1 Huu ni mwanzo wa injili ya yesu kristo mwana wa sapanga. 2 Kama ilivyoandikwa na nabii Isaya rola nintuma kijumbe wangu kuurongero kwaku yamonga atakayefarisha ndera yake. 3 Lilowe lyamundu ywikema nyikani ikamitisheni ndera ya bambu mungoshe ndera hyake.'' 4 Yohana akawuyiti akibatiza nyikani na kuhubiri ubatisu nyikani na kuhubiri ubatisu wa toba kwa msamaha wa dhambi. 5 Nnema woha wa Yudea na wandu woha wa Yerusalemu wakayawili kwa yweni wakabatisiwi na yweni murukemba Yordani viungama zambi hyavi. 6 Yohana akahwaliti vazi la mangoma gha ngamia na nkanda wa kikumba mukiwumu chake akalya nzige na asali ya kumanyahi. 7 Akahubiri na kurongera awili yumonga iwivya badala yanenga ywana likakala zaidi kuliku nenga naminako ndeka hadhi hata ya kuyinama pahi na kuwopara woyi wa iratu hyike . 8 Nenga nakawapatisi kwa masi lakini yweni andawalatisa mwenga kwa Roho ntakatifu.'' 9 Yakapili katika masiku agha kwamba yesu akawiyiti kuhuma nazareti ya Galilaya na akabatizwi na Yohoni muru kemba rwa Yordani. 10 Wakati Yesu pakayinwiki kuhuma mumasi akaiweni mbingu igawanyiki wazi na Roho ihuruka pahi kunani hambuka vyewa. 11 Na lilowi lihuma kumbinguni '' wenga ni mwana wangu mpendwa .Nipandezwa sana na wenga.'' 12 Kisha mara moja Roho akaramisi kuzara nyikani. 13 Akawili nyikani masiku arobaini akaiyaribiwa na shetani . Akawili pamonga na wanyama wa mwituni na malaika wakimhudumia. 14 Hina baada ya Yohana kukamihiwa Yesu akawayiti Galilaya akatangaza injili ya sapanga . 15 Akarongiri muda uhikiti wa ufalme wa sapanga ukaribii mtubu na kuamini katika injili.'' 16 Naipeta kando ya bahari ya Galilaya akamwene Simoni na Andrea warongo wa simoni philagha nyavu hyawi katika bahari kwa kuwa wakavili wavuvi. 17 Yesu akawarongalili mmuyi nvati andanimtenda wavuvi wa wandu. 18 Na mara imonga wakailekite vyavu na wakamfuatiti . 19 Wakati Yesu pakatyangagha umbali kidogo akamweni Yakobo mwana wa Zebedayo na Yohana nnongo wake wakakavili kwenye mtumbwi wakatendekeha nyavu. 20 Mara akawakemiti wakannekiti tati wavi Zabedayo nkati nawatumishi walikodiwa wakafuatiti. 21 Na pawakahikiti kaperwaumu siku ya sabato Yesu akayingiri kwenye singogi na kufundisa. 22 Wakakangisi fundisho lyaki kwa vile alikuwa akawafundishagha anda mundu awina mamlaka na sio kama waandishi 23 Wakati huohuo na akavili na wandu katika sinangogi lyawi akavili na moyo mhakahu na alipiga mangutu . 24 Akarongiri tuwina niki cha kutenda na ng'wenga; Yesu wa Nazareti ; uwayiti kutuangamiza; manyitiu ghani wewe ni ntakatifu pekee wa sapanga. 25 Yesu akankarapili pepo na kurongera'' kotokagha na uwoke nkati yake. 26 Na roho nchafu akangwihiti pahi na akawokiti kwa yweni wakati ilela kwa lilovi lyakunani. 27 Na wandu woha wakakangisi hivyo wikonyana kila yumonga ''Hii ni nini Fundisho lilyono lenye mamlaka' Hata huamuru pepo wahakau na wanamtii. 28 Na habari kuhusu yweni mara imonga isambii kila mahali nkati ya mkoa gwoha wa Galilaya. 29 Na mara imonga baada ya kuhuma panja ya sinongogi wakiwa na Ykobo na na Yohana. 30 Sasa nkohamu nnara wa Simoni akawili lghoroka ntamwa wa howa na mara imonga wannongalili Yesu habari yake. 31 Hivyo akawanyiti akankamwili kwa liwoao na kunyinura kunani homa ikawokiti kwake na kutumbura kuwahudumia. 32 Kimihi eye wakati lyupha litipimi wakanneli kwa yweni woha wawakavili watamwa watiopagawa na pepo. 33 Mji g'woha wakakusanyiki pamonga panja yangu. 34 Aliwaponya wamaheri wakavili watamwa wa utamwa mbalimbali na kuwuha pepo wamahezi bali hakuruhusa pepo kurongera kwa sababu akawamanyiti. 35 Akayimwiki lukele na mapema wakati ilikuwa pamera ruwindo akawokiti na kuyara mahali pafaragha na kuyupa oko. 36 Simoni na weha wakawinaghu pamong na yweni wakamparitii. 37 Wakampatiti na wakannongolili kila yumonga ni akuparaha.'' 38 Akawarongoriti ''Tiyari kumahali kongi panja pia ndiyo sababu muyiti pambanu.'' 39 Akayawili Galilaya yoha akihubili katika masinagogi yao kukaripira pepo. 40 Mwenye ukoma yumonga akawoyiti kwa yweni alikuwa akimsihi akapigiti magoti akannongolili anda wipara wiwesa kundenda uvyesafi. 41 Akisukumwa na huruma Yesu akanyoshiti liwoko lyake na kughusa akannongolili nipara uvyegha wamaha. 42 Mara imonga marohi ghakawokiti na alinywa kuwa ywamala. 43 Yesu akamwonyiti sana na akannongalili ayali mara imonga. 44 Akannongolili Hakikasha wirongendeka uharu kwa nywoha yula lakini yara ukakirangihi kwa kuhani na upihi dhabihu kwa ajili ya utakaso. ambayo Musa akaragharakihi kama ushuhuda kwao.'' 45 Lakini akayawili na kutumbura kunnongolera kila yumonga na kueneza uharu zaidi hata yesu awesitindeka kawiri kuyingira kunyini kwa uhuru .Hivyo akatawiyiti kwa yweni kuhuma kila mahali.