Sura 1

1 Mu mwaka ya tatu ya wongozi ya yoakimu mufalme wa Yuda, Nabukadonozori mufalme wa Babilona, akasima kwenda ku pigana na Yerusalemu na aka izingira. 2 Bwana akatia yoakimu mufalme wa Yudea mu mikono yake, na kipande ya byombo ya nyumba ya Mungu. Nabukadonozori akabeba bile byombo mu inchu ya Shineari mu nyumba ya Mungu wake, akabitia mu nyumba ya bitu ya Mungu wake. 3 Mulfame aka toa oda kwa Ahshipenazi mukubwa wa watowashi wake, alete watoto wa Israeli wa mija wa kabila ya kifalme wala wa ma jamaa za wata wala. 4 Biyane benye habana kilema ya mwili, bazuri ku sura, benye kuyala na hekima, akili, mafundisho benye bana weza kutumika mu nyumba ya mufalme, benye bata fundishiwa herufi na masemo ya kalidayo. 5 Mufalme aka wa pangia kilasiku sehemu ya chakula yake na pombe yake kwa shabaha, ya ku wa tunza muda wa miaka tatu kusudi kwa mwisho waanze ku tumikio mufalme. 6 Ndani yabo kulikua, Danieli, Hananie, Mikaeli na Azaria. 7 Mukubwa wa matoashi aka bapanga majina, Danieli akaitwa Belishari, Hanania akaitwa Shadraki, Mikaeli akaitwa Meshaki, na Azaria akaitwa Abedinego. 8 Danieli akaamua kusi poji chafuda na chakula na pombe yenye mufalme ali kua na kunywa njo akaomba kwa ule mukubwa wa ma taashi asi mu shurutishe ku ji ohafula. 9 Mungu aka patia Danieli neema na kulubaliwa mbele ya mukubwa wa matoashi. 10 Mukubwa wa matoashi aka ambia Danieli: mina ogopa bwana wangu mufalme, mwenye alipanga byenye muna pashwa kula na kunywa, sababu akiona sura zenyu zina zorota kushinda ba biyana bengine ba myaka yenu mutatia kiehwa yangu mu hatari. 11 Halafu Danieli aka muambia musimamizi munye kiongozi wa mataashi alitumaka achunguze Danieli, Hanania, Mikaeli na Azaria. 12 Ujaribu batumishi yako muta wa siku kumi, na batupatia tumboga mayani tukule na mayi ya kunywa. 13 Utaangolia kwa mwisho sura zetu na za biyana benye balikia na kula chakula ya mufalme na uta tendea batumishi yako kulingana na viele utaona. 14 Aka bakubalia gisi bali omba na kuba jaribu muda wa siku kumi. 15 Mwisho wa siku kumi balikua na sura nzuri na miili yabo ilikua ina niena kushinda bale ba biyana benye balikua na kula chakula ya mufalme. 16 Musimanuzi alikua na beba byakula na pombe yenye bali kua bata yarishia, na aka kua na ba patia tu mboga mayani. 17 Mungu aka patia bale biyana ine ujuzi, akili mu herufi zote na hekima, na Danieli alieleza maono yote na ndoto. 18 Muda yenye mufalme atiwaka kusudi ba balete kwake, kiongozi wa mataashi aka ba leta mbele ya mufalme Nabukadonozori. 19 Mufalme aka zungumuza nabo na mwabale ba biyana, haku ona mwenye iko sawana Danieli, Hanania, Mikaeli na Hazaria, na pale baka kubaliwa kukazi ya mufalme. 20 Kubitu byote byenye biliomba, hekima, na akili, na byenye mufalme alikua na ba uliza ko balione kama juu maha kumi kushinda bafumu bote benye balikua mu ufalme wake. 21 Hivi njo Danieli ali kua mpaka mu mwaka ya kwanza ya mufalme Sirisi.