SURA 3

1 Mufalme Nabukodonozori aka fanya samamu ya zahabu, burefu yeke ilikuwa mikono makimi sita na upana ya mikono sita. Akaisimamisha mu bonde wa dura, mujumbo ya Baniloni. 2 Mufalme Nabukodonozori aka itisha biongozi yote , basimamizi, na baliwali, baamuzi bakubwa , balindo hazina wa shauri, baamuzi na baanzi ba majumbo bote kusudi baende kushiriki kuanzisha ibada ya ile sanamu yenye Mufalme Nabukodonozori ali simamisha. 3 Halafu biogonzi, basimamizi, baliwali baamuzi bakubwa balinda mali , bashauri, na baamuzi bote majumbo, baka kusanyika juya ibada ya ile samamu yenye Mufalme Nabukodonozori, baka ji panga mbele ya sanamu ye Nabukodonozori ali simamisha. 4 Shuja mu moja aka paza sauti kubwa . Hii njo oda muna pewa nyie batu na taifa, na luga zote ! 5 Wakati mutasikia sauti ya ngunga parapanda, gitao, filimbi, na kila asina ya nzenze, na muziki, muta inama na mutu abudu samamu ya zahabu yenye mufalme donozoli ali simamisha 6 Mwenye hata inama, mwenye hata abudu atatupwa pale kati kati ya tanura ya moto. 7 Njo mana wakati batu bote, bali sikia sauti ya baragumu, parapanda gitaa, nzenze, santuri na kita aina ya muziki batu bote mataifa yote batu ya kila luga baka inama na kuabudu ile sanamu ya zahabu yenye mufalme Nabukodonozori 8 Basi ile wakati biongozi bamaya baka staki wayahudi. 9 Bakaambia Nabukodonozori ee mufalme uishi milele. 10 Uli taa oda kusema kila benye bata sika sauti ya baragumu, panda gitaa, filimbi, santuri, kinubi, na kila aina yaya muziki na nzenze ainame na ku abudu sanamu ya zahabu 11 Na yenye ina sema kama mwenye hata inama na kuabudu samamu, ata tupwa mu tanuri ya moto. 12 Kumbe kuko bayahudi benye uli patia kusimamia. Jumbo ya Babiloni Shadraki, Meshaki, na Aben Nego batu benye haba kuheshimu hata kidogo . Ee mufalme; haba tumikie miungu yako, na haba abudu sanamu ya zahabu yenye uli simamisha. 13 Halafu Nabukodonozori aka huzunika na kasira mi yake ika waka aka toa oda, , baka leta Shadraki, Meshaki na Abed Nego. Na baka teta bale batu mbele ya mufalme. 14 Nabukodonozori aka baambia : nyie Shadraki, Meshaki na Abed Nego ni makusudi muna fanya kiva kukatala ku tumikia miungu yango na hamu abadu sanamu yenye nili simamisha? 15 Sasa mu ji tayarisha, wakati mu tasikia sauti sauti ya baragumu parapanda , santuri, filimbi, gitaa,na kila aina ya nzenze na muziki muta inama na kuabudu sanamu yenye nili simamisha; kama hamu ibudu muta tupiwa pale pale kati kati ya tamuri ya moto "tuone" nani ule Mungu mwenye atabatosha mumikono yangu. 16 Schadraki, Méschaki et Abed- Nego baka jibu mufalme Nabukodonozori hatuna haja ya kukujibu kwa ile . 17 Tazama , Mungu wetu mwe tuna tamikiaka anaweza tulopola mu tanuri ya moto, na atatutosha mu tanuri yako Ee mufalme. 18 Na kana apana ujue Ee mufalme kama hatuta tumikio miungu yako na hatuta abud sanamu yenye 19 Ju ya Nabukodonozori aka waka hasira, na sura yake ikabadiriki wakati ali angalia Schadraki, Méschaki et Abed- Nego. Akatoa oda yaku wakisha ile tanuru ya moto mara saba kupita kipimo ya kawaida. 20 Kisha aka toa oda kwa askari jeshi wa moja mashuhuri wa jeshi yake basalinge Schadraki, Méschaki et Abed- Nego na babatu pe ndani ya ile tanuri ya moto. 21 Bale batu baka salingwa na ma surualiza ndani, kanza zao kati na manguo yabo ingine na baka tupiwa kati na ile ta nura ya moto. 22 Gisi oda ya mufalme itikwa ya makalisama na gisi ile tanuru na ile tamuru ili wakishiwa sana kupita kawaida ulimi ya moto ika ikaua bate ba askari benye kakuyaka kutupa Schadraki, Méschaki et Abed- Nego ndani. 23 Na bate batu tatu Schadraki, Méschaki et Abed- Nego baka anguka mukati kati ya ile moto na minyororo yabo. 24 Halafu mufalme Nabukodonozori aka ogopa , akasima kwa rafla aka ambia bashauri bake hatu kutupa batu benye bana hingiwa ndani ya tanuri ya moto? Baka mujibia mufalme: Hakika Ee mufalme ! 25 Akasema tena: sasa" mbone"! mina ona batu ine benye habafugiwe benye tembea tembea kati kati ya moto, na habana maumiri na sura ya ule wa ine ina fanana ya mototo wa miungu 26 Kiisha Nabukodonozori aka sogelea mainglio ya tanuri ya moto na aka sema Schadraki, Méschaki et Abed- Nego batumishi ya Mungu, Mukubwa , Mutoke, Mukuye ! na Schadraki, Méschaki et Abed- Nego bakalotoka mu moto. 27 Basimamiza, biongozi, ba liwali, na bashauri ba mufalme baka ba sogelea bakaana kama moto haikukua na uwezo mi ili ya bale batu , na nywele za ndani haziku haribika na habakukwa ata na harufu ya moto. 28 Nabukodonozori aka sema abari kiwe Mungu wa Schadraki, Méschaki et Abed- Nego mwenye ali tuma Malaika wake aokoe batumishi yake benye bali mu wekea kitumaini na baka zarau oda ya mufalme baka toa miili ya bo kulikokutumi kia wala kwabudu mungu mwingine mpaka Mungu wabo. 29 Sasa oda mina toa njo hii : tangu leo kila mutu, batu bate taifa na luga zabo, mwenye ata mubaya juya Mungu wa Schadraki, Méschaki et Abed- Nego , ata katwa katwa bipande-bipande, na nyumba yake ita genziwa kama lundo ya buchafu sababu hakuna ungine Mungu mwenye anaweza akoa sawa yeye. 30 Kisha ile Mufalme akafanikisha Schadraki, Méschaki et Abed- Nego mujumbo ya Babiloni