Suma 6

1 Yesu athe ukethi rathako mui kunuu,wanafunzi isuu athe ratsiwa. 2 Sabato athe ratsi,athe azani futani sinagogini.Guo kaime kawathe ethithiwa olo shangazwakuni.athe onzitha,athe patatsi futano ukwa?"Hekima!jikoni athe kemiwa?"Athe tendani miujizatho ukwa thaba isuu. 3 Je ukwa bawa seremala,gwitso mariamu olo ndugu usu yakobo,yese,yuda olo simioni? thele kunuu akale bawa ishini ukwa wathukwetha nyakae?bawa chunamiwa yesu kaba aminithe. 4 Yesu onzinya,"Nabii bawa heshima chagiwa,bakuna mui isuu miongo ndugutsa mini inyii. 5 Bakunawa tendani miujiza uko,athe keji thaba kurumi amina chineni. 6 Athe shangazwakuni sababu ukethi aminikuni kunuu.Kisha athe rathana mitaa jirani athe fatano. 7 Athe ijikutsi wanafunzi kumi olo lima tumani lima limani,athe kemiwa mamlaka gapotha wathima bijaju. 8 Amuruni bawa kamiwa akale wathe rathako bakunawa fimboni.bawa kamiwa akale,mkobani wala fedha akibani. 9 Duami viatuni bawaekakathu lima. 10 Athe onzinyi mini akale wathe othi gwahi ukwa wathe ukethi. 11 Mui akale bawa pokeatsi kawathe ethithiwa,ukethi kunuu,ngutani mavumbini thakai kunuu,ushuhuda ekei kunuu. 12 Ukethe wathe tangazakuni guo wathe tubuno wache dhambi usuu. 13 Swathe horiruku wathimo kaime,wathe pakatsi meshi wathe kurumi wathe chinine. 14 Mfalme Herode athe ethithiwa ukwa sare yesu athe eletheni.Baadhi wathe onzi,Yohana mbatizaji kazi falakutsi ndani kunuu, 15 Baadhi usu wathe onzi ukwa Eliya,"Bado wathe onzi ukwa nabii,kaka wathukwe nabii barani. 16 Herode athe ethithiwa athe onzi yohana hethina hani athe kiniheni. 17 maana herode inyii athe agizakuni yohana hathina atha lupiku gerezathe sababu Herodia(Nathetsa hajo isuu filipo)sababu uthu awathe oani. 18 Maana yohana athe onzinya Herode,bawa halali oani Nathetsa Hajo kunuu. 19 Herode athe thukiani yohana thakani nzaa baka wezani, 20 Maana Herode athe rikinawa yohana,athe elethe aro haki guo mtakatifui,athe salama kaba athe endeleatho kawathe ethithiwa athe huzunikakuni athe furahitho kawathe ethithiwa. 21 Bawa athe ratsi wakathi mwafaka karibiatho atho umushi Herode andaliatho ofisaani usuu karamuno,komandani olo viongozi Galilayani. 22 Ndio thele Herode othi wiriku mbee isuu,awathe furahishatho Herode olo wagani wathe gwahi wakathi hame aga himatheni mfalme awathe onzina thele lopani akale thakae anyii kamiwani. 23 Apano olo onzi akale kawathe lopano athe kamiwa,nusu ufalmeni itsi. 24 Athe thipemi garima awathe ulizano yayoni isuu,lopani jiko? Athe onzi hani yohanani mubatizajini. 25 Mara wathukwe awathe othi ndani falmeni athe onzina,Awathe kamiwa ndani sabani hani yohana mubatizaji. 26 Mfalmeni athe sikithikakuni sababu kiaponi kunuu ajili wageni bawa wezani katazani lopani isuu. 27 Mfalme tumani askari kati walinzi isuu agizakuni rathako hebehani gerezatha ekei. 28 Athe kemiwa hani anyii aro sahani awathe kamiwa thale,thele athe kamiwa yayo isuu. 29 Wanafunzi isuu awathe ethithiwa uko wathe rathako kamiwa miisho usuu awathe nzaa kaburitha. 30 Mitumeni,wathe kusanyikani wathukwe mbee yesuni,wathe elezakuni mapo akale wathe falano wathe fatano. 31 Awathe onzi,Roiya ako usuu meshi faraghani fokene muda.Guo kaime wathe ratsi olo ukethi,bakani patatsi nafasi aga. 32 Wathe utheukethi mashuathe wathe rathako mahali faragani kaisuni isuu. 33 Wathe waana wathe ukethi kaime awathe tabuani,wathukwe luuthiwa thakai thipemako mui akale,kunuu wathe ratsi kabla isuu. 34 Wathe ratsiwa pwani,athe waana umathi gano awathe hurumiano sababuni kaka kondoo bawaana mthunga.Anzani kawathe falani mapo kaime. 35 Muda athe endeleatho wanafunzi wathe ratsiwa wathe onzinawa uko mahali faraghani mudani endeleatho. 36 Ageni rathako mui jirani olo mitaa wathe nunuani aga. 37 Athe jibutho athe onzina,wathe kamiwa nyakaa aga.wathe onzinya,wezano rathako nunuani mikate themanini dinari mia lima kamiwa aga? 38 Athe onzi mna mikate jikoni?Rathako athe keki.wathe patatsi kawathe onzina,mikate tanoni jarivo lima. 39 Athe amurutho guo gwahi thuri gaponi themi. 40 Kawathe gwahi thuri,thuri mia olo hamsini. 41 Kisha athe kamiwa mikate mitanoni jarivo lima kekiwa wakatha,athe barikikuni kamiwani wanafunzi gwahi mbee umathi,kisha athe gawani jarivo lima guo akale. 42 Wathe hame aga akale awathe toshekani. 43 Wathe kusanyakuni vipandeno mikate athe bakiani jazani vikapuni kumi olo lima,pia vipande jarivo. 44 Hajoni elfu tano wathe aga mikate. 45 Mara yesu onzi hinzani dautha rathako sehemu wathe,hadi Bethesaida,wakathi uthu agani makutanoni. 46 Awathe ukethi rathako mlimathe lopano. 47 Himathe ekei duatha usuu wakathi ukwa kati bathoni,athe kaisuni isuu giritha kavuni. 48 Athe waana wathe tabikakuni lupiku makasiani sababu jufume zuiani.athe karibiani thamini athe roia rathana tembeani gapotha maa kawathe pitatsi. 49 Awathe waana rathana gapotha maa,wathe othi wasiwasi wathe ndani mzimuni wathe lupiku mayowe. 50 Sababu wathe waana wathe jaano riko.Mara onzina kunuu atho onzinya wathe jasiri akei anyii bawaaka riko. 51 Athe othi ndani duatha,jufume wache vumatho,kunuu wathe shangaani balai. 52 Bakani elethe maana mikateni.Maana akili usuu athe elethe amina. 53 Yesu wathe vukani ng'ambo wathe ratsiwa giritha Ganasareti duatha othi nanga. 54 Wathe guthiwa garima Duatha.Mara wathe tebuatho. 55 Luuthi tangazani mui akale anzani kamiwa kurumini machere akei,kila wathe ethithiwa athe ratsiwa. 56 Akale athe othi mutaa au mui au guthe,wathe gwahiwa kurumiwa wathe sokotha,wathe sihini athe ruhusuni gusani pindo bagoni isuu.Akale wathe gusani wathe chinine.