangu na banduku yangu bana ume na bana muke na bitu yabo byote na mutatu epusha kwa kifo 14 Batu bale bakamujibu: shiye tuko tayaru ata kufakwa ajili yenu kama hamutoshe siri juu yetu hapa; Wakati wa milele atatupatia inchi tutakufaniya byote na wema na waminifu 15 Aka washusha ku kamba pa dirisha sababu nyumba yake ilikuya yulu yakibambazi ya mugini. 16 Aka wa ambiya, mwendee ngambo ya mulima kwa ku ogopa bakumifwatia basikutange na mweye mufichame pale siku tatu mpaka wakarudie kisha pale mwende lwendu. 17 Wale watu wakamwambiya: Ona vile tuta timiza kiapo yenye uli omba kwetu. 18 Wakati wa kwingiya kwetu mu inchi funga kamba nyekundu hii pa ile dirisha ulitushushiya na wingishe ndani ya nyumba yako baba yako na mama yako, banduku yako bana ume na jamaa yote ya Baba yako. 19 Kama mutu anatoka mu nyumba yako na kwenda inje, danu yake ita angukiya mu kichwa yake, na sisi tutakuwa pasipo makosa; lakini bakiweka mukono kwa munoja ule atakuwa naweye ndani ya nyumba, danu yake itakuwa juu ya kichwa yetu 21 Na kama unatosha siri yetu tutakuwa pa sipo makosa kwa hii kiapo una omba tufanye naweye. 20 Akajibu : ikuwe vile kufwatana na maseno yenu. Aka lakana nabo , bakaenda na ye akafunga ile kamba nyekundu pa ile dirisha 22 Baka enda na bakafika pa mulima, bakabaki pale siku tatu mpaka wakati bale baku bafwata bali rudiya. Bale baku bafwata bali batafuta kuma njia yote, lakini habaku weza kubapata. 23 Batu bale bawili bakarudia, ba kashuka ku mulima na bakavuka Yordani. Bakafika mbele ya Yosua,mtoto wa Nuni, nabi kumwelezea mambo yote ili bafikia. 24 Baka mwambiya Yosua: Kweli tu wa milele ana isha kutupa inchi hii yote mu mikono yetu na tena bakaaji bote benye inchi bana tetemeka mbele yetu