Sura 1

1 Yesu Kristu mutoto wa Daudi tena mutoto wa Ibrahimu. 2 Ibrahimu alimuzala Isaka, na Isaka alimuzala Yakobo, na Yakobo alimuzala Yuda na ba ndugu yake. 3 Yuda naye alimuzala Peresi na Zera na mama Yabo arikuya Tamari, na Tamari arimuzala Esromu na Esromu alimuzala Aramu. 4 Na Aramu arimuzala Aminadabu, na Aminadabu arimuzala Nashomi, na Nashomi arimuzala Salomoni , 5 Na Salomoni arimuzala Boazi na mama yake Rahabu, Boaze na ye arimuzala Obedi na mama yake Ruth, na Obedi arimuzala Yese. 6 Yese na ye arimuzala mufalme Daudi, na mufalme Daudi arimuzala Salomoni na bibi wa Uria. 7 Na Salomoni arimuzala Roboamu, na Roboamu arimuzala Abiya, na Abiya arimuzala Asa , 8 8na Asa arimuzalaYehoshafati, na Yehoshafati arimuzala Yoramu, na Yoramu arimuzala Uzia 9 Na Uzia arimuzala Yothamu , na Yothamu arimuzala Ahazi, na Ahazi arimuzala Hezekia, 10 na Hezekia arimuzala Manase, na Manase arimuzala Amoni, na Amoni arimuzala Ysia, 11 na Yosia arimuzala Yekonia na ndugu yake wakati barikuya batumwa ya babeli. 12 Na Kisha kuhamisha babeli, Yekonia arimuzala Shatieli, na arimuzala Zerubabeli. 13 Zerubabeli na ye arimuzala Abiudi, na Abiudi arimuzala Eliakimu, na Eliakimu arimuzala Azoni, 14 na Azoni arimuzala Zadoki, na Zadoki arimuzala Akimu, Akimu arimuzala Eliudi 15 Eliudi arimuzala Elieza, na Elieza arimuzala Matani, na Matani arimuzala Yakobo . 16 Yakobo na ye arimuzala Yusufu bwana yake ya Miriamu mama yake wa Yesu Kristu ambao kwenye alizaliwa. 17 Kutoka kizazi ya Ibrahimu mupaka Daudi ilku wa kizazi kunu na ine , na wakati mufalme Daudi walikuwa mubutumwa ku mufi wa babeli kizazi ilkuwa kunu na ine mpaka wakati wa Yesu Kristo. 18 Na kuzaliwa kwa Yesu kurikuwa namuna hii; na Maria mama yake arikuya muchumba na mimbaya mwa Yusufu, basi mbele bakuye fazi moya, yeye Maria aliechukurichkuriwa na mimba ya roho mutakatifu. 19 Mume wake Yusefu arituya mutu wa kweli lakini ashkupende kupata haya munkundji ya bantu naalitaka ku amuwa buchumbu yaho. 20 Na wakati arianza kuwaza mambo hiyi na mlaika ya bwana arifika kwake mu ndoto na kumwambiya "Yusufu mototo wa Daudi, usiongo pe naukamate bibi yako Maria, arishakupata mimba kupitia roho mutakatifu. 21 Na atazala mutoto mwana ume jina yake ni Yesu ata kuya kuokola bantu kotoka ku Zambi yao. 22 Yote hiyi irifayi ifanyike kwakutangziwa kwa bwana kupitiya nabii arisema . 23 Kutakuya bikisa moja atapata mimba na atazala mutoto mwana une ataitwa Emmanueli "Mungu panoja na sisi. 24 Yusefu arishutuka arikuya mubushingishi na arishikiya ile malaika wa bwana arituniwa afwanye ju ya bibi yake. 25 Natangia pale abakujuwane sawa mume na muke mpaka kuzaliwa kwa Yesu.