kihongi 4

1 Kwa hiyo kuwa kristo ahatesike katika mwili jikikeni silaha ya nia yeyela yela thwene yatesike katika mwili avokite na dhambe. 2 Mundo thweno iyendele ndeka kavina kutama katika tamaa ya mili bali kwa mapenzi gha chapanga kwa maisha ghake ghaghahighile. 3 Kwa muda waghupetite utoshite kutenda mambo ambayowamataifa vipala kuhenga ufasadi nia mbaya ulevi ulafi shelehe hyakipangaji na ibada ya sanamu thina machukizo. 4 Vifikiliya ni ajabu pavijiepusha kuhenga mambo ghena pamonga nako halafu vironge haovu kunane yino. 5 Navapiha hesabu kwathwene thavile tayari kuhukumu vavavile uhaina wafu. 6 Kwa kusudi yene anjili yakahubiliwe kwave vavakavile vahwile kwa ijapokuwa vakavile vahukumiwe katika mimele yave kama wanadamu ili vaweze kutama kulengana na chapanga katika roho. 7 Mwisho ghwa mambo ghoha nauhikaye.kwa hiyo mya na ufahamu ghwauvile sahihi, na ivyayena nia yamaha kwa ajili ya maom be ghino. 8 Kabla ya mambo ghoha miyaye na bidii katika upendo kwa kila yumonga, 9 kwakuwa upendo wipalahaye kuhyekula dhambi hya vange. Nangihaye ukalimu kwa kila mmonga bila kunung'unika. 10 Kama andanaa kila mmonga ghwino pakapo kile karama.ntumiaye katika kuhudumiana kama vasimami wema na karama yamahele yavapihite bule na chapanga. 11 Kama mundo andarongile na ivya kama mausia gha chapanga na kama mundo andakihudumuna ivya kama uwezo ghuvapelite chapanga ili kwamba kwa kila jambo chapanga apatekutukuzwa kupetela Yesu kristo utukufu na uweza uvina thwene milele na milele. Amina. 12 Vapendwa kotakuheabu jaribu ambalo litwelera kuvayigha kama kileve kighene ingawa kuna kileve kighene kilichokuwa kipitira kwino. 13 Henaha kwa kadili pamizidi kupata uzoefu ghwa mateso gha kristo fulahihaye ili kwamba mtukufu ghwake. 14 Iwapo vanighite kwa ajili ya lihina la kristo. mmbalikiwa kwa sababu ya Roho wa utukufu na Roho ghwa chapanga itama kunane yino. 15 Lakini akotokakuvye yoyoha thwava tesite kama uaji mwize thalaitenda maovu au yajishughulisha na mambo gha vange. 16 Lakini andavine mundo vitesa andamkristo. akota kuvona hone ila antukuza chapanga katika lihina iyene. 17 Kwa kuwa wakati uhikite kwa hukumu kutumbulils katika nyumba ya chapanga kama itumbulila kwito naivyavole kwa vala vangaiti inyili ya chapanga. 18 Na kama yuna hakiniokolewa kupetelamagumu naivyavole kwa mundo thwangahaki nayuna dhambe'. 19 Kwa hiyo voha viteseka kutokana na mapezi gha chapanga makabidhe nafsi hyave kwa muumba mwaminifo ili hali wakitenda mema