Sura 5

1 Mufalme belishaza akafanya karamu kubwa, akamatia batu yake ba cheo balikua elfu moja na aka kunywa muvinyo mu macho yabo. 2 Wakati Belishaza ali honja mu vinyo akatoa oda balete byambo bya zahabu na bya feza byenye Baba yake Nabukodozori ali toshaka mu hekalu ya Yerusalemu kusudi mufalme na watu yake bacheo, ba bibi yake na ba habala yake bakunywie amo pombe 3 Halafu bakaleta byambo bya zahabu byenye balitoshaka mu hekalu mu nymba ya Mungu kule Yerusalemu; na mufalme na batu bake ba cheo, babibi na ba habala yake baka kunyura amo pombe. 4 Baka kunyua pombe na baka sifu muingu zabo za zahabu, za feza a shaba, za miti na za majiwe. 5 Ile wakati kukatokea bidole ya mukono ya mutu, na biliandika mbele ya kinara, ku rangi ya kibambazi ya nyumba ya kifalme. Mufalme aka ona ile kipande ya mukuno yenye ili kua maandika. 6 Halafu mufalme aka badilika rangi na akachanganyikawa, kiuno yake ika regea, na magati yake ile gongana gongana. 7 Mufalme aka ita na sauti kubwa aka leta oda ya kuita bachaliri bakalidayo na balaguzi, na mufalme aka ombia bazee ya Babiloni na kuni patia ma fasirio yake ata valishwa nguo za zambarau, na mukufu ya zahabu mu shingo na ata kamata nafasi ya tatu mu uongozi ya ufalme yangu. 8 Bachauri na mufalme bote baka ingia lakini habaku weza ku sama ile andiko na ku leta ma fasirio kwa mufalme. 9 Kwa hiyo mufalme Belishaza aka agopa sana, aka badilika rangi na biongozi bakubwa bote baka fazaika. 10 Wakati malikia ali sikia ma neno ya mufalme na ya bakubwa bote, akaingia mu chumba ya karamu, aka toa ma neno akisema, Ee mufalme uishi milele! mawazo yako isi changa nyikiwe, na uso yako isi badilike. 11 Nandi ya ufalme yako kuko mutu moja mwenye iko na roho ya Mungu, mutakatifu, wakati ya baba yako, bali pataka mwangaza kwake, akili na hekima yenye kufanana na hekima ya Mungu, njo Nabukodozori, baba yako mufalme aka bachauri, 12 Sababu balikuta ndani ya Danieli ule mwenye mufalme aliita Baltazari, roho kubwa ya ujizi, na akili, uwezo ya ku tafsiri ndoto na ku fasiria mifano [bilendauri] na kuleta iuluhusho ku masuali ya nguvu. Danieli atiwe, ataleta mafasirio. 13 Halafu bakaingiza Danieli mbele ya mufalme akamuliza: we njo ule Danieli, mumoja wa ba mateka muyuda, benye mufalme baba yangu aliletaka kutoka Yudea? 14 Nilisikia ju yako kama uko na roho ya Mungu ndani yako, na ban pataka mwangaza kwako, akili na hekima ya ajabu. 15 Balisha leta ya hekima mbele yangu na bachauri kusudi basome hii andiko na balete mafasirio; lakini habaku weza ku pona maana ya maneno. 16 Nilisikia kama una weza fasiria na ku leta suluhisho ya ma swali ya nguvu; sas, uki weza kusoma hii andiko na ku ni patia maana yake, uta valishwa zambarau mushingo yako batatia mukufu ya zahabu, na uta pata mafasi ya tatu mu Gavementi ya hii ufalme. 17 Danieli aka jibu mbele ya mufalme: bakiana zawadizako, ile matabishi, patia mutu mwengine, lakini nita samea mufalme hii andiko, na nita leta mufasirio. 18 Ee mufalme, ule Mungu mukubwa alipatiaka Nabukodozori baba yako ufalme, heshima na bukubwa; 19 Na ju ya ile heshima yenye alipata ka njo batu yote, mataifa na batu ya luga zote bali muogopa na kutetemeka mbele yake. Mufalme alikua mana mwenye anapenda, aliacha hai kila mwenye anapenda, aliinua mwenye anapenda na kushusha benye ana penda. 20 Lakini wakati roho yake ilienuka na moyo wake iko kua ngumu, mapaka kiburi cha uzima, baka muangusha kukiti cha ufalme na baka mutosha ile sifa, 21 Aka fukiziwa katikati ya batoto ya batu, roho yake ika fananishwa na ya wa nyama, na akanza kiishi na ma punda wa pori, alikula mayani sawa ngombe na mwi yake ili yala umande ya mbinguni, mpaka aka tambua kama Mungu mukubwa ni mutawala. 22 Na weye Belishaza, mtoto yake, hauku nyenyekeza moyo wako ata kama uli jua ile mambo yote. 23 Uka inukia Bwana wa mbingu; byombo ya nyumba yake bili letewa mbele yako, na mulikunywiamo pombe, weye na batu yako bakubwa, babibi yako, na ba abala yako, lisifu miungu ya zahabu, feza, shabana chuma, ya miti na majiwe, yenye haione, haisikie na haijue kitu, na hauku sifu Mungu mwenye anashika pumuzi yako na njia zako zote. 24 Njo maana alituma ile kipande ya mukono yenye ilichapa hii mwandiko. 25 Ile andiko njo hii: Hesabu, hesabu, pima na ugawanye. 26 Nikusema hivi: Hesabu: Mungu alihe sabu ufalùme yako na akaimaliza. 27 Pima : Balikupima ku munzani, na ume anguka. 28 Gabuanya : ufalme yako ime gabuliwa bama ipatio ba medi na ba peresi. 29 Mara moja Belishaza aka leta oda na baka valisha Danieli zambarau, baka mutia mukufu ya zahabu mu shingo na bakatangaza kama anapewa nafasi ya tatu mu [gavementi] ya ufalme. 30 Ile ile busiku, bakaua mufalme Belishaza. 31 Na Dariusi, mu Medi, akaji kamatio ufalme, akiwa na miaka makumi stia na mbil