1 Pakavire namundo furani katika muji kaisaria,lilina lya vyakakema Kornelio akavile nata wa kikosi cha kitalii. 2 Akavire mchumungu akamwabine Chapanga na nyumba lyake yote;akapitire mapesa ghamahere kwa mayahudi na akayopite kwa Chapanga machiku ghaka. 3 Mda wa tisa ya pamule akaghavwene mano malaika gha Chapanga kiyenda kwa nywene.Malaika akanongarile 4 ''Kornelio! Kornelio akanorokie malaika na akavile na hofu ngurunga sana akavongire eche nike nahota.Maika ghanongolire.Maombi ghako na zawadi yino kwa masikini ihovwike kunane na kumbukumbu ya uwepo wa Chapanga.'' 5 Hena ntuma vyando kuyenda muchi ghwa yofa kuneta mundo ywa monga yuvikema simoni ambaye vinkema Petro. 6 Itama na ywitegheha ngozi vinkema Simoni ambaye nyumba yake ivile mpile ya bahali.'' 7 Baada ya malaika ghaghakavile ghilonge lanako kumvuka,Kornelio akavakemite vyatumishi vya pakaya pake vyavena,na askari nywakavile nywimwabidi Chapanga kati ya maaskali vyava kavire vitumikila. 8 Kornelio akavalongeli ghoha ghaghapitire na akavyatumite yofa. 9 Lichiku lilikafatite uda wa saasita vyakavi mndira na vyakakaribii kumjini,Petro akahomwike kunane kudare kuyupa, 10 Napia akavire na njara na akayupite kilivi cha kulyegha lakini wakati vyanda vitereka ughare vyakanangihe maono, 11 Akaivwene anga ifungwike na kileve kihuruka na kileve furani anda ngumvu kurunga ihuruka pake pa nnema katika kona thyoke yoha chehe. 12 Kati yake kwakavile na aina hyote yainyawa vana maghuru ncheche na vivikwava kunane yapannema,na iyune lya kuangani. 13 Kavina sauti yakarongire kwa nywene''Nyimuke,Petro chinja na kulyegha.'' 14 Lakini Petro akarongi si naha bambo kwa sababu nanawahi ndeka kulyegha kileve choha chila najisi na kichafu. 15 Lakini sauti yakavuyile kwa nywene kwa mara ya pili,yakatasike Chapanga katakukema najisi walakichafu.'' 16 Yene ipitile mara tatu na chela chombo chakakire myakatorite kavina kunane. 17 Na wakati Petro avile katika hali ya kuchanga nyikiwa kwajili ya maono ghimanisha niki,Nora vyando vyamvavi,vyakatumite na Kornelio vyakayemite kurongoro ya nyango.Vyakakonyite .Ndera ya kuyenda ku nyumba. 18 Na vyakakemita na kukonya pena Simoni na hyene vyankamita Petro anda akavire itama para. 19 Wakati ghweno Petro akavihwacha juu ya agha maono.Mwoyo wakalongi nako nara vyando vyatatu viparaha. 20 Nyimuke na uhuruke pahe na nyendi navyo kotakuyoghopa kuyendananyo.kwa sababu navyatumite.'' 21 Petro akashuka chini kwao na kusema "Mimi ni yule mnayemtafuta. Kwa nini mmekuja?" 22 Wakasema, "Akida mmoja jina lake Kornelio, mtu wa haki na hupenda kumwabudu Mungu, na watu humsema vyema katika taifa lote la kiyahudi, ameambiwa na malaika wa Mungu kukutuma ili kwenda kwenye nyumba yake, ili asikie ujumbe kutoka kwako." 23 Petro akawakaribisha kuingia ndani na kukaa pamoja naye. Asubuhi iliyofuata akaamka akaenda pamoja naye, na ndugu wachache kutoka Yafa wakaambatana naye. 24 Siku iliyofuata walikuja Kaisaria. Na Kornelio alikuwa akiwasubiri; na alikuwa amewaita pamoja ndugu zake na marafiki zake wa karibu. 25 Wakati Petro akiingia ndani, Kornelio akamlaki na kuinama hadi chini kwenye miguu yake kwa kumheshimu. 26 Lakini Petro akamwinua na kusema "Simama; mimi mwenyewe pia ni mwanadamu." 27 Wakati Petro akiwa anaongea naye, alienda ndani akakuta watu wamekusanyika pamoja. 28 Akawaambia, "Ninyi wenyewe mnajua kuwa siyo sheria ya kiyahudi kushirikiana au kutembelewa na mtu ambaye si wa taifa hili. Lakini Mungu amenionesha mimi kuwa sipaswi kumwita mtu yeyote ni najisi au mchafu. 29 Na ndiyo maana nimekuja bila kubisha, nilipotumwa kwa ajili ya hiyo. Kwa hiyo niwaulize kwa nini mlitumwa kwa ajili yangu." 30 Kornelio akasema, "Siku nne zilizopita, wakati kama huu nilikuwa naomba muda wa saa tisa mchana ndani ya nyumba yangu; Nikaona mbele yangu mtu amesimama akiwa na mavazi meupe, 31 Akaniambia "Kornelio maombi yako yamesikiwa na Mungu, na zawadi zako kwa masikini zimekuwa ukumbusho mbele za Mungu. 32 Kwa hiyo tuma mtu Yafa na akamwite mtu mmoja anayeitwa Simoni aje kwako, ambaye pia huitwa Petro. ambaye anaishi kwa mtengenezaji wa Ngozi mmoja aitwaye Simoni ambaye nyumba yake iko pembeni mwa bahari. 33 Zingatia: Msatri huu, "Naya atakapokuja atasema nanyi," haumo kwenye maandiko ya kale. 34 Ndipo Petro akafungua mdomo wake na kusema "Kweli, nimeamini kuwa Mungu hawezi kuwa na upendeleo. 35 Badala yake, kila taifa mtu yeyote anayemwabudu na kufanya matendo ya haki anakubalika kwake. 36 36Unajua ujumbe alioutoa kwa watu wa Israel, alipokuwa akitangaza habari njema ya amani kupitia Yesu Kristo ambaye ni Bwana wa wote- 37 ninyi wenyewe mnajua tukio lililotokea, ambalo limetokea Yudea yote na lilianzia Galilaya, baada ya ubatizo ambao Yohana alitangaza. 38 tukio lililokuwa linamhusu Yesu Kristo jinsi Mungu alivyomtia mafuta kwa Roho Mtakatifu na kwa nguvu. Alienda akifanya mema na kuponya wote walioteswa na ibilsi, kwa kuwa Mungu alikuwa pamoja naye. 39 Sisi ni mashahidi wa mambo yote aliyoyafanya katika nchi za Uyahudi na katika Yerusalemu- huyu ni Yesu waliyemuua na kumtundika mtini. 40 Huyu mtu Mungu alimfufua siku ya tatu na kumpa kujulikana, 41 si kwa watu wote, lakini kwa mashahidi waliochaguliwa kabla na Mungu. - sisi wenyewe, tulio kula naye na kunywa naye baada ya kufufuka kutoka kwa wafu. 42 Atiragharakihe kuhubiri kwa vyando na kushuhudia kwa oyo ndiye njwene Chapanga.Akamhaghwire avye uwamuzi wa vavari vyazima na vavyawire. 43 Katika nnywene nabihi voha vyashuhudiye ili kwamba yuiamini kati ya hywene akapoki msamaha wa thambi kupetera lihina lyake. 44 Wakati Petro piienderea kurongera kurongera agha.Moyo mtakatifu akavajazite voha vavyakavie viyokanakiha ujumbe wake. 45 Vando vara vivihusika na kikundi cha wa amini vavyatairiwe vara vohavavyahikite na Petro-Arishangazwa,kwa sababu ya karama ya moyo mtakatifu aliyemwangwa pia kwa Mataifa. 46 Kwakuwa vyakayohine amva vyamataifa virongera kwa lugha yinge na kuwabudu Chapanga Petro akajibwite, 47 ''Kuna mundo yeyoha iweza kuhirira hache ili vyando vakatakubatizwa.Vyando vena vyapokire moyo mtakatifu Anda twenga?'' 48 Ndipo akavyamurishe kubatizwa kwa lihina la Yesu Kristo.Baadaye vyakanyopite atamanavo kwa machiko kadha.