1 Daruisi aka amwa kuinua biongozi miamoja na makumi mbili benye batu ongoza mu babiloni muzima. 2 Akaweka ju yabo biongozi batatu, bakubwa, na Danieli qlikua muabo, kusudi bengine bote balilete ripoti kwa bale balatu na mufalme haku pata taabu. 3 Danieli ali bapita biongozi bengine sababu ndani yake mulikua moyo mukuu na mufalme ali panga kumu inu juya ufalme muzima. 4 Halafu bakubwa na biongozi bate ba anza tafita kisiki ya ku singizia Danieli, lakini habakuiona, sabau alikua muamifu, habaku muonako, kibaya wala kosa. 5 Bakasemezana: hatuta pata kitu yaku staki Danieli, akase tuguse amuri ya Mungu wake. 6 Kiisha bale biongozi na bakubwa bakaendea mufalme kwa siri, baka mwambia hivi: wishi milele mufalme Dariusi! 7 Bakubwa, biongozi, basimamizi, bashauri na baliwali bete ba mwa hii ufalme bame kubaliana kama kutangazwe sheria ya kifalme, yenye kukataza kwa mukazo kabisa kama muda wa siku makumi tatu, mwenye ata abudu Mungu wala mutu mwenyegine isipokua wepeke Ee mufalme, atatupwe mu tundu la simba. 8 Sasa Ee mufalme, Hakikisha na usaini ile amri kusudi isi vunjwe kulingana na sheria ya wamedi na wapersia haiwezi badilika. 9 Pale pale mufalme akaandika amri na kukataza. 10 Wakali Danieli ali jua kama amri ili andikwa, akatoka na kwenda kwake akapanda mu chumba ya juu, akafungula madirisha zakuelekea Yerusalemu aka na piga magoti, akiomba na kuabudu Mungu wake gizi alikua na fanya tanu mbele. 11 Halafu bale batu bakaingia kwasiri mu nyumba ya Danieli, bakamukuta iko na omba na ku inua jina la Mungu. 12 Kisha baka enda mbele ya mufalme ya mufalme baka mukumbusha amri yake: Hauka andika amri kama muda wa siku makumi tatu mwenye ata omba wala kuabudu Mungu ao mutu mwengine kama haiko wetu, ee mufalme atatupiwa mu tundu ya simba? Mufalme akajibu njo vile kulingana na sheria ya ba Medi na ba Persia yenye hauwezi ku badishwa. 13 Baka ambiatena mufalme: Danieli mumoja wa bale mateka wa Yudea, haku heshima hata sheria ya Yudea, haku heshinia hata sheria ya ko mojanikona omba Mungu wake mara tatu kwa siku. 14 Mufalme aka huzunika wakati alisikia vile, muroho yake, akapanga ku oka Danieli, alijaribu kumuakoa mpaka magaribi. 15 Lakini bale batu baka sizitiza mbele mufalme, bakasema: ujue ee mufalme kama sheria ya ba Medi na ba Persi ina tia mukazo kama amri yenye mufalme ali hakikisha haiwezi ku badirishiwa. 16 Halafu mufalme atoa oda, bakateta Danieli na baka mutupa mu tundu ya simba. Mufalme akaambia Danieli: basi Mungu wako mwenye unatumikiaka kwa uvumilivu akuponyeshe! 17 Bakufunika ile tundu na lijiwe kabambi, na mufalme akatia muhuri yake na mihuri ya bakubwa, kusudi amri isi badilishiwe ju ya Danieli. 18 Mufalme akaeudia mu mwake, na akalala bila kula, na haku karibia bibiyake atamoja, na haku lala busingizi. 19 Mufalme asubui-mapema, akaenda haraka ku tundu ya simba. 20 Wakati ali sogelea tundu, akaita: Danieli na sauti kubwa, mufalme akasema: Dakieli mutumishi wa Mungu hai, Mungu wako ali na uaminifu ali faulu kuku okoa mu masimba? 21 Na Danieli ajibu: mufalme uishi milele. 22 Mungu wangu alituma malaika wake, aka funga kitu, sababu hakuni ana na bubaya mbele yake na mbele yako Ee, mufalme siku fanya kitu. 23 Mufalme akafurahi sana , aka leta oda bakatosha Danieli mu tundu, na habaku muonako ata jeraha moja sababu alitumainia Mungu wake. 24 Mufalme aka toa oda ya kuleta bale batu benye bali kuyaka kustaki Danieli, baka batupa mu tundu ya simba, na batoto yabo, na ba bibi yabo, simba zika ba pasula pasula mu hewa na haya fika chini na zika pekenya mifupa yabo. 25 Kisha ile mufalme Dariusi aka andikia batu bote, mataifa yote batu ya kila luga benye kukaa mu dunia muzima: Amani iwe kwenyu daima! 26 Mina toa oda ufalme yangu yote muzima: tu ogope na tu heshimie Mungu wa Danieli. Sababu ye njo Mungu hai na ana baki milele; ufalme yake haita haribishi waka na uta wala yake ita dumu mpaka mwisho. 27 Yeye njo ana ponyeshaka na kuokoa ana onyeshaka alama mu hewa na kufanya miujiza apa ku dunia yeye ndo ali okoa Danieli mu tundu la simba. 28 Danieli aka stawi chini ya ufalme ya Dariusi na ya surusi Mupersi.