Sura 1

1 Hapo mwanzo alikuwa neon, naye neno alikuwa pamoja na Mungu, naye alikuwa Mungu. 2 Hapo mwanzo yeye alikuwa pamoja na Mungu. 3 Vyote viliumbwa na yeye, hakuna kisichoumbwa na yeye katika vitu vyote. 4 Ndani yake mulikuwa uzima, na ule uzima ulikuwa nunu ya watu wote. 5 Nuru ilingaa katika giza, nayo giza haikumpokeya. 6 Kulikuwa mutu alitumwa na Mungu, jina yake ni Yoane. 7 Alikuya kama mushuhuda, juu ashuhudiye ile nuru, juu kila mutu amwamini. 8 Yoane hakuwa ile nuru, lakini alikuya kushuhudiya juu ya ile nuru. 9 Alikuwa nuru ya kweli kwa watu wote duniani. 10 Alikuwa katika dunia, na dunia iliumbwa naye lakini dunia haiku mujua. 11 Alikuya ku bandugu yake, lakini habakumpokeya. 12 Lakini kwa bote beyne balimwamini alibapatiya uwezo wa kuitwa watoto wa Mungu. 13 Banazaliwa siyo kwa damu, wala kwa mapenzi ya mwili wala yamutu, lakini kwa mapenzi ya Mungu. 14 Naye neno alivala mwili, na akaishi kati yetu. Tuliona utukufu wake, kama utukufu wa mutu anaye toka kwa Baba, mwenye kuyala neema na kweli. 15 Yoana alishuhudiya juu yake na kulalamika; na kusema: Ni juu yake njo nilisema: Yeye atakaye kuya nyuma yangu ni mukubwa kwangu, kwa sababu alikuwa mbele yangu. 16 Kwa utukufu wake ndiyo tuna pata neema juu ya neema. 17 Sababu sheria ililetwa na musa neema na kweli ikapatikana kwa njiya ya Yesu-Kristo. 18 Hakuna mutu aliona Mungu lakini mwana peke wa, mwenyi iko ndani yake alitujulisha. 19 Angaliya ushuhuda wa Yohana wakati wa yuda walitumwa na makuhani na walawi kutoka yerusalemi bamuulize kama: weye ni nani? 20 Akajibu bila kuogopa «Siko masia 21 Kisha baka muuzila ukonani basi? « Ni Eliya?» Apana.» bakasema « Uko ,nani ?» akajibu « Apana» 22 Kisha baka mwambiya : « weye njo nani » tuta sema nini kwa wenyi walitutuma ? Ujitambulishe. 23 Akajibu «Mimi ni sauti yenyi kulalamika mu pori mutengeneze njiya ya Bwana nyoosheni mapito yake» kama alivyo sema nabii Isaya. 24 Bajumbe ya bafarisayo bakamuuliza : 25 «Juu ya nini una batiza na hauko masiya, Eliya wala nabii?» 26 Yohane akabaambiya«Niko na batiza na mayi, lakini kuka mwnyi hamujuwe. 27 yengo anakuya nyuma ya ngu na siwezi ata kufungula kamba ya viyatoyake.» 28 Mambo hii ita pita mu betani fasi yenyi Yohane alikuwa ana batiza katika yordani. 29 Kisha masiku, Yohane akaona Yesu anakuya kwake, akasema, angaliya mwana kondoo wa Mungu, mwenyi ana toshaka zambi ya dunya. 30 Yenjo nilisemaka lakini iko mukubwa kwangu na alikuwa mbele miye nikuwe. 31 Siku mujuwaka lakini nili batiza na mayi ju ajulikane ndani ya israeli. 32 Yohane akasema mina mina ona hoho kushuka mbinguni, sawa ndege ika simama juu yake. 33 Siku mujuwa lakini mwenyi alinituma ni batiez kwa maji akannionesha , mwenyi utaona roho ina simama kwake, yenjo ata batiza kwa roho mtakatifu. 34 Nika ona na nika itika kama ike mtoto wa Mungu. 35 Kisha masiku Yohana alikuwa na bana funzi bake bawili. 36 Akona Yesu kupita aka baambiya «angaliya mwana kondo wa Mungu!» 37 kisha baka fata Yesu bote ba wili, kwa ushuhunda wa Yohana. 38 Yesu aka baona bana kuya kwake aka bauliza muna tafuta nini? Baka rudisha kiongozi,unakuwaka wapi? 39 Aka jibu mukuye muone, baka kuya na baka ona baka ikala naye ile siku ju saana ili waka ina pita (magaribi). 40 40Mubale banafuzi kuli kuwa Andre ndugu yake na Simoni Petro. 41 Akasema tume ona Mesiya, (akamubeba kwa Klisto). 42 Akamubeba Yesu. Yesu akamuangaliya weye ni Simoni mtoto wa Yohana, nitaku ita Cephas (Petro). 43 Siku ya kufata Yesu wakati Yesu alitafuta enda Galilaya, akakuta Filipo aka mwambiya unitate. 44 Filipo alikuwa mutu wa bethsaida muji wa Andreya na Petro. 45 Filipo akokuta Natanaeli aka mwambiya juya mutu mwenyi sherya ya Musa ili semaka, na ma lobi bali kubaliya ya tume muona Yesu mtoto wa Yusufu wa nazareti. 46 Natanaeli akapinga akisema kitu kizuri kita weza kutoka mu nazareti Filipo akajibu kuya uangaliye. 47 Yesu aka ona Natanaeli akasema kabisa uyu ni mutu wa isreaeli mwenyi hasema bongo. 48 Filipo aka shangaliya ni je Yesu ana ni juma? Yesu aka jiba mbele bakuyite Filipo nilikuona chini ya muti. 49 Natanaeli akasema kiongozi uko mtoto wa Mungu, 50 Yesu akajibu vile mina kuambiya kama nili kuona chili yamuti njo mana una itika? Na bado utaona mambo mingi kushinda hii, 51 Akasema tena kwa kweli bila bongo utaona mbingu kifunguka na malaika bata shuka na kupanda ju ya mtoto wa mutu (Adamu).