Sura 1

1 Yuda,mutumishi wa Yesu kristo,na nduku yake ya Yakobo,kua bale baritua,barisha kupendewa ndani ya Mungu baba,na benyekuchungiwa dju ya Yesu Kristo: 2 rehema,salama na upendo yongezeke kuenu! 3 Bapendua,vile milipenda saana ku miandikiya dju ya wokovu ya she bote,minapasha ku ifuanya dju ya ku misukutisha dju ya kukombana dju ya imani ile ililetua kua batakatifu bote mala moya loote. 4 Kuamana katikati yenu ku ne dingisha bantu bengine,bale ukumu iko enye ku bandikiya tangiya zamani,benye kuaribika,ba kubadulisha neema ya mungu wetu kuya ubakuzi,na ku mukatala wetu mualimu moya na Bwana Yesu-Kristo. 5 Nataka ni mikumbushe,mueye benye kudjua muzuribintu biote,yaka Bwana,kisha kokowa bantu na kubatosha mu inchi ya Misri,akauwa ba moyo mugumu; 6 arinchungiya dju ya ukumuya shiku munene,benye kufungwa milele na milele na giza,kualakini benye kuacha nyumba yabo ya kueli; 7 sasa Sodoma na gomora na miji ya ku pembeni,yenye kujitoa sa bo ku busharati na ku ma nkosa ya kipindupindu na ali ya ku staili,benye kuletua kuwa mufano,wenyekuinshua mu mateso ya moto ya milele. 8 Ata ile,bale bantu na bo,benye kusukumua na tabiya yabo mubaya,beko na chafusha vilevile mili yabo,banakufuru mamulaka na banachambula ma utukufu. 10 11 9 Lakini,Mikaeli,wakati alikuya na bishana na diabolo na ekeo nakokotana naye mwili ya Musa,ashi kupime ku muchambula ata mala moya,kualakini ali sema:Bwana akufokeye. Bo kualakini,beko nasema na kibengo dju ya bintu abadjue,na banedilanda mu bile banadjua kuwa kama ya biakuanza. Wole kuabo!kuamana balifuata ndiya ya Kaina,ba na jingisha dju ya malipo mu kupotesha na Balama,banedipotesha kupitiya butombozi bua Corea. 12 Ni bantu ba hatari ku ma feti yenu,na bana fanyaka mambo muzuri ya kutakfuta kuvuma kuabo, 13 bo ni mawimbi ya makari ya pa mai sho nvula inasukumua na pepo,ni miti ya kipua ya sho matunda,mara mbili balishakufwa,na balisha kukatua mizizi; pepo ya makali ya pa mayi ikonasukuma buchafu buamingi pembeni,matokeo mabaya inajungulaka na kupita ile ngiza ya weushi 14 Ni tena dju yaboEnocn,wa saba tangiya Adama,aritabiri kua misemo iyi:mone,Bwana alikuya na bake batakatifu bamingi, 15 dju ya kufanya ukumu dju ya bote,na dju ya kuripisha babaya bote katikati yabo dju ya matendo yote ya machafuko baritenda na misemo yote ya kibengo ile misemo yabo yote ya kibengo ili taya dju yake batenda zambi benyekuya na zambi. 16 Ni bantu banasema chinyichinyi,beko ne ditompoleya dju ya bile bita bafikiya,beko natembeya kufuatana na tama yabo,beko na misemo ya kiburi ku kinya yabo,benye kusifu bantu dju ya faida yabo. 17 Kualakini mweye,bapendua,mukumbukeni bintu bilisemewaka tangiya zamanikua ba mitume ya Bwana wetu Yesu-Kristo. 18 Barianzaka kumiambayaka aseme wakati ya mwisho ku weza kuya bakazarau,bakutembeya kufuatana na tama ya bubaya bwabo; 19 ni bale ba kuleta ma kukatanakatana,bantu ba kimwili,bashipo na roho. 20 Dju yenu,bapendua,na kudikamilisha mwe benyewe dju ya imani yenu takatifu,na ba kuomaka na Roho Mutakatifu, 21 mubakiriye mu mapendo ya Mungu,kua kuchunga rehema ya Bwana wetu Yesu-Kristodju ya uzima ya milele. 22 Musaidiye bengini,bale beko nabisha; 23 mokowe bo kua ku balopola mu moto;na dju ya bengine tena,mukuye na buluma yenye kuya na boka,nakuchukiya kufikisha na ku nguo yenye kuchafuka na mwili. 24 Bshi,kua ule anaweza ku michunga dju ya kuanguka kote na ku mionekanisha mbele ya utukufu yake ishipo onekana ivi na fura, 25 kua Mungu pekeyake,Mokozi yetu,kupitiya Yesu-Kristo Bwana wetu,imwelwkwye utkufu,bukubwa,nguvu na uwezo,tangiya mbele ya nyakati yote,na sasa,na milele na milele! Amen!