Yusufu alitia dawa mwili wa Israeli.
Yusufu aliomba aweze kwenda katika nchi ya Kaanani kumzika baba yake, kwa maana baba yake alimfanya aape.
Maafisa wote wa Farao, washauri wa nyumba yake, maafisa waandamizi wa Misri, nyumba ya Yusufu, ndugu wa Yusufu, nyumba ya baba yake, na vibandawazi na wapanda farasi wote walikwenda na Yusufu.
Wakaanani walisema ya kwamba hili lilikuwa tukio la huzuni sana kwa Wamisri.
Yusufu na ndugu zake walirudi Misri.
Ndugu zake Yusufu walikuwa na mashaka ya kwamba Yusufu angelipiza kisasi kwa maovu yote ndugu waliyofanya kwake.
Ndugu walimwomba Yusufu kuwasamehe kwa makosa waliyoyatenda dhidi ya Yusufu.
Walipokuja kwa Yusufu, ndugu zake Yusufu walianguka chini mbele zake.
Yusufu alisema Mungu alifanya mema ya kuhifadhi maisha ya watu wengi.
Yusufu aliishi miaka mia moja na kumi.
Yusufu alisema ya kwamba alikaribia kufa.
Yusufu alisema Mungu angekuja kwa watu na kuwaongoza katika nchi ambayo Mungu aliwaahidi kwa Abrahamu, Isaka na Yakobo.
Yusufu aliwafanya waape ya kuwa watabeba mifupa ya Yusufu kutoka Misri watakaondoka Misri.
Mwili wa Yusufu ulitiwa dawa na kuwekwa katika jeneza huko Misri.