1 Paulo, Silvano na Timoteo, kwa kanisa la Tesalonika, katika Mungu Baba, na Bwana wetu Yesu Kristo. Neema na amani iwe na nyiye. 2 Tuna endelea kushukuru Mungu, wakati yote tuna wa taja mu maombi yetu. 3 Tuna kumbuka bila kuchoka ile kaji yenu ya imani mbele ya Mungu Baba, mapendo yenu ya kweli kala muko na magumu na muna vimilia katika matu maini ya mambo itakoya kuja katika Bwana Yesu Kristo. 4 Ndugu, nyie benye Mungu amapenda tuna jua kama ali chagulaka. 5 Kwa sababu enjili yetu ilifika kwenyu haiko kwa maneno tu lakini kwa nguvu ya Rola mutakatifu pamoja na uhakika wote. Na muna jua, tulikuawatu wa namuna gani kwa faida yenu. 6 Mume tuiga na mukaiga Bwana wetu Yesu Kristo, maneno tuli wa fudisha wakati wa matatijo na muka lipokea na furaha ili yo to ka na na Rolo mutakitifu. 7 Matokeo ya ile yote, mume kua mufano kwa batu yote ya Makedonia pamojana bale bote bakule akaya benye bali amini. 8 Sababu kutoka kwenu, batu bote ba lisikia enjili ya Bwana wetu Yesu Kristo, haiko Makedonia na hakaya tu, lakini na jaidi kila fasi kwenye imani yenu katika Kristo ili semeka kwanja haikosie njo intaisema. 9 Kwanja bao peke bali shuhudia gisi muna tu kubali. Balisema kama mu ligeukaka mukaenda ngambo ya Mungu mukaacha ba mungu ba ma sanamu, muka fuata ule ule Mungu mumoja mwenye kuishi na wa kweli. 10 Tena bana shuhudio kama muna ngoyaka Mwana wa Mungu ule mwenye ali fufu kaka kutoka roofu ni Yesu njo anatu fingua na ku tu okoa na kasirani ya Mungu yenye ita kuya.