Sura 6

1 Kabe Ayubu ayanguli na baya, 2 Oo, laili minya kwanga kukoloho yangepimwa, laitii viwo vyangu vyote mikoloho yaabekilwa kwenye mizani. 3 Kwa kuwa nambeyambe ngatopa kati lwanga, wa baharini. Kwa sababu yoho makowe yangu ibangite ya kweli. 4 Kwa kuwa mishale ya Nnungu ipo ngati yangu, moyo wangu ulobi sumu, vitisho vya Nnungu vihipangite vyabene dhidi yangu. 5 Buli mbundu wamwitu lela habonite malisho! Au ng'ombe hupanga dhaifu wakati wa njalaa ambapo ndopohochakulya? 6 Buli yandawechekana kila ehakibilihi na ladha lyaha bila mwinyohoo? Au ubile utamu woti kati lipanga? 7 Nikana kuvikungwa, kwangu nenga valandana na yakulya chakinichukize. 8 Oo, hipangite nikifata likihe nikipalahe kati Nnungu akupangaye likowe lanili tamani sana. 9 Hapangaye Nnungu hapendi kunilahani mala, kwamba anilegezike luboko lwake na kuyakali lia kuhutala maisha yanguhu? 10 Hayehe yawezeleanike panga faraja yangu hata nambe yambe hata kama napulahi muno minya bila pagwa: Kwa kuwa nikanalihi maneno yake matakatifu. 11 Ngupu yangu hipi, hata nijalibu tama? mwisho wangu mpaka pakubawihi, hapara yavefusha maisha yangu? 12 Buli ngupu yangu ni ngupi ya maliwe? Au hiyega yanga hihumblwe mbili mbili? 13 Buli nenga msaada mtopo ngati ye nyumba yangu, na kwambe eshimahibo kite kuhutalu nane? 14 Kwa mundu karibu yuwapala wahaa, hipalikwa huwaminifu huboneke na bwigalyoho, hata yuwembe aacheye kumwomba Nnungu. 15 Lakini, nunanga babi na uhaminifu kwangu kati ngondoroho wa mache mulipunguti, mfano wa mache mmabende yahipita pasipo na kilebe. 16 Ambayo hihille niyehusu kwasababu ya barafu kunani yake, na kwasabau ya theruji ambayo yandayoba yabene ngati yake. 17 Muda zaziyeyuka, boka; ni bile na lyoto, boka sehemu yoho. 18 Misafara ambayo hutyanga kwa ndera hayoo hugalambuka na mache, hutyanga mapungutihi nakabe huwobaha. 19 Misafara boka Tema huilinga, wakati majeshii ya sheba huitarajia. 20 Watekwanikae moyo kwa sababu watumaini, mbahapahapata mache. bayendi hakwaho, lakkini watikongwa. 21 Kwa nambeyambe mwenga mubuga kilebelihi kwangu; mubweni hali yanguhu ya tisha na mwehee mwandayogopahaa. 22 Buli natibaya kwinu munipeyihi kilebe kifurani? Au, munileti zawadi katika mali hinu? 23 Au, "Unilopwe boka mmaboko ya adui zangu? Au, unipihiye fidiya kwa adui zangu? 24 Nipundishe nane nahikamwa amani yangu, hipange hitange kwako panikosehite. 25 Hikowegani yakinumiya! lakini hoja yinu, Buli zanionyite namani nenga? 26 Buli mupanga kuyakemeya maneno yangu,, mutola maneno ya mundu mwene kata tamaa sawa na mchunga? 27 Hasa mkopa bwa kura kwaajili ya, yatima na kupatanaha bei kunani ya abwiga linu kati bidhaa. 28 Mambeyambe, kwa sababu hagoho, tafadhali hunilinge, kwa hhakika nibalihi ubochobocho kuminyo kwinu. 29 Mubuyangane, niwasihi kanaliwepo linenila ubonevu na mwenga; Hasa, mubuyangane, sababu zangu ni za haki. 30 Buli, muni ulahu ulimini mwanga? Buli mkono wangu kiwechalihi gundua madhara?