1 Kwa wakati huni maelfu yamahele ya vandu wakusanyike pamonga kiasi cha kutumbula kukanyagana kutumbuyla kulongela na vanafunzi wake kwanza," Jihadharini na chachu ya mafarisayo ambayo ni wanafiki." 2 Na hivindeka na siri wakahikite ambayo haitafunuliwa, wala jambo lililofichwa ambalo kumanyikana. 3 Na lolote katika luvindu, litasikiwa katika mwanga. Naye yote kulongela kwenye sikio nkate ya nyumba vinu vya ngate vilivyokudinda yatangiswe kunani ya paa la nyumba. 4 Niwalongelela rafiki yangu, mkotoghopa vala wangomai mili na kisha hawana kilivi kingi cha kuenga, 5 Lakini ntawaonya mtakae kumyogopa. Mwogopeni yula ambaye baada ya kuvegha akakomite, ana mamlak ya kutagha Jehanamu ndiyo liongo yela ambaye baada ya kuwa akomite. Ana mamulaka ya kutagha jehanamu ndio nivalongolela mwenga kuwayoghopa yuni. 6 Je shomoro watano hwisandelka kwa sarafu ivina? Hata naa hakuna umonga wao akuchalika mbele za Chapanga. 7 Lakini mumeghe kuwa nyweza muntovi ushinu visebiwe ukote kuyoghopa ninyi wa zamani kulunga kuliko shomoro wengi. 8 Niwalongelela," yuyuchayola atakunkili nenga mbele za vandu nongo we adamu atamukili mnbele za malaika wa Chapanga. 9 Lakini yuyahuyula atamkaa mbe;le za vandu. 10 Yuhayula atakulongela muhalo baya kunani ya mwanawake wa Adamu atasamehewa lakini yoyote atakufuru Roho Mtakatifu, hatasamehe. 11 Kwwa tapo kuvapeleka mbele za wakuu wa masinagogi watawala mbele za wakuu wa masinagogi watawala na vala malaika mkoto kuyaghopa kunani na namna ya kulenga katika kuntetelela au mwenga mtakapokulongela. 12 Kwa kuwa Roho Mtakatifu avafufishe maana atakapolongela kwa wakati ghaho." 13 Mundu umonga katika nkusanyiko akanongellee mwalimu nongelel nongo wangu anigaiwe. Sehemu ya rafudhi gwangu." 14 Yesu akajibite ni ghani aliye akavikite kuwa mwamuzi na patanisi kati yino? 15 Ndipo akanongalile jihadhari na kala namna tamaa kwa sabu uzima wa mundu hauko katika wingi wa ilivi alivyo navyo." 16 Yesu akanongalile mfano, akalongile shamba la mundu umonga tajiri likapapile sana, 17 na akankonyikie nkate ghake akalongile ntendavu kwani sina mahali pa kuhifadhi mazao ghao na ilivi vingini? 18 Akalongile ni henga naa ntafanya ghala zenu chokombe naa ghao na ilivi vingini. 19 Niulongolela nafsi ghangu nafsi kajivikile ukaba ya ilivi vingi kwa miaka nyingi ku[umulila ule unywa na kuchalea." 20 Lakini Chapanga akanongolile avile mpumbavo linjiku wa lilino wanahitaji riho kuhuma kwako na ilivi yohu alivyoandaa vitakuwavyo nike? 21 Ndivyo itakuvyegha kuukila mundu eyavikile mli nasi kuntajishia kwa ajili ya ghose. 22 Yesu akawalongela wanafunzi ghake , kwayila niwalongelel msihofu kunani ya maisha nyitu -yakwa nawalwegha nike au kunani -ya mili ghina yakuvegha nafwalaye nike 23 Kwa kuwa maisha nizaidi ya ughale na miili zaidi ya mavazi. 24 Mlolokiaye kuyuni angani vilimandeka wabenandaka hawa chumba wala ghala ya kufanzia lakini tati lyetu nkoneshi ninyi sio bora zaidi kuliko kiyani! N 25 yupi kati yinu ambaye usumbuke hiwesa ndeka kulongesa vilaha umonga katika maisha ghake? 26 Ikiva basi khuwendeka kutenda kilivi kosokombe kilicho rahisi kwa nike basi kwasumbukila ghana ghange? 27 Lolakiaye mauwa yanazo mea hutendeka lihengo wala hayasukoti lakini navalongela hale, Sulemani katika utukufu ghake ghoha hakuivikwa kama umonga ghava ya ghano, 28 kama Chapanga kuyavika manyache maha ya kondeni, ambayo lilihu ghavile, na kutagha kwenye moto je sizaidi atawaveka nnyi enyi imani haba! 29 Mkoto kusumbuka kanuni ya kuvegha nalwaye nike au nalwage nike wala msio na hofu. 30 Kwakavegha mataifa ghoha ya duniha kusumbukiwa mambao ghao. na tati ghunu amanyite yakuvegha kuwa mnachi gheno. 31 Lakini mpalahe mufalme ghako kwanza na ghala va ghangi mutazidishiwa, 32 mkuto kuyoghopa, nenyi kundi isakombe, kwa sababu tati yuinu hifulahi kuwapela kuwa uafalme. 33 Usahe mali ghinu muwapele umaskini undeye mfuko fisio ishiwa hazina ya mbinguni isio kuma, lisehemu ambapo hiwesandeka hawata kulibia wala nondo hiwesendeka kuharibu. 34 Kwakuvegha palipo na azina ghako, ndipo na roho ghako itakukuvaka tu. 35 Nguvu yinu ntandamao ziwe idindite kwa mkanda, natazaaenu uhakikishe kuwa kunyendelela kuyaka, 36 na muwe kama vandu wanao tazzamio bwana wao kuhuma kwenye sherehe ya harusi ili kwamba akavanyute nakuva hadi, wataweze kudindila nilwango kwa heleka. 37 Wabarikiwe vale vatumishi ambao bwana akawakolile mihu hakika kudinda nguvu yake tandamao kwa mkanda, kisha atawekisha pahi kwa lwegha ughele , kunakishe kuwahudumia. 38 Kama bwana andaviyaye kwenzetu ye ivana ya ulinzi kuvankongela wakiva tayari, navae itakuwa ne heli kwa chwao watumishi. 39 Zaidi ya hayo, mumanye ghano, kam Bwana kwa mweni nyumba akamang'ite, asingekuluhusu nyumba yake iachwe. 40 Iweni tayari pia kukini mumanyendeka ni waiti ghani mwana wa Adamu anda vunyenye. 41 Petro akalongile, bwana tuvulongele twenga vene hii mfano, au anongile kihemu ndu.? 42 Bwana akawahongole, ni ghani mtumwa mwaminifu tu mwenye hekima ambao ghose ghake namwelekaye kunani ya mtumishi vangi, ili vagawe ughele kinu kwani wakati wa mwafaka? 43 Abarikiwa mtumishi yula, ambaye ghose lweke akakavunyeta kunkulete akihenga ghale agizwa. 44 Hakika niwalongolela ninyi pakuivegha navikaye kunani ya mali yaho. 45 Lakini mtumishi yula ukalongil;e moyoni shake, ighose wangu huchalewe kukili vuka ivo atambuli kuwatova vala watumishi ghose na nala, kasha akatumbule kulweghe kulweghe kulewa, 46 bwana ghake yule mtrumwa andevuyeye katika lianjiko asategemehe na saa isibo kumanyikana, naye andamwele kipende kipende na kuviika katika sehemnu pomonge wasio kuwa mwaminifu. 47 Mtumishi annayemenye mapenzi ya Bwana ghake, nae hakujihendea walehaku we sawasawa na mapenzi ghake, natuveye hihoto. 48 Lakini mtumishi asio manya mapenzi ye ghosi wake , lakini akhengite unastahili azabu, natuvaye yueni aliyee pewa ya mchele hudaiwa kuhuma kwake na yuene elivuminiwa kwa yamchele, kwake itadaiwa ya mchele zaidi. 49 Nikavuyite kuwasha moto duniani, nannatamani iwe umewisha wako, 50 lakini nina ubatizo ambao nitabatizwa, na nina huzuni mapana ikamukwe! 51 Je unafikiri kuvesha muyite kuleta amani dunia? hepene, nivakongele badala ghake nifatite mgawako. 52 Tangu sasa kuyendelela neivye he vandu vatano katika nyumba imonga wamegawa kwa, na watatu unawalyeweye na vavina, na wawili nawivieye ne kiyume ne vatatu. 53 Watawanyika, tati handeviye kuyuma mwananga, na mwanao andaviye kayune natatiye, mama andakulaye ne binti ghake, na binti andakuleha kiyumbe menu mama ghake, mama mukwe andakulahi kiyume na mukwe wake naye mkewe andakulehe na mamukwe ghake. 54 Yesu akavile nawalongolele makutano pia, mala mumonapo mawingu yalahumite magharibi, monongere pavavilene joto kali na nyakali ya hula zimehadia na ndivyo ikulite. 55 Na upepo kusini ikuvuma, munongele pakavile joto kali, ne ndivyo itakiwa kuvegha. 56 Enyi wanafiki, muwasendeke kufatili mulokeye wenchi na anga, lakiini ivile huwssendeke kutafsiri wakati uliopo? 57 Ni kwa nike kilaumonga winu hesipambe nue lililo salillo kwake kulifunga wakati kuhenga wakati apohapa wahenga wakati kuhenga wakati upambapu na nafasi yakuhenga ncha. 58 Maana ukuyawele namushitaki ghako mbele ghako yakahikimu, jitahidi kupenda na mushukiwa mungali bado muvile mundile asoje kukupeleka kwa hakimu na hakimu ukakapeleke kwa ofisa, na ofisa ankataghite gerezani. 59 Navalongereka humutendeka kunihadi kulipa mpaka senti ya mwisho.