Sura ya 1

1 Mimi Paulo mutume kupisa Yesu Kristo mwengye we na Mungu baba mwenye alimufufuata kutoka mubafu. 2 Ivi nikona baandikia nyie kanisa ya kule Galati tuko na bandugu bengine. 3 Neema na amani ikue kwenu kuto ka kwa Mungu baba na bwana wetu Yesu, 4 mupakaliwa mwenye aliji toa ye mwenyewe ju ya makosa na zambi yetu, kusudi atu okowe mwa hezi siku za mwisho zenye zina kuwa mbaya, kupi kupitia mapenzi ya Mungu Baba ye peke. 5 Tuna mu rudishia sifa na mi lele. 6 Mina shangala sana kuona mwenye ali baitaka na hamukukua na stahili, laki ni pupitia neema ya Yesu mupakaliwa wake, sa mina shanga moyo inaluma kuona muna feuka na kufuata enjili ingine muna acha habari jema yake. 7 Siseme kama kuko ingine habari yenu lakin kuko batu benye biko na ba vuruga, na kutaka ku haribisha enjili ya Yesu mupakaliwa. 8 Lakini mutu moja ndini yetu, ao ata ni malaika mwenye ata jaribukuwa fundisha ingine enjili tafauti na habari njema ya Yesu mutakaliwa, hugo na alainiwe. 9 Kama vile tulisema mbele, mina rudilia tena "alainiwe" mutu mwenye ata jaribu kuwa fundisha ingine enjili tofauti na habari nje ma ya Yesu mupakaliwa. 10 Sasa nikona tafuta anipatie alama? kama nikitafuta batu sifie, siko kabisa mutumishi wa Yesu mupakaliwa wa Mungu. 11 Ndugu, nataka mujie kama, habari nje ma yenye nili hubiri, hakutoka wa batu ya dunia. 12 Haiko bo njo bali nifu hundisha nayo. Lakini bwana Yesu mwenye ali ni funuliaka nayo. 13 Mulisikia maisha nili kuaka nayo mu dini ya kiyahudi, gisi nili kua na tesa na kusumbuo sana kanisa la Mungu. 14 Nili kua naendelea sana mwa ile dini kushinda bote benye bali nitanguliaka. Nili kua na Juhudi kubwa sana mu mila ya ba tate yangu. 15 Lakini Mungu ye peke alinichagua kwa mapenzi yake kutoka tomoya mama yangu. Ali miita kupilia neema yake. 16 Kusudi anitambulishe mtoto wake, kusudi ni tangaze kwa mataifa sikuuliza ata mutu wala kitu. 17 Siku kimbilia kulezea benye bali ni tanguliaka katika hudu ma ya kitume, lakini nilienda mbele kwa wa harabu na nika rudia tena Dameski. 18 Na kiisha myaka tatu njo nika hika sasa Yerusaleme kusudi ni muone Petro, na nikabakia naye ya pata siku kumi na tano. 19 Lakini siku ona bengine bamitume, kama sio tu Yakobo ndugu yake na bwana. 20 Ile ni kweli nawaambia siku sema bongo. 21 Kisha nilienda mu majumbo za suria na silisia. 22 Makaniso za Bwana zenye zili kua kule Yudea hazi kuniju. 23 Balikwa na ni sitia kwa jina tu na byenye nilikuwaka na fanya baka kua na shangala, na kusema, ule mwenye alikuaka na tu tesa ju ya enjili, ye peke ana hubiri ile imani ye nye alikuaka na tafuta kuzuiya. 24 Maka nisa zilikua na shukuru Mungu.