1 Nenga ni mzabibu wa ukweli, na tati gwango ni mkulima wa mzabibu. 2 Kila tawi ndani yangu ambalo halizai matunda na lisafisha kila litawi ambalo lizaa litunda vilivuha ili kwamba liweze kuzaa zaidi. 3 Mwenga tayali mmile safi kwa sababu ya ujumbe ambao nakavarongalire. 4 Tamaye nkati thango, na nenga nkati thino kama kitawi ingaweza kupapa peke yake lisipo katika mzabibu, kadharika mwe msipokaa ndani ya nenga. 5 Nenga ni mzabibu, mwenga ni makatawi thwaidumu nkati thangu nnanenga nkati thake, mundo thweno ipapa matunda ghamahela, kwa kuwa changa nenga miwezaye kufanya jambo lolote. 6 Andaivi mundu yoyote isalilaye nkati thangu navatagha kama litawi na kuthama; vando vikusanya matawi na kughatagha katika motona kuteketea. 7 Anda ividumu nkati thango na kama maneno ghango ghadumwite nkati thino, womba lolote limipala na mwenga navafanyilayilaye. 8 Katika iyene tati ghwango vatukuzwe kwamba mimpapa matunda ghamahele na kwama wanafunzi vango. 9 Kama tati ghwango chimpala nenga, nenga pia navapahile mwenga, mdumu katika pendo langu. 10 Ikiwa nakamula amri yangu, utadumu katika pendo langukama cha ngamwile amri ya tati ghwango na kudumu katika pendo lake. 11 Nongile mambo agha kwino ili kwamba furaha yangu ivya nkati yino ifanyika kuvye timilifu. 12 Hii ndo amri yango kwmaba mpendane movene kwa movene kama nilivyowapenda ninyi. 13 Aviye mundo thwavinaupendo ngulunga kuliko ghweno. kwamba aghavohe maisha ghake kwa ajili ya rafiki thake. 14 Mwenga ni rafiki yango ikiwa nafanya ghala ghaninaghalakihe. 15 Navakemaye vatumwa, kwa kuwa mtumwa amanyiye kila chaihenga bambo ghwake navakemite mwenga marafiki, kwa sababu navajulishe mambo ghote ambayo naghayohine kuhuma kwa Tate. 16 Makahaghwindeka nenga, ila nenga nakavahagahwile mwenga na kwavika nyende makazao matunda , na tunda hilo lipate kutama. Yene ivinaha ili kwamba chochote chimiyupa kwa tate lino lipate kutama. Yene ivinaha ili kwamba chochote chamuyupa kwa tate kwa lihina lako atawapeni. 17 Mambo ghena ghininaghila, kwamba pananaye kila mundo nanyeke. 18 Kama ulimwengu utawachukia, umanya kwamba uchimwite nenga kabla wanachimwaye mwenga. 19 Kama kauvya wa ulimwengu, ulimwengu ngauva palite kama wa mgwake lakini kwa sababu mwenga sio wa ulimwengu na kwa sababu nakavahugahwile kuhuma katika ulimwengu huwachukiza. 20 Kumbukaye lineno ambalo nakonongalilre, mtumwa si mkuu kuliko bambu ghwake ikiwa vakatesekite nenga novatesaye mwenga pia kama vakakamwi lineno lyango, kavalikamulile la kwenu pia. 21 Watendeeni mambo agha ghote kwaajili ya jina langu kwa sababu vaumanyi thweni thwandumite. 22 Kama kantalokuhika kwarongera kurongera wasingelikuwa vafanyite trhanmbe; lakini hena hawana udhuru kwa dhambi yave. 23 Thwaichimwa nenga ichukila tate pia. 24 Ikiwa sijafanya kazi miongo mwake ambayo hapana yumonga thwafanyite, ngavale hawana vavwene na vachimwite nenga na tati ghwango. 25 Hili lipitira ili kwamba neno litimiye ambalo valiyandike katika sheria thave, vavichukia nenga bila sababu.' 26 Wakati mfariji ahikite,ambaye nantuma kwino kuhuma ka tate, oyo ndiye, roha wa kweli ambaye ihumila kwa yate, nashuhudila. 27 Mwenga pia nishuhudila kwa sababu mmile nanenga tangu mwanzo.