1 manana ya sabato bwile lusu djuma tchibiori, Mariamu Magdalena kumona karibu. 2 Kumona na kuoloja tendea mulume mateke; kweke sababu Malaika wa mulume vile kugele mbingu kudikwela didibwe, kuigala. 3 Malaika vjo kujanana modile na bivezi jage ya leso mweupe tii theluji. 4 Webe betchyngadgi washaba udi kumuna atetemeka kwa hofu wagewaka ma wa kuva. 5 lakini yule Malaika umu oza wobe bakazi musigwela. nojukela kuva muta katifu Yesu ku mateso. 6 Kushudia hapo. amefufudiwa kama umugozabmuva mulole paoda dipokua kilazwa. 7 Kwicha mugende kwa araka tuka wa mbili wanafunzi wage ivyo ufufukaka kufa tuka kwa wavu ewe kuta ngulia wenda Galilaya, mu kumona upo sasa nimuchila ka wagoza. 8 Walipo wamedjazwa na hofu na ilegele ngingi bale bana bakazi wagenduka kwaupesi kudi kaburinni wakagenda lungu wagoza wana kutanga wanafunzi abadi idia. 9 Mara Yesu kuwatokelela, na kuba bukela bidio salama bele bana bakazi bakamu egendela wa bwela kumateke waka chika mikulu yobe waka muabudia. 10 Ndipo Yesu akuyoza kweke iioleni muka wagoza ndungu wajee wagenda Galilaya, wa kumana huko. 11 Kala wale wakazi waigelela na wakugenda baaziiyee kifuvula wa ingelela wabifuvulu wa kaburi, wagenda musengi kuwagoza makuani mukulu yonso mukugelela. 12 Manana kubonda mukusanyiko na wakoko na ni mukukuyaudila wampe wale kifuula makuta bilele 13 kugoza, goza, wnafunzi wage vakuva wa kugoza boke mukulala. 14 Kaubuka kugenda kwa sulutani, tukuboza mukapate matata yonso.'' 15 Basi kukwata zile faranga wakukita waliotanga mianda byobyotina mojaudi. 16 Basi wage wanafunzi kumi na mosa wakagenda galilaya kwenyi musenge Yesu wenda bwini. 17 Wakumona wa kamuabudu didi baazi kumona chaka. 18 Yesu kugoza, nime pewa busulutana mbingu na musenge. 19 Genda basi mukajafanye bantu yonso ku wanafunzi wonde, mkibatiza kwa jina ya Baba na Mwana na la Kitima kitakatifu.