Sura 19

1 Yesu, kwema mambo aya, akainua macho mbinguni na akasema Bana wakata inatimia. umsifu mwana waka kama vile mwana akusifu. 2 Kama vile ulimpatia uwezo juu ya vitu vyte vyenji kuwa na mwili kusudi naye awape uzima wa milele. 3 Ni uzima wa milele kusudi wapate kukujua, weye, Mungu Moja wa kweli, na ule aliye tumwa Yesu kristo. 4 Nilikukuza apa duniani, nimemaliza kaji yenji ulinipatiaka. 5 Kwa sasa, Baba unitukuza pemtemi yakomwenjene na utukufu yenji nilikuwa nayo kwako mbele ya kuumba dunia. 6 Nilijulisha fina lako kwa kwa watu wadunia wale ule ulionipa walibuwa wako, na ukanipatia wao na walichunga neno lako. 7 Na wanafua sasa jote uliyampa ilitoka. kwani niliwapatia neno lako lenji ulipatuaka. 8 Waliipokea na walisadiki kweli kama nimetoka kwako, nani weyendyo alinima. 9 Naomba juu yao, siombe juu dunia, lakini juu ya wenji ulinipa kwani, wapowa kwangu kwako. 10 Kila mtu mwenye kuwa kungu iko piawa kwako, no yeyote iko kwangu, mnafitukuya. 11 Mini (Yesu) sikowa dunia laki wao wako batiya dunia , nakuja kwako. Baba mtakatifu, uwakinge kwa jina lako, jina lile ulinilipaka wawe na umoja, sawa kama wayena mimi tupo moja. 12 Wakati nilikuwa nao niliwachunga kwa fina lako lenji ulimipaka; niliwawachunga, hata katija alipotea, hijawa mtoto mpotevu, kusudi mandiko yatima. 13 Sasa nakuya kwako, lakini mliwambia mombo hii kati ya dunia, kusudi, wapate kwa na furaha yangu kanili kati yao. 14 Niliwapa nena loko, ulimwengu ukawataa sababu hawako wa dunia. Sawa mimi pia si wadunia 15 Siombe huwasatoshe katika dunia uwakinge na yule adui. 16 Sawa vile siko duniani, wao pia hawako wa dunia. 17 uwayafishe kati ya ukweli wako, kwani neno lakoni kweli. 18 Sawa vile ulinituma ulimwenguni nikawatuna vilevile. 19 Nimejitoa kabisafuu yao kusudi naopia wajitoe ya ukweli. 20 Siombi tu juu yao lakini piafuu ya watu uote wenyi watoriamini wakati watasikia neno kwa kenua chao. 21 Wawe wote umoya, sawa kama wewe, Baba, upo katiyanngu na mimi kati yako. Naomba pia wawe kati yetu, kusudi dunia isadiki kama ulinima. 22 Niliwapatia sifa yenyi ulinipatiaka, juu wawe kati ya umoja, sawa kama wewe na mimi, tupo umoya. 23 Mimi ndani yao na wewe ndani yangu, kusudi wawe kabisa umoya, nduyo dunia itajuwa kama, ulinituma. Baba ,wale wale wenyi utinipe, sababu. 24 Baba, wale wenye ulinipe, Nataka wawe pia pale nafasi niko kusudi wapote kaona sifa yangu, yale ulipatiaka, Sababu ulinipendaka mbele ya dunia kwimbua. 25 Mama ya Yesu, dada ya mama yake, Maria muke wa Kleopa na Maria wa mji wa Magdala walikuwa wamesimama karibu na musalaba wake. 26 Basi wakati Yesu alipoona mama yake pale na yule mwanafunzi aliyemupenda, akisimama karibu, akamwambia mama yake: “Mama, sasa huyu ndiye mwana wako.” 27 Na kisha akamwambia yule mwanafunzi: “Sasa huyu ndiye mama yako.”» Na tokea saa ile, mwanafunzi yule alimupeleka Maria kwake. 28 Kisha, Yesu akiwa anajua kwamba mambo yote yametimia, akasema hivi kusudi Maandiko Matakatifu yatimie: «Ninasikia kiu.» 29 Pale kulikuwa chombo chenye kujaa divai yenye kuchacha. Basi waaskari wakachovya kikausho ndani ya ile divai, wakakifungia juu ya tawi la hisopo na kukiweka kwa kinywa chake. 30 Wakati Yesu alipokwisha kumeza ile divai, akasema: «Yote yametimilika!» 31 Siku ile ilikuwa ya matayarisho ya siku ya Sabato iliyofuata. Kwa sababu hii Wayuda hawakutaka maiti za wale waliotundikwa zibaki juu ya misalaba kwa maana siku ile ilikuwa kubwa sana. 32 Kwa hiyo wakamwomba Pilato ruhusa kwamba miguu ya wale waliotundikwa ivunjwe kusudi wakufe mbio na maiti zao ziondoshwe. Basi waaskari walikuja, wakavunja miguu ya mtu wa kwanza na kisha miguu ya yule wa pili aliyetundikwa pamoja na Yesu juu ya musalaba. 33 Lakini walipofika kwenye Yesu, walikuta amekwisha kufa; kwa hiyo hawakumuvunja miguu. 34 Lakini askari mmoja akamuchoma mukuki katika ubavu; mara moja damu na maji vikatoka. 35 Mtu aliyeona mambo hayo ndiye anayeyashuhudia, nao ushuhuda wake ni wa kweli. Na anajua kama anasema ukweli, kusudi mupate kuamini vilevile. 36 Mambo haya yalifanyika kusudi Maandiko Matakatifu yanayosema hivi yatimie: «Hakuna hata mufupa wake mmoja utakaovunjwa. 37 Na tena Maandiko mengine Matakatifu yanasema: “Watamwangalia yule waliyemutoboa kwa mukuki.”» 38 Nyuma ya mambo hayo, Yosefu, mtu wa Arimatea, akamwomba Pilato ruhusa ya kuondoa maiti ya Yesu. (Yosefu alikuwa mmoja wa wanafunzi wa Yesu lakini kwa siri, kwa sababu aliwaogopa wakubwa wa Wayuda.) Pilato akamuruhusu. Basi Yosefu akaenda na kuondoa maiti ya Yesu. 39 Naye Nikodemu, yule aliyemwendea Yesu siku moja usiku, alikuja vilevile. Alikuwa akileta yapata kilo makumi tatu ya marasi yaliyochangwa na udi. 40 Nyuma ya mambo hayo, Yosefu, mtu wa Arimatea, akamwomba Pilato ruhusa ya kuondoa maiti ya Yesu. (Yosefu alikuwa mmoja wa wanafunzi wa Yesu lakini kwa siri, kwa sababu aliwaogopa wakubwa wa Wayuda.) Pilato akamuruhusu. 41 Basi Yosefu akaenda na kuondoa maiti ya Yesu. Naye Nikodemu, yule aliyemwendea Yesu siku moja usiku, alikuja vilevile. 42 Alikuwa akileta yapata kilo makumi tatu ya marasi yaliyochangwa na udi.