Sura 11

1 Ilukuyaka tu Yesu ana Isaka kubatia banafunziba ke kumi na mbili mafundisho fulani, aka enda toka palende akafundishe na k u hubiri muma migini yabo miji minene. 2 Pale njo yaona wa kubatiza batu (ao mubatizaji), pale yeye eko mu buloko, akasikiya kavunu ya makazi Kristo alianza kufanya, akatma mjumbe na mwa nafunzi wake moya na kumwambiya 3 Weye njo ule atakuya ongleko mwingini? 4 Yesu akajibu asema " mwene na mupatie habariya mambo ile munaona ile munasikia . 5 Bipofu bana anza kouna , ba bilema binatembeya, bama bukoma papona, bale basikiyo ya kufwa baoba bana anza kusikiya , bafu banafuka, na habari njema iko ina hubiriwa ku batu bama itaji. 6 Waheri ni ule mutu asipate ki kwazo kya ku mwangusha kupita miye. 7 Pale wale waku wali anza kuridiya Yesu akanza ku ba ambili bikundi bikuya pale mambo ina angaria ni matete ikona tenda juu ya pepo . 8 Sasa mulitoka kwenda ku ona nini ? Mutu mwenye kuvwala ma nguo ya bupanda mwekundu? Bya kweri tu bale bana vwala ma nguo bapamba mwekundu beko naikala mu ma nyumba bafalme. 9 Sasa mulitoka mukaona nini, nabii, ao? kweli naba ambia, na ule anapita nabu nabii . 10 Mu one bali andika juu yake: " ona , natumba mbele njumbe wangu ule ata kutengenenzea njia yako mbele yako. 11 Na miambiya kweli aktikati ya bale bote benye kuzaliwa na banamuke ata mutu moya amupitabukubwa. Lakini ule mutu wa chini sana mu falme wa mbigu ana mupita bukubwa. 12 Tangiya masiku ya yaono ule wa kubatiza watu kufika leo ufalme wa mbigu niyaku komba nia tena ni watu wana nguvu na makari njo bata ingiyaku nguvu. 12 Yefuta akatuma bajumbe kwa mfalme wa batoto ba Ammoni, ju yaku mwambia : Shidagani kwangu wa weye, ju upiganishe inchi yangu. 13 Mfalme wa batoto Izraeli balipanda Egypito, ku va miya inchi yangu, tangiya Amoni mpaka Jabboki waku Yordani uyifanye sasa kwa roho muzuri. 13 Juu ba nabii bote nayenye sheria, bile balitabiri na ishiya peko yaono. 14 Na kama muna mwichika ye njo eliya, ule bali semaka atarudiya . 15 ule wa masikiyo ile ina isikiyaka, asikiye. 14 Yafuta aka tuma tena bajumbe kwa mfalme wa batoto wa Ammoni. 15 Ku mwambia Yefuta anasema Izraeli aku vamuya inchi ya Moabu, wala inchi ya batoto ba Ammoni. 16 Sababu wakati Izraeli balipanda ku Egypito, balipitiya jangwa mpaka ku bahari ya Shamo, na balifikadishi. 16 Mitafananisha iki kizazi na kitu kani? iko saa batoto bale bekona cheza pa nsoko, kisha banaikala chini , bana anza ku uliza uyu kwa uyu aseme . 17 Tu libapikia aba ba mindule, batu hamu cheze. Tuna baimbia nyimbo yakilio, na mweye hamulie. 17 Kisha Izraeli alituma bajumbe kwa mfalme wa Edomu, ju ya kumwambia: uniruhusu ni pitie mu inchi yako. Lakini mfalme wa Edomu hakutaka kupenda alitumia tena mfalme wa Moabu, aka katala. Na Izraeli akabakiya ku kadeshi. 18 Kisha aka pitiya ku jangwa, muku zunguruka inchi ya Edomu na ya Moabu, na kutokeya ku mashariki ya inchi ya Moabu, wa kutokeya ku mashariki ya inchi ya Moabu, bakatia kampi kuikala mbali na Armoni, bila kuingiya ku enea ya Moabu, sababu Arnonni ni mupaka na Moabu. 18 Yu yoano ali kuyaka, asikule chakula ya batu bote , a si kunywe pombe na bali sema: " ule eko na pepo mubaya". 19 Mtototo wa mutu anakuya ekonakula na kunwa, apa batu banasema: " ni mutu ekonakula mubaya tena mulevi rafiki wa batu ba nzambi na balpishana malipo ya sheria ya inchi". Lakini benye akiri banaba juwaka kupitia makazi yabo. 19 Izraeli ikatuma bajumbe kwa sihana, mfulme wa ba Amoni, mfalme wa ba Hesboni, na Izraeli akamwambia: uturuhusu kupitiya mueneo yako mpaka kwenye tuki naende. 20 Lakini Simoni akukwa na tumaini ku ba Israeli ju bapite ku eneo yake; ali changa mataifa yake, benye balikala kujahati, na ku piganisha Izraeli. 20 Kwanza pale Yesu aka anza kufokea ile migini mine ne ile alipitano mi ujiza ya munene ili fanyika juu batu bamu. Ile migini ya minene ile habaku mwamini. Laana kwako korazini ! 21 Laana kwako Betesaida kama hii miujiza minene ile ili fanika mutilo ao musidoni kama ile migini ikoako na leo, balitafuka kutubu mu kirizo,ya kupasla ma nguo kurimwangya maivu. 22 Siku ya kukata mambo ya mwisho, batashushako roho juu ya migini kupitaa mwenye. 21 Wa milele Mungu wa Izraeli, alitowa Sihona na taifa yake muzima ku mikono ya Izraeli, bakabapiga. Izraeli ili vamiya inchi yote ya wa Amori yenye ilikwa ilengamto. 22 Baka vamiya na eneo yote ya ba Amori, kwanziya Armani mpaka Jabboki, na kwanziya jangwa mpaka Yordani. 23 Na weye kapalanaume, uneriwaziaka aseme bata kupandishaka mpaka mu mbigu? Apana bataku shushana kufika mu kaburi. Juu kama ile miujiza ile ilifanika mule, kama ili fanikaka mu Sodomo, kama ikoaka na leo hii. 24 Sasa nami ambiya aseme ile ili fikaka mu Sodoma itakuwa kiloko kupita yoko 25 Ile wakafi ile Yesu akasema. "nakusifu baba mwenye heshima yote mu mbingu na pa dunia, juu uli fuchika hii maneno kwa bale batu benye mawazo murefi na kwa batu ba akari, na ku ionesha wazi kubatu ba shokufunda naku batoto kuloko. 26 Ni vile baba njo vile weye ulipenda. 27 Ibi bitu byote babayangu ani achia byo chini ya bu ongozaji bwangu. Hakuna ata mutu moya ana mu juwa mutoto muzuri, paka babi tena hakuna mutu awa mu juwa tu baba muzuri, paka to mutoto ye peke na ule mutu mtoto ata anesha ye wazi. 26 Miaka elfu tatu iyi yenye Izraeli an ishi ku Hesbonia ku eneo yake, ku Aroeri na ndani ya miji ya eneo yake, na ndani miji yote yenye iko pembeni ya Armoni: ju ya nini ile zamani yote amukumutosha? 27 Siku ku fanya mubaya, na unanitendeya mubaya kuni piganisha. Acha Mungu akuwe mwanuzi kati ya batoto ya Izraeli na ba Ammoni! 28 Mfalme wa batoto ya Ammoni hakusikiya masemo yenye Yefuta alimwambia. 28 Mukuyeni kwango mwe bote muko nama kazi inemi chkesha miziko ya buzito inemi kunjamisha mikongo. Mitemipatia kupumuzika . 29 Muvwale kyuma kya batumwa kya mushingo kile miye mina leta na mufwate mafundisho ile minaleta, juu niko na bileta na roho ya kurishusha na akiriya teketeke njo maroyo yenu nayo itapumuzika. 30 Kya mushingo kyangu akina nguvu na kya kubeba kyangu akinabuzito" 29 Roho ya Mungu ilikwa ju ya Yefuta , ali vuka Galadi pamoya na Manassi, ali pita batoto ya Ammoni. 30 Yefuta alipatan na Mungu, na kasema: kama una nitoweya batoto ya Ammoni. 31 Ule wote mwenye atatoka ku nyumba mbele yangu wa kati nita rudiya na ushindi kwa ba Ammoni ata tolewa kwa Mungu, pamoya na zabihu yako chomewa. 32 Yefuta alitembeleya batoto ya Ammoni kwavita na Mungu aka batowa ku mikono yake. 33 Ali bashinda kabisa, tangiya Aroeri mpaka ku Minniti, fasi yenye mugini kumi na mbili ilifungiwa, na mpaka ku Abel Keremin, na batoto ya Ammoni balizarauliwa mbele ya batoto ya Izraeli. 34 Yefuta alirudiya kwake ku Misipa, na mutoto wake mwana muke alimutokeya mbele na mangoma wa michezo, aliwa mutoto wake moya tu, akukwa na bengine. 35 Wakati alimuana, alipasula manguo, na kusema: Ah! mutoto mwana muke ! unanipasula roho, uko ndani ya benye bana nyongaisha nilifanya naziri kwa Mungu, na sita nieza kwa badilisha. 36 An mwambia baba yangu kama ulifanya naziri kwa Mungu, uni tendeye ku fatana na masemo yako, ivi sasa Mungu anakulipiziya kisasi ku ba aduyi yako, batoto ya Ammoni. 37 Na anambiya bab yake unipatiya yenye minakulomba unyuche kimia miezi mbili! mitaenda, mita panda bilima, na mitalia sababuyakukosa kuolewa na kuzala pamoya na barafiki yangu. 38 Aka jibiya wende! Na akamwacha kimia mieze mbili akaenda yake na barafiki yake, na alilia ku kilima sababu ya kuto kuzala. 39 Kisha miezi mbili, alirudiya kwa baba yake na akatimizaahadi yenye alimulaga akumuyuya baume, wakiti yenye balitia asili ku Izraeli. 40 Miaka yote bana muke ba Izraeli banaendaka kumutukuza biuti yo Yefuta, ba Galiladi banaendaka masiku ine ku mwaka.