1 Bagalatia bajinga, nani mwenye ali baloga? maono ni ya Yesu kristo mwenye alifufykaka njo nibaletiaka. 2 Nilitakatu kuji funza kitu kimoja kwenyu, muli pataka hoho takatifu kwa matendo ya sheria ao kwa imani katika ule mwenye tuli bahubiri habari njema yake? . 3 Mungu muliakoka na mukakua batu ya Mungu , munataka tena rudie kua bapagani tena? 4 Ni kusema mateso yenu ilikua ya bure? . 5 Sasa mwenye alilimiza ile kazi ndani yenu, aliifanya kwa nja ya sharia, wala kwa kusikia na kuamimi neno? 6 Lakini benye batu bote balikua naita biongozi habaku ni saidia na kitu, gisi banaishi faida kwangu. Mungu hana upendeleo. 7 Balitambua Mungu alinita nitangazi habari njena kwa wapagani kama vile Petro aliituwaka kuhubiri wa yahudi walio tahiriwa, 8 Kwa sababu Mungu mwenye alitumikisha Petro kwa kuhubiri ba yahudi, alitumikisha namiye nihubiri mataiya. 9 Wakati bali tambua kama niko na neema ya Mungu, Yakobo, Petro na Yohane, benye balikua biongozi waka tupatia mukono wa kuume mie na Barnaba kama alama yakutukubala kusudi twende kwa wapagani kuhubiri; nababakie kuhubiri bayahidi. 10 Baka tu ambia lukumbuke na wa wakosefu na njo ilikua niayangu sana. 11 Wakati kefa alifika Antikia, nilimupiga sana wazi wazi, na nilikua na sheria ju mbele, alikuaka na kula na bapagani bakule Antiokia. 12 Lakini wakati aliona bandugu benye Yakobo ali kuaka natuma banafika, akatumia unafiki ju ya haya na bongo mbele ya bale yahudi akaji tenga na bale bapagani ba Antikia sawa hakula nabo. 13 Njo bengine bote ba kiyahudi, ba kina Barnaba baka jiunga na ile bunafikiya kefa. 14 Lakini wakati nili tambua kama habatembee tena na ukweli ya habari njema, ni ka muambia kefa mbele bo «Kama weye muyahudi unaishi sawa mupagani, namuna gani uta sukuma bale bapagani baige mufono ya ba yahudi?» 15 Shiepe benye tuko bayahudi baki zalikio benye tunajitapa kama hatuko bapagani, 16 Tujue kama hakuna mwenye ana shuudiwa ju ya matendo mazuri, lakini tuli shuhudiwa na imani katika Yesu mupakaliwo lakini hiko kwa matendo ya sheria. 17 Lakini wakati tuna tafula kwamba Mungu atashuhudie ndani ya Yesu Kristo tuna jikuta shipeke ni wa fanya zambi! sasa Yesu ni mutumishi wa zambi? Hakika apana. 18 Kwa sababu ni niki fanya tena zambize nye niko na kataza batu, mipeke mitena murunja haki na amri. 19 NI liji katalia bile ya masheria masheria kusudi niishi tu ju ya Mungu. 20 Nili tundikwa pamoja na Yesu. Haiko mingo haishi tena lakini Kristo njo anaishi ndani yangu, ivi ningali mu mwili kwa leo, niko na ishikwa imani ndani ya Mwana wa Mungu mwenyi alinipendaka, akajitoa ye pake ju ya yangu. 21 22 Si wezi tupitia neema ya Mungu kwa sababu kama haki engekua mu masheria, halafukifo ya Yesu ku musalaba hainge kwa na maana.